Featured Kitaifa

SPIKA DKT. TULIA ATETA NA WAZIRI SIMBACHAWENE

Written by mzalendoeditor

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Bunge, Sera na Uratibu, Mhe. George Simbachawene, baada ya kumtembelea kwa lengo la kujitambulisha kwake katika Ofisi ya Spika iliyopo Bungeni Jijini Dodoma leo April 4, 2022.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

About the author

mzalendoeditor