Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

betsat

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

lunabet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

jojobet

grandpashabet

casinomilyon

holiganbet

betewin

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking güncel giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

betsalvador

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

pokerklas

pokerklas

meritbet

meritbet giriş

meritbet

meritbet giriş

meritbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

jojobet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

betsalvador

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

parmabet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

lunabet giriş

grandpashabet

ligobet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Starzbet

Starzbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet güncel giriş

kingroyal

jojobet

amgbahis

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

parmabet

marsbahis

marsbahis giriş

marsbahis güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

aresbet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

Featured Kitaifa

CHOO CHA KISASA CHA UMMA NA MTAMBO WA GESI ASILIA VYAZINDULIWA KITUO CHA MABASI SHINYANGA

Written by Alex Sonna


Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain akielezea kuhusu ujenzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko amefungua Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV – Netherlands Development Organization) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
 
Uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga (Ibinzamata) umefanyika leo Jumatano Machi 23,2022 na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa afya na mazingira wakiongozwa na Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko.
 
Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la Maendeleo la Uholanzi, Bw. Olivier Germain amesema ujenzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga ulioanza Mwezi Oktoba 2021 na kumalizika Mwezi Machi 2022 umetumia zaidi ya shilingi Milioni 160.
 
 
Ameyataja maeneo muhimu ya mradi huo kuwa ni vyumba vya choo kwa ajili ya wanaume na wanawake ambavyo pia vina sehemu kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalumu (Kama vile walemavu, wajawazito, wagonjwa, watoto, wazee nk) Mabafu ya kuogea na vyumba vya kubadilishia nguo, sehemu za haja ndogo kwa wanaume (Urinals), Mashine maalumu ya kuuzia taulo za kike (Pads-Vending Mashine) zitakazouzwa kwa shilingi 200/= katika eneo la vyumba vya wanawake.
 
Germain amezitaja sehemu zingine kuwa ni Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant), Maduka na mgahawa pamoja na mfumo wa kuvuna maji ya mvua.
 
Germain amewasihi watumiaji wa choo hicho cha kisasa kuzingatia suala la usafi, ulinzi wa kila mmoja wa miundombinu ya choo, pamoja na kutumia choo hicho kwa ajili ya kupata gesi asilia.
 
“Naomba mtumie na kutunza mradi huu ili uwe endelevu, tumieni ili tupate pia gesi asilia. Choo hiki ni kwa ajili ya kila mtu kwani tumejenga kulingana na mahitaji ya watu wote wakiwemo wenye ulemavu, watoto na wazee lakini kuna chumba cha kujistiri kwa akina mama na taulo za kike ‘pedi’ zinapatikana ndani ya choo hiki bora na nafikiri hakuna choo cha namna hii hapa Tanzania”,amesema Germain.
 
Akizindua mradi huo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi amelishukuru Shirika la SNV kwa kushirikiana na Manispaa ya Shinyanga na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) kwa kujenga choo hicho cha kisasa na Mtambo wa Gesi asilia na kwamba mradi huo utakuwa shamba darasa na utatumika kuiingizia mapato halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.
 
“Naomba tuutunze mradi huu ili uwe endelevu. Mradi huu ni shamba darasa na tutautumia kujifunza mambo mengi ikiwemo masuala ya usafi na matumizi ya gesi asilia. Lakini pia ndani ya Jengo hili kuna vyumba vya biashara na mgahawa ambavyo vyote vitachangia katika kuiingizia mapato Manispaa ya Shinyanga”,amesema Chambi.
 
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Jomaary Satura ameahidi kutunza mradi huo na kuwataka wadau wanaofanya shughuli zao katika Kituo cha mabasi kushirikiana kutunza mradi huo.
 
“Tuwashukuru wenzetu SNV kwa mradi huu na mradi mingine wanayotekeleza katika Manispaa yetu. Sisi dhamira yetu ni kuona Manispaa ya Shinyanga inakuwa kinara wa utunzaji mazingira nchini. Choo hiki kitakuwa kielelezo cha ustaarabu wetu na tayari tumefunga taa katika Stendi hii hivyo wananchi wataweza kufanya shughuli zao usiku na mchana”,amesema Satura.
 
 
Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko na Diwani wa Viti Maalumu Mhe. Shella Mshandete wameipongeza SNV kujenga choo bora na cha kisasa kinachozingatia mahitaji ya watu wote wakiwemo wenye ulemavu, watoto na wanawake.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Muonekano wa sehemu ya mbele ya Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) akizindua Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Wa pili kushoto ni Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi (katikati kulia) akisoma maandishi baada ya kuzindua Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Anayepiga makofi kushoto ni Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain.
Maandishi katika Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Wananchi wakifuatilia uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) akikata utepe wakati akizindua Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.
Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain akielezea kuhusu ujenzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga.
Mhandisi wa Shirika la SNV, Hezron Magambo akielezea kuhusu ujenzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga.
Muonekano wa sehemu ya Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Muonekano wa sehemu ya Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Muonekano wa sehemu ya Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Muonekano wa sehemu ya Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Muonekano wa sehemu ya maduka katika Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Afisa Afya Manispaa ya Shinyanga Sanya Anthony (aliyeshikilia kipaza sauti katikati) akielezea kuhusu ujenzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Afisa Afya Manispaa ya Shinyanga Sanya Anthony (kulia) akielezea mfumo wa Gesi asilia katika Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi (kushoto) akinawa mikono baada ya kuingia ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG). Kulia ni Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akiangalia choo kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalumu ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG). Kulia ni Meneja Mradi wa Usafi wa Mazingira Mjini wa Shirika la SNV,Bw. Olivier Germain.
Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Shinyanga Angel Mwaipopo akimwelezea Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi kuhusu Mashine ya kununulia Taulo za kike kwa shilingi 200/= tu katika eneo la vyumba kwa ajili ya wanawake ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Wadau wakiwa katika eneo la kununulia Taulo za kike kwa shilingi 200/= tu katika eneo la vyumba kwa ajili ya wanawake ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi (wa tatu kushoto) akizungumza jambo katika sehemu ya haja kwa wanaume ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Moja ya vyumba katika Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Sehemu ya kunawia mikono eneo la wanaume katika Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Eneo la wanawake ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Eneo la wanawake ndani ya Choo cha Kisasa cha umma katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG).
Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Jomaary Satura akizungumza wakati wa uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Diwani wa Viti Maalumu Mhe. Shella Mshandete akizungumza wakati wa uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko akizungumza wakati wa uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko wakati wa uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akipanda mti kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko wakati wa uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na kufadhiliwa na Serikali ya Uholanzi.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akipiga picha ya kumbukumbu na viongozi wa Shirika la SNV, Manispaa ya Shinyanga na wadau wa afya na mazingira baada ya uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akipiga picha ya kumbukumbu na Viongozi mbalimbali na wanafunzi wa shule ya msingi Ibinzamata baada ya uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga Mhe. Boniphace Chambi akipiga picha ya kumbukumbu na wadau katika kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga baada ya uzinduzi wa Choo cha Kisasa cha umma pamoja na Mtambo wa Gesi asilia (Bio – Gas Plant) katika Kituo cha Mabasi Mkoa wa Shinyanga vilivyojengwa na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna