Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

kavbet

kavbet

jojobet giriş

marsbahis giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

monobahis, monobahis giriş

alobet, alobet giriş

grandpashabet

betsat

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betpas

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

kingroyal

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

caddebet, caddebet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis giriş

sweet bonanza

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

jojobet giriş

holiganbet

sweet bonanza

casibom giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

betpuan

bettilt

cashwin

holiganbet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

nesinecasino

Hacklink panel

zirvebet

meritking

Google

meritking giriş

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

favorisen

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

nerobet

meritking

marsbahis, marsbahis giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pokerklas

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

casibom

grandpashabet

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

jojobet

cratosroyalbet

cratosroyalbet giriş

sekabet giriş

tambet

dental implants turkey

mavibet

mavibet

Featured Kitaifa

TANROADS RUKWA YAFANIKISHA UJENZI WA MADARAJA 13

Written by Alex Sonna

Meneja wa TANROAD Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa CCM Rukwa Ndugu Rainer Lukala (kushoto ) wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la Kisalala   wilaya ya Sumbawanga lenye urefu wa mita 35 ambalo linajengwa kwa gharama za shilingi Bilioni 1.89 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita. 

Daraja la Kale katika barabara ya Msishindwe -Mambwekenya wilaya ya Kalambo lenye urefu wa mita 25 linaloendelea kujengwa kwa usimamizi wa TARNOAD mkoa wa Rukwa ambalo limegharimu shilingi Bilioni 1.25 zilizolewa na serikali ya Awamu ya Sita. 

Daraja la Kisalala katika barabara ya Laela- Mwimbi-Kizombwe wilaya ya Sumbawanga lenye urefu wa mita 35 linalojengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 1.89 chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara (TANROAD ) mkoa wa Rukwa. 

Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisalala wilaya ya Sumbawanga Keria Mwanisawa  pichani ameishukuru serikali kwa kufanikisha mradi wa ujenzi wa daraja la Kisalala amablo ni kiungo muhimu cha usafirishaji mazao ya wakulima.

********************

Na. OMM Rukwa

Serikali ya Awamu ya Sita katika kipindi chake cha mwaka mmoja tangu kuingia madarakani kupitia Wakala wa Barabara (TANROADs) umefanikiwa kutekeleza kazi za matengenezo ya dharura ikiwemo madaraja 13 katika barabara za mkoa wa Rukwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jana wakati wa ukaguzi wa barabara  katika kijiji cha Muze kilichopo katika Bonde la Ziwa Rukwa Wilaya  Sumbawanga (22 Machi,2022) Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga alisema Serikali ilitoa shilingi 13,864,528,000/- katika mwaka wa fedha 2021/22.

 Mafanikio hayo yamekuja ikiwa ni jitihada za serikali kufanya matengenezo ya dharura katika barabara za Rukwa ikiwemo ile ya Kasansa –Muze –Kilyamatundu iliyopo ukanda wa Ziwa Rukwa yenye urefu wa kilometa 179 ambayo iko chini ya Wakala wa Barabara (TANROAD) hatua iliyofanya ipitike bila shida kipindi chote cha mwaka.

“Rais Samia Suluhu Hassan amefanikisha upatikanaji wa fedha katika bajeti ya mwaka 2021/22 kwa ajili ya matengenezo ya dharura ya miundombinu ya barabara ambapo tulifanikiwa kujenga madaraja 13 katika barabara za mkoa wa Rukwa” alisema Mhandisi Mgeni.

Mhandisi Mgeni aliongeza kusema miradi hiyo ya ujenzi imefanyika kwa kutumia wakandarasi wazawa hatua inayosaidia kukuza uchumi wa mkoa na Taifa.

Katika hatua nyingine TANROAD imesema serikali iko katika mpango wa ujenzi wa barabara ya Ntendo –Kazungu yenye  umbali wa kilometa 25 na barabara ya Kazungu –Muze  yenye urefu  wa kilometa   12 kwa kiwango cha lami ambapo ujenzi utaanza mwaka wa fedha 2022/23.

Akizungumzia umuhimu wa barabara  ya ukanda wa Ziwa Rukwa Diwani wa Kata ya Zimba tarafa ya Mtowisa ,Ephraim Konta alisema kukamilika kwa miundombinu ya ikiwemo daraja la Lwanji kumesaidia kurahisisha shughuli za kiuchumi kwani mazao yanafika sokoni yakiwa katika ubora .

Diwani huyo aliongeza kusema anaomba serikali kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kutofanya shughuli za kilimo na Mifugo katika kingo za mito hatua itakayosaidia madaraja kuwa imara na mito kutokana hama.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Solola halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga, Godfrey Tanganyika alishukuru serikali kwa kujenga daraja lililokuwa kikwazo cha kuunganisha kijiji hicho na kijiji cha Ilemba kufuatia mvua kusababisha mto kuhama.

“Tunashukuru serikali kwa kujenga daraja hili pia tunamwomba Rais Samia atuwekee lami katika barabara hii ya ukanda wa Ziwa Rukwa kwani ndio barabara kubwa iliyobaki bila lami” alisema Tanganyika.

Nao wanafunzi Felista Zuberi na Elizabeth Nasri wa kidato cha nne shule ya sekondari Mazoka iliyopo kata ya Muze walisema kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Muze kumesaidia waweze kuwa na uhakika wa kuhudhuria masomo muda wote ikiwemo kipindi cha masika.

“Tulikuwa tukikosa masomo kipindi mto huu ulipokuwa ukijaa na njia kukatika kwani tunaishi Muze na shule iko upande wa pili kijiji cha Mazoka kata ya Mbwilo” alisema Felista mwenye umri wa miaka 18.

Wakala wa Barabara (TANROAD) Mkoa wa Rukwa unaendelea na kazi ya kusimamia mtandao wa barabara Kuu za lami zenye urefu wa kilometa 415 .86 kati yake za lami kilometa 298.35 na za changarawe kilometa 117  huku ikisimamia barabara za mkoa zenye urefu wa kilometa 834.98 kati ya hizo za lami ni kilometa 76.83 na za changarawe ni kilometa 758.15

About the author

Alex Sonna