marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

Uncategorized

‘VETA KAENI NA VIONGOZI WA MAENEO HUSIKA KATIKA UANDAAJI WA KOZI’-NAIBU WAZIRI KIPANGA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akisikiliza taarifa ya ujenzi wa chuo cha VETA cha Wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoa wa Dodoma ikisomwa na Mkuu wa chuo cha VETA Mkoa wa Dodoma Bw.Stanslaus Ntibara mara baada ya kufanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akizungumza mara baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa chuo cha VETA cha Wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoa wa Dodoma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua na kujionea maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Chemba Simon Chacha wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa chuo cha VETA cha wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Chemba Mh Mohammed Moni wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa chuo cha VETA cha wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa VETA Dk.Pancras Bujulu wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa chuo cha VETA cha wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akeiendelea na ukaguzi wa ujenzi wa chuo cha VETA cha Wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoa wa Dodoma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua na kujionea maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.

MUONEKANO wa wa majengo ya ujenzi wa chuo cha VETA cha Wilaya ya Chemba (Chemba DVTC) Mkoa wa Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akizungumza na wananchi wa Bahi wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua ujenzi wa  chuo cha VETA cha Wilaya ya Bahi Mkoa wa Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akimsikiliza  Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda akizungumza wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa Chuo cha VETA wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akizungumza Mbunge wa Jimbo la Bahi, Mhe. Kenneth Nollo, akizungumza wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa Chuo cha VETA wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akitoa maelekezo kwa Mkandarasi wa  ujenzi wa  chuo cha VETA cha Wilaya ya Bahi Mkoani wa Dodoma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua na kujionea maendeleo ya ujenzi wa chuo hicho.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akimsikiliza  Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda wakati akitoa maelezo kwa mkandarasi wa ujenzi wa   Chuo cha VETA wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga,akikagua  ujenzi wa Chuo cha VETA wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma.

MUONEKANO wa Chuo cha VETA wilayani Bahi Mkoani Dodoma.

…………………………………………

Na Alex Sonna-CHEMBA,BAHI

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, ameitaka Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Stadi (VETA),kukaa na viongozi katika uandaaji wa kozi zitakazofundishwa kulingana na mahitaji ya maeneo husika.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa vyuo vinavyojengwa kwa gharama ya Sh. Bilioni 2.2 kwa kila kimoja katika Wilaya za Chemba na Bahi mkoani Dodoma.

Amesema Sera ya Taifa sasa ni kujenga chuo kila wilaya ili kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi waweze kunufaika na mafunzo na kwamba walianza na wilaya 29 ambapo wilaya nne ujenzi umekamilika.

Kipanga amesema ujenzi wa vyuo hivyo unafanyika katika halmashauri na wilaya ambapo kuna viongozi kwenye maeneo hayo na hivyo ni muhimu wakashirikishwa katika kila hatua.
“Hata mazingira ya Chemba na  Bahi wao ndio wanafahamu hata aina gani ya kozi kwamba ni kozi gani ikitolewa itawafanya kutoka katika hali waliyonayo na kwenda mahali pazuri zaidi,”amesema.
Ametaka suala la uchambuzi wa kozi zitakazotolewa na vyuo hivyo wasilitoe wao wenyewe makao makuu bali wawashirikishi watu wa maeneo husika

“Tunaleta Chuo cha Veta hapa lakini wanaojua mazingira ya Veta ni hawa wananchi kwa hiyo hata kozi zitakazotakiwa hapa ni wao wanazifahamu wanajua kozi hizi zikitolewa tutatoka hapa tulipo, uanzishaji wa kozi ufanyike kikao cha pamoja nendeni kwenye mabaraza ya Madiwani mpokee mawazo yao kuhusu kozi bora zitakazosaidia,”amesema Kipanga

Kwa upande wao Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Chacha na Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda,amesema watashirikiana na Veta kuhakikisha kuwa fedha zilizotolewa katika ujenzi huo zinatumika kwa kadri maelekezo ya Serikali.

Awali, Mkuu wa Chuo cha VETA mkoani Dodoma, Stanslaus Ntibara, amesema kuwa wanafunzi 300 watadahiliwa kwenye fani sita za muda mrefu baada ya kukamilika kwa ujenzi huo huku kwa mafunzo ya muda mrefu wanakadiria wanafunzi kati ya 250 hadi 400 kudahiliwa kwa mwaka.

Naye, Mbunge wa Bahi, Kenneth Nollo na Mbunge wa Chemba Mohamed Moni,amesema kuwa vyuo hivyo vina uwezo mkubwa wa kubadilisha maisha ya watu na kwamba bado kuna kazi kubwa ya kuhakikisha kunakuwa na wahitimu wengi wa vyuo vya ufundi kuliko wale wa shahada.

‘Tunaiomba Serikali kuhakikisha kuwa wanafunzi wa kutoka wilaya hizo mbili wanapewa  kipaumbele kwenye vyuo hivyo”wamesema

About the author

Alex Sonna