Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

casibom güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet giriş

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

casibom

kavbet

mavibet

jojobet

cratosroyalbet

cratosroyalbet giriş

lunabet

mislibet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

onwin

Hacklink Panel

casinomilyon

vdcasino giriş

bets10 giriş

jojobet giriş

nerobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

Meritking

nerobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

grandpashabet

tipobet

meritking

artemisbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

caddebet, caddebet giriş

monobahis, monobahis giriş

grandpashabet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

dinamobet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

pusulabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

Google

primebahis

primebahis

marsbahis

sweet bonanza siteleri

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

sweet bonanza siteleri

sweet bonanza

deneme bonusu

sekabet

grandpashabet

casinoroyal

casinomilyon

betplay

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

bahiscom

Hacklink panel

jojobet

holiganbet

Google

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

matbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

mavibet giriş

meritking

betpas

betgaranti

betoffice

primebahis

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

sweet bonanza

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

artemisbet

robinbet

hitbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

interbahis, interbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

kulisbet

deneme bonusu

jojobet giriş

türk ifşa

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

jojobet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet güncel

Uncategorized

PROFESSOR MWERA FOUNDATION, OFISI YA RC SHINYANGA WATOA TUZO WALIONG’ARA MATOKEO DARASA LA SABA NA KIDATO CHA NNE

Written by Alex Sonna

 

Mwenyekiti wa Wamiliki wa shule za taasisi binafsi Mkoa wa Shinyanga, Jackton Koy ambaye ni Mkurugenzi wa Shule za Msingi na Sekondari KOM akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema (wa pili kulia) kwa niaba ya Mkurugenzi wa Shule ya Msingi Kwema Modern kwa kuwa katika 10 bora kitaifa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2021. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Professor Mwera Foundation, Dkt. Hezbon Peter Mwera. Mwenye kiremba chekundu ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Taasisi ya Professor Mwera Foundation kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wametoa tuzo kwa shule zilizoongoza ufaulu kwa kiasi kikubwa kitaifa miaka mitatu mfululizo katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kidato cha nne ambazo shule ya msingi Nyakadoni iliyopo halmashauri ya Msalala, Manyada halmashauri ya Shinyanga na shule ya sekondari Istiqama Islamic iliyopo katika Manispaa ya Shinyanga.
 
Tuzo hizo za Vyeti 12 na Ma Tisheti 30 zimetolewa leo Alhamisi Machi 3,2022 katika kikao cha Wadau wa elimu Mkoa wa Shinyanga kilicholenga kujadili maendeleo ya elimu ili kuboresha elimu mkoani Shinyanga kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
 
Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Dafroza Ndalichako amesema Tuzo zingine zimeenda kwa Halmashauri zilizoongoza kwa ufaulu katika matokeo ya darasa la saba mwaka 2021 katika mkoa wa Shinyanga ambazo ni Manispaa ya Shinyanga ambayo imekuwa ya kwanza kati ya halmashauri sita kwa upande wa shule za msingi na Msalala ikishika nafasi ya pili, na upande wa shule za sekondari Manispaa ya Shinyanga imeshika nafasi ya kwanza na Ushetu ikishika nafasi ya pili.
 
Tuzo zingine zimetolewa kwa shule zilizoingia kwenye 10 bora kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka 2021 ambazo ni Rocken Hill kutoka Manispaa ya Kahama iliyoshika nafasi ya 3 na Kwema Modern kutoka Manispaa ya Kahama iliyoshika nafasi ya 6 huku tuzo ya mwanafunzi aliyeingia 10 kitaifa ambaye ni Kilugala Ngala Kilugala kutoka shule ya Kwema Modern Manispaa ya Kahama.
 
Pia tuzo zingine zimeenda kwa shule bora kitaifa zilizofanya vizuri Kimasomo kwenye mtihani wa darasa la saba mwaka 2021 ambazo ni Green Star Junior somo la Kiswahili, Rocken Hill (Hisabati),Kwema Modern (Sayansi na Teknolojia) na Rocken Hill (Sayansi na Teknolojia) zote zipo katika Manispaa ya Shinyanga.
 
 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema amezipongeza shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya mitihani huku akiomba wadau kushirikiana katika kuboresha elimu mkoani Shinyanga kwani serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali katika kuboresha mazingira ya kujifunzia shuleni ikiwa ni pamoja na kujenga madarasa.
 
“Tunachokwenda kufanya sasa ni kuboresha mazingira yaliyopo shuleni. Wote tunatakiwa tushikamane, upande wa shule binafsi na za serikali. Tunataka shule zetu ziingie kumi bora kitaifa kila mwaka.Walimu na wadau wote tuwe wabunifu.
 
 
Waheshimiwa Ma DC nendeni mkasimamie upatikanaji wa chakula shuleni. Tunataka lishe katika upande wa shule. Tukasimamie pia mdondoko, watoto wafuatiliwe wako wapi, watoto wanatakiwa wawe shule kama tulivyowaandikisha”,amesema Mjema.
 
 
Naye Mkurugenzi wa Taasisi ya Professor Mwera Foundation, Dkt. Hezbon Peter Mwera ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyuo vya Ufundi Kanda ya Ziwa amesema taasisi yake imekuwa mdau mkubwa wa elimu na tuzo hizo ni mwendelezo wa tuzo ambazo wamekuwa wakizitoa ili kutoa kuwatambua wanaofanya vizuri na kutoa motisha.
 
“Taasisi yetu inafanya kazi nyingi ikiwemo kutoa tuzo kwa wanafunzi wanaofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa ya darasa la nne,darasa la saba kidato cha pili, nne na sita. Mwaka 2021 tulitoa tuzo za mfano katika mkoa wa Mara na tunaahidi mwaka ujao tutatoa zawadi kubwa zaidi mkoani Shinyanga”,amesema Dkt. Mwera.
 
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Wamiliki wa shule za taasisi binafsi Mkoa wa Shinyanga, Jackton Koy ambaye ni Mkurugenzi wa Shule za Msingi na Sekondari KOM ameipongeza Taasisi ya Professor Mwera Foundation na ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga kwa kuandaa tuzo hizo ili kutambua wanafunzi na shule zinazofanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Professor Mwera Foundation, Dkt. Hezbon Peter Mwera ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyuo vya Ufundi Kanda ya Ziwa akizungumza kwenye kikao cha wadau wa elimu mkoa wa Shinyanga akielezea kuhusu tuzo zinazotolewa na Taasisi ya Professor Mwera Foundation kuwatambua wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkurugenzi wa Taasisi ya Professor Mwera Foundation, Dkt. Hezbon Peter Mwera ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyuo vya Ufundi Kanda ya Ziwa akizungumza kwenye kikao cha wadau wa elimu mkoa wa Shinyanga akielezea kuhusu tuzo zinazotolewa na Taasisi ya Professor Mwera Foundation kuwatambua wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza kwenye kikao cha wadau wa elimu mkoa wa Shinyanga na kuishukuru Taasisi ya Professor Mwera Foundation kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kuwatambua wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa na kutoa tuzo.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza kwenye kikao cha wadau wa elimu mkoa wa Shinyanga na kuishukuru Taasisi ya Professor Mwera Foundation kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kuwatambua wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa na kutoa tuzo.
Mwenyekiti wa Wamiliki wa shule za taasisi binafsi Mkoa wa Shinyanga, Jackton Koy ambaye ni Mkurugenzi wa Shule za Msingi na Sekondari KOM akiipongeza Taasisi ya Professor Mwera Foundation na ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga kwa kuandaa tuzo hizo ili kutambua wanafunzi na shule zinazofanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa.
Mwenyekiti wa Wamiliki wa shule za taasisi binafsi Mkoa wa Shinyanga, Jackton Koy ambaye ni Mkurugenzi wa Shule za Msingi na Sekondari KOM akipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema (kulia) kwa niaba ya Mkurugenzi wa Shule ya Msingi Kwema Modern 
Mkurugenzi wa Shule ya Msingi Rocken Hill, Zephania Madaha akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema (kulia) kutokana na shule hiyo kuingia kwenye 10 bora kitaifa kwenye matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2021.
Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Shinyanga, Lucas Cleophace Mzungu (kushoto) akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema. Manispaa ya Shinyanga imekuwa ya kwanza kati ya halmashauri sita kwa upande wa shule za Sekondari katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2021 katika mkoa wa Shinyanga
Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Shinyanga, Lucas Cleophace Mzungu (kushoto) akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema. Manispaa ya Shinyanga imekuwa ya kwanza kati ya halmashauri sita kwa upande wa shule za Sekondari katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2021 katika mkoa wa Shinyanga
Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Shinyanga, Neema Mkanga (kushoto) akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema. Manispaa ya Shinyanga imekuwa ya kwanza kati ya halmashauri sita kwa upande wa shule za msingi katika matokeo ya darasa la saba mwaka 2021 katika mkoa wa Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti na zawadi mbalimbali
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea  zawadi mbalimbali
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti na zawadi mbalimbali
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti na zawadi mbalimbali
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akiendelea kukabidhi vyeti.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akiwa na Maafisa Elimu Msingi na Sekondari Manispaa ya Shinyanga wakiwa na vyeti vya ushindi. Kulia ni Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Shinyanga, Lucas Cleophace Mzungu. Kushoto ni Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Shinyanga, Neema Mkanga.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna