marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

vdcasino

Featured Kitaifa

BAHI YAJIPANGA KUINGIA KUMI BORA ELIMU KITAIFA 

Written by Alex Sonna

HALMASHAURI ya Bahi Mkoani Dodoma imeweka mikakati ya kuongeza ufaulu katika mitihani ya shule za msingi na sekondari ili kuwezesha kuingia kwenye kumi bora Kitaifa.

Akizungumza katika hafla ya utoaji tuzo kwa shule, walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi na sekodari 2021,Mkuu wa Wilaya hiyo Mwanahamisi Munkunda amehimiza ushirikiano baina ya viongozi,walimu,wazazi na wanafunzi.

“Nikiangalia mtiririko wa ufaulu mwaka hadi mwaka tunaenda vizuri,lakini sasa tumeamua tuwe kwenye kumi bora, na hili litawezekana tukizidi kushirikiana,”

Ili kufanikisha hilo ametoa ombi kwa madiwani wa halmashauri hiyo,“Tunapoanza makambi niwaombe kila dawani asaidie debe moja la mahindi na maharage,”alisema.

Akitaja baadhi ya mikakati hiyo Afisa Elimu Msingi Boniface Wilson  amesema wanafunzi watapewa mitihani ya kutosha na tathimini ya kina kwa kila somo ili kubaini mapungufu,kupanda na kushuka kwa ufaulu na kubaini masomo ambayo wanafunzi hawafanyi vizuri. 

Alisema kwa darasa la saba kuanzia Disemba 2021 hadi Machi 2022,mitihani ya wilaya itafanyika mara moja kwa mwezi na kuanzia April 2022 hadi Juni 2022 mitihani itafanyika mara mbili kwa mwezi.

“Kuanzia Julai 2022 hadi Disemba 2022 mitihani itafanyika mara tatu kwa mwezi na kila shule ihakikishe inatoa mitihani kila wiki kwa madarasa ya mitihani pamoja na kufanya usahihi wa kina na kutunza alama,”alisema.

Kwa upande wake afisa elimu sekondari Marry Chakupewa amesema wamejipanga kufanya vikao vya tathmini kila mwezi ili kubaini changamoto na kuzitafutia ufumbuzi ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri.

 “Tunahimiza pia ufundishaji wa vipindi vya ziada shuleni hasa kwa madarasa ya mitihani kwa kuhakikisha kila shule inakuwa na ratiba rekebishi na kufanya vikao na wazazi mwezi Januari kwa ajili ya kuweka mpango wa kuwapatia wanafunzi chakula cha mchana shuleni,”alisema.

Ili kufanikisha jitihada hizo ametoa mapendekezo kwa mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za kisheria na kinidhamu kwa watuhumiwa, wazazi na viongozi wanaoshiriki kuwaficha wanaowapa mimba wanafunzi au kuwatorosha watuhumiwa.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kumekuwa na ongezeko la ufaulu kutoka asilimia 95 mwaka 2020 hadi asilimia  96 mwaka 2021 na kwak idato cha nne ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 91.5 mwaka 2020 hadi asilimia 94 kwa mwaka 2021.

Upande wa elimu msingi ufaulu umekuwa ukiongezeka kila mwaka ambapo mwaka 2019 ulikuwa asilimia 78.84,mwaka 2020 asilimia 84.64  na mwaka 2021 ulifikia asilimia 92.4 na hivyo kufanya kuwemo kwenye halmashauri 10 zilizoboresha ufaulu kwa kiwango cha juu kitaifa.

About the author

Alex Sonna