Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

belugabahis

restbet

deneme bonusu veren siteler

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

deneme bonusu

jojobet

jojobet güncel

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

sahabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

casibom

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

artemisbet giriş

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

kavbet giriş

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

marsbahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

imajbet

mislibet giriş

imajbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

kavbet

imajbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bycasino

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet giriş

cratosroyalbet

tempobet

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

casibom giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

matbet

pusulabet giriş

sekabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

betist

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

kavbet

pokerklas

pokerklas giriş

esrar satın al

tipobet

tipobet

esrar satın al

tipobet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

Featured Makala

UKATILI WA KIHISIA : SILAHA ILIYOSAHAULIKA KATIKA NDOA/ MAHUSIANO

Written by mzalendo

Na Gideon Gregory, Dodoma

Katika jamii nyingi, ukatili mara nyingi huzingatiwa kama kitendo cha mwili kinachoonyesha kuumiza mtu kwa njia za moja kwa moja kama vile kumpiga, kumchapa, au kumjeruhi.

Hata hivyo, ukatili wa kihisia ni aina ya ukatili ambao mara nyingi haionwi au kueleweka kwa urahisi, lakini athari zake kwa wahusika ni za kina na zinaweza kuathiri maisha yao kwa muda mrefu.

Ukatili wa kihisia ni silaha iliyosahaulika katika ndoa au mahusiano ambapo imesababisha maumivu yasiyoonekana lakini yenye nguvu kubwa.

Ukatili wa kihisia unahusisha matendo au maneno yanayolenga kudhoofisha hali ya kihisia, utu, au heshima ya mtu katika mahusiano ya karibu, hasa ndoa au uhusiano wa mapenzi ambao unaweza kuwa kama kusemwa maneno mabaya au kuonesha upendeleo wa kuumiza kihisia, kudharau, kuwatukana, au kupuuza hisia za mwenza wako.

Katika safari yangu ya kutafuta kuelewa sababu ya hali hii, Jambo FM imezungumza na baadhi ya wanandoa ambao.

Kila mmoja alikuwa na sababu zake Wengine walikiri kuwa hayo ni maneno ya kawaida au sehemu ya maisha ya ndoa, lakini waliishia kugundua kuwa mioyo yao imevunjwa vunjwa vipande vilivyojaa maumivu huku wakielezea visababishi vya tatizo hilo.

Mwanandoa wa kwanza (mwanamke) ambaye hakutaka kutaja jina lake anasema hali hiyo hitokea pale ambapo mmoja wao anakuwa amepata mtu mwingine hali inayosababisha mambo hayo kuanza kutokea kwenye ndoa au mahusiano japo inategemea anaweza kuwa mwanaume au mwanamke.

“Unakuta mwanaume na mwanamke kila mmoja ana mtu wake pembeni, kwahiyo sasa wa ndani anamuona sasa hana thamani, kwahiyo mara nyingi inakuwaga hivyo mara nyingi inakuwaga hivyo ndiyo maana wanatoleana maneno kama hayo,”amesema.

Mwanandoa wa Pili (mwanaume) yeye anadai kuwa kwanza kampani anazokuwa nazo mwanamke (mashoga zake), vijistori wanavyokuwa wanapiga ndipo anachukua tabia hizo ambazo hupelekea unyanyasaji huo kuanza kwenye ndoa au mahusiano.

“Anategeshea mwanaume wake akifanya kosa kidogo analianzisha yaani anapita mule mule ambapo walikuwa wanazungumza na mashoga zake ambavyo walikuwa wanamshauri, si unajua wanaigana wanawake kwahiyo mojawapo ya sababu ndo hiyo,”amesema.

Mwanandoa huyo anaendelea kusema kuwa hata suala la uchumi nalo ni chanzo kwasababu hakuna mwanamke anapenda kuona mwanaume ambaye hajiwezi fedha (hoi hae).

Mwanandoa wa kwanza anaendelea kusema kuwa mwenza unakuta alikuwa na upendo lakini akapunguza, sasa katika kufanya hivyo anajikuta analeta kelele ambazo mmoja wao anazivumilia mpaka anazichoka.

“Kwahiyo nikishazichoka basi nitakuwa naona mbona huyu kama ananionea,”anasema mwanandoa wa kwanza.

Mwanandoa wa Pili anaongeza kuwa kila mtu kaumbwa na nidhamu yake hivyo hadhani kama kushuka kiuchumi inaweza kuwa sababu ya kurushiana maneno.

Lugha za fedheha zinazotweza utu wa binadamu zimekua kama silaha inayotumka kupima uzito, hadhi ya mtu hata thamani yake, na pengine wengi wetu hatujui kwamba mara nyingi, mtu anayevumilia lugha hizo za kejeli katika mahusiano basi tayari amechoka na siyo kwamba amezoea la hasha.

Niliamua kumtafuta mtaalamu wa saikolojia na unasihi Peter Njau, nikihitaji kujua ni athari gani anaweza kuzipata mtu anayepitia ukatili wa kihisia yaani lugha zisizo na staha zenye kuuthi na kutweza utu?

Bw. Njau anasema athari za kutumia lugha ambazo hazina staha miongoni mwa wanandoa au wana jamii ambazo zinatweza utu moja kwa moja zinaweza kuwa ana athari nyingi ikiwemo zile zinazooneka na zisizoonekana ikiwa ni pamoja na kupunguza kujiamini.

“Mfano unakuta mtu amekosolewa labda kupitia maumbile yake, rangi yake, muonekano wake jinsi alivyo hata kiwango chake cha kujiamini kinaweza kikashuka, kwamba ameambiwa maneno ambayo sio mazuri na mwenza wake na huu unakuwa ni ukatili,”anasema Bw. Njau.

Anasema huo unakuwa ni ukatili wa maneno, kwamba mtu anakuwa hajaguswa kimwili lakini umempa maneno ambayo yameenda kuathiri hisia zake,”anasema.

Kwa sababu madhara ya ukatili huu siyo ya kawaida inanibidi kumtafuta kiongozi wa dini kwa lengo la kupata somo juu ya namna wanandoa wanapaswa kuwa na mazungumzo yenye staha yaani mbinu bora za mawasiliani (marriage communication).

Paroko Msaidizi wa Parokia ya Kiwanja cha Ndege Padre Pascal Dionese anawashauri wanandoa au wapenzi pale wanapozungumza kujaribu kuepuka maneno yele yenye matusi au kupigiana kelele pasipokuwa na sababu pamoja na kwamba watakuwa na hasira kwasababu vikombe viwili vinapokuwa kwenye sinia moja havikosi kugongana.

“Lakini ninyi kama ninyi mjitahidi kuepuka mazingira kama hayo, pia katika mazungumzo yenu muwe na dhana ya kusikilizana, kwasababu huwezi ukawa na mawasiliano chanya kama hakuna kusikilizana, basi kumbe kuna baadhi ya vitu lazima mviepuke katika ndoa au mahusiano yenu,”amesema.

Ukatili wa kihisia ni tatizo linalozidi kuenea na kuathiri maisha ya watu wengi katika ndoa na mahusiano ya karibu, ni silaha iliyosahaulika ambayo inaweza kuua hisia na kuangamiza maisha ya furaha na amani.

Hivyo basi, ni muhimu kwa jamii kuelimika, watu kuweza kutambua dalili za ukatili huu na kutoa msaada wa haraka ili kuokoa maisha na mahusiano yenye afya.

Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu (NBS), inaonesha kuwa idadi ya wahanga walioripotiwa kufanyiwa ukatili wa kihisia kwa mwaka 2023 walikuwa 3,657, ambapo wahanga wanawake walikuwa 2,263 sawa na asilimia 61.9 na wanaume walikuwa 1,394 sawa na asilimia 38.1. 
 
Ambapo Wahanga wa ukatili wa kihisia wameongezeka kwa asilimia 29.3 kutoka wahanga 2,828 mwaka 2022 hadi 3,657 mwaka 2023, huku Wanaume wakiongezeka kutoka 1,159 mwaka 2022 hadi 1,394 mwaka 2023 na wanawake wakitoka 1,669 mwaka 2022 hadi 2,263 mwaka 2023.
 
Ripoti hiyo inaongeza kuwa katika kipindi cha mwaka 2023, wahanga wengi wa umri wa miaka 0-17 waliripoti matukio hayo ambapo Mkoa ulioongoza kuwa na wahanga wengi ni Arusha(53), ukifuatiwa na Dar es Salaam(30), na Tabora (30).
 
 Kutokana na takwimu hizo za ukatili  Ofisi ya Taifa ya Takwimu inapendekeza kuwa watoto wenye umri wa miaka 4-17 wapewe elimu ya ukatili na unyanyasaji wakiwa mashuleni ili waweze kujiepusha na matukio ya ukatili na kuyaripoti mara yanapotokea.

About the author

mzalendo