Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

NGOs 4909 ZATAKIWA KUJIELEZA KWA NINI ZISIFUTIWE USAJILI

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Happiness Seneda mara baada ya kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizungumza katika kikao na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Mkoani Iringa akiwa ziarani mkoani humo.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Grace Mbwilo, akifafanua jambo katika kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.

Washiriki wa kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa wakifuatilia maelezo ya Naibu Katibu Mkuu (hayupo pichani) katika kikao hicho.

 Baadhi ya wadau wa NGOs wakichangia mawazo katika kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.

Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Saida Mgeni akieleza hali ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika mkoa huo wakati wa kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.
……………………………………………..
 
Na WMJJWM, Iringa
 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yapatayo 4909 nchini kuwasilisha maelezo ya kwanini yasifutiwe usajili kwa kukiuka sheria na taratibu zinazo yaongoza.
 
Mpanju ametoa agizo hilo alipokutana na NGOs za Mkoa wa Iringa katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo yenye lengo la kufuatilia utekelezaji wa majukumu ya Wizara.
 
Mpanju amesema kuwa, Mashirika hayo yameshindwa kutekeleza matakwa ya kisheria inayowataka kuwasilisha taarifa zao kwa ajili ya uhakiki, lakini tangu zoezi la uhakiki lianze mwaka jana mashirika hayo yameshindwa kufanya hivyo.
 
“Hadi zoezi linakamilika mwezi Machi mwaka huu ni Mashirika 4864 kati ya 12884 yamehakikiwa na mashirika 7533 ndiyo yapo hai baada ya zoezi la uhakiki, sasa niwaombe NaCONGO hakikisheni yale mashirika ambayo hayakuhakiki kwa kipindi cha mwaka mmoja yaeleze sababu kwa nini yasifutiwe ndani ya mwezi mmoja, hapa Iringa ni mashirika 79 kati ya 170″q amesema Mpanju.
 
Naibu Katibu Mkuu , amesema inatambua mchango mkubwa unaofanywa na Mashirika hayo  katika kutekeleza shughuli na huduma mbalimbali kama elimu, afya maji pamoja na huduma mtambuka ikiwemo kusaidia kupambana na ukatili na kuchangia amani na utulivu nchini.
 
Mpanju amesisitiza kuwa Serikali inafanya uhakiki ili kuhakikisha uratibu wa mashirika unakuwa na ufanisi na pia ni matakwa ya sheria ya nchi na kuongeza kuwa hakuna budi kuratibu shughuli zinazofanywa na NGO kwani kazi wanazofanya ni kubwa.
 
Wakati huo huo, Mpanju amewaagiza Wasajili wasaidizi wa NGOs kuwapitisha wadau kwenye miongozo mbalimbali ya NGOs ambayo inaeleza namna Serikali na Sekta mbalimbali zinavyoshirikiana ili kufanya kazi kwa ufanisi.
 
“Nyie wasajili wasaidizi ndiyo wasimamizi wa sekta hii kwa niaba ya Wizara hivyo mnapokuwa na majukwaa kama haya wapitisheni, hakikisheni mwongozo unasambazwa kwani ndiyo unatoa utaratibu mzuri wa namna ya kushirikiana bila migongano” amesisitiza Mpanju.
 
Kwa upande wao wadau wa NGOs akiwemo Bi Lediana Mng’ong’o kutoka shirika la TAHEA ameshauri mashirika ambayo yalikuwa  yamesajiliwa zamani kabla ya usajili wao kuhamishiwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, yafutiwe na yajisajili upya kutokana na changamoto ya kulipa malimbikizo ya nyuma.
 
Naye Mweka Hazina wa Baraza na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCONGO),  John Kiteme  amesema baraza hilo linafanya kazi kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha NGOs zinafanya kazi kwa kuzingania sheria na kanuni, ikiwemo mchakato wa kusajili na kufuta mashirika.
 
Awali akitoa taarifa ya mashirika hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Iringa Saida Mgeni amebainisha kuwa, mashirika yaliyosajiliwa mkoani humo ni 170 lakini yaliyo hai ni 91 na mashirika 79 yanasuasua kutokana na kutotekeleza malengo yao kwa mujibu wa usajili wao na kutokidhi matakwa ya sheria ikiwemo kutolipa ada na kutowasilisha taariza zao za utekelezaji.
 
“Katika mkoa wa Iringa karibia nusu ya mashirika yana changamoto mbalimbali japokuwa kumekuwa na mafanikio ikiwemo ushirikiano mzuri na wadau wa maendeleo katika kupinga ukatili, kuwasaidia wananchi kiuchumi na kijamii” ameongeza Saida.

About the author

Alex Sonna