marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

betist

betist

Featured Kitaifa

SIDO WAKUTANA NA WADAU KUJADILI SEKTA NDOGO YA MAFUTA YA ALIZETI.

Written by Alex Sonna

Meneja wa Masoko Shirika la Kudumia Viwanda Vidogo Tanzania (SIDO), Bi. Lilian Massawe akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu sekta ndogo ya mafuta ya alizeti, ambapo wadau mbalimbali wamekutana kwa ajili ya kujadili na kuweka mipango mikakati endelevu ya namna gani wanaweza kuboresha zao hilo la alizeti.

Meneja wa SIDO Mkoa wa Dodoma Bw. Stempeho Nyari akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu mipango mikakati endelevu ya namna gani wanaweza kuboresha zao la alizeti kupitia viwanda vidogo hapa nchini.

Mwenyekiti wa Chama cha Wazalishaji wa Mafuta ya Alizeti Tanzania (TASUPA) Bw. Ringo Iringo akitoa ufafanuzi kuhusu uzalishaji wa mafuta wa alizeti.

Wadau wa sekta ndogo ya Mafuta ya Alizeti wakiwa katika kongamano jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili na kuweka mipango mikakati endelevu ya namna gani wanaweza kuboresha zao la alizeti ili liweze kusaidia Taifa na kupiga hatua katika nyanja mbalimbali za kiuchumi.

…………………………………

NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM.

Shirika la Kudumia Viwanda Vidogo Tanzania (SIDO) wamekutana na wadau wa sekta ndogo ya Mafuta ya Alizeti kwa ajili ya kujadili na kuweka mipango mikakati endelevu ya namna gani wanaweza kuboresha zao la alizeti ili liweze kusaidia Taifa kwa kuweka malengo ya muda mfupi na mrefu. 

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa SIDO Mkoa wa Dodoma Bw. Stempeho Nyari, amesema kuwa mafuta ya alizeti yameonekana kuwa uhitaji mkubwa hapa nchini licha ya kuwepo na juhudi zinazofanywa na sekta binafsi katika kuzalishaji. 

Bw. Nyari amesema kuwa SIDO imekuwa ikitoa huduma ya kuwasaidia viwanda vidogo katika Mikoa yote inayozalisha zao la alizeti ikiwemo Mkoa wa Dodoma, Singida pamoja na Manyara ili kuhakikisha kunakuwa na mazingira rafiki.

“Tumekuwa tukitoa mafunzo kwa watu wetu na kuwapatia Teknolojia ili waweze kuzalisha mafuta yenye ubora yaliothibitisha na Shirika la Viwango Tanzania (TBS)” amesema Bw. Nyari.

Amefafanua kuwa mpaka sasa kuna wakulima zaidi ya milioni moja wanaolima zao la alizeti, lakini uzalishaji bado ni mdogo ukilinganisha na uhitaji kwa watumiaji.

Bw. Nyari ameeleza kuwa kwenye kilimo cha alizeti kuna fursa kubwa ya kiuchumi, hivyo amewataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ili waweze kupiga hatua katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo.

“Tunaendelea kuwashawishi wazalishaji waongeze ubora wa mafuta ya alizeti, kwani sekta ndogo ya mafuta ya alizeti ina umuhimu kwa taifa, wananchi wanaweza kujiajiri kuanzia shambani, viwandani na kufanikiwa kupunguza umaskini kwa kiwango kikubwa” amesema Bw. Nyari.

Amebainisha kulingana na ukubwa wa soko bado kuna uhitaji wa wakulima zaidi ya milioni mbili ili waweze kuzalisha mbegu za alizeti jambo ambalo litasaidia kuongeza mchango mkubwa katika kuchakata mafuta ya alizeti.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Kudumia Viwanda Vidogo Tanzania (SIDO), Meneja wa Masoko wa SIDO Bi. Lilian Massawe, amesema kuwa uhitaji wa mafuta ya alizeti hapa nchini Tanzania ni tani 650, lakini uwezo wa kuzalisha ni tani 250 hadi 300.

Bi. Massawe amesema kuwa asilimia 70 ya uhitaji inatokana  na zao la alizeti, hivyo SIDO inaendelea kuwahamasisha wakulima na walizalishaji ili kuongeza wigo.

“Watanzania wanatakiwa kuja SIDO kwa ajili ya kupata ushauri wa kuzalisha zao la alizeti pamoja kuanzisha viwanda vidogo” amesema Bi. Massawe.

Mwenyekiti wa Chama cha Wazalishaji wa Mafuta ya Alizeti Tanzania (TASUPA) Bw. Ringo Iringo, amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye viwanda vingi vya kuzalisha mafuta ya kula Afrika ikiwa na uwezo wa kuzalisha tani 3,500 kwa siku.

Bw. Iringo ameeleza kuwa kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa mbegu za alizeti kutoka kwa wakulima, kwani kwa mwaka wanapata tani 1,130 na kusababisha viwanda vingi kufanya kazi chini ya uwezo wake.

Amesema kuwa maitaji ya upatikanaji wa mbegu za alizeti kwa mwaka tani 5, 100, lakini inayopatikana katika masoko ni tani 450 na kufanya tani 4,500 kukosekana katika soko na kufanya kusindwa kuzalisha mafuta ya alizeti.

”Tunatakiwa kufanya uwekezaji kwa kuwekeza katika mashamba makubwa kwa kutumia kilimo cha kisasa cha mafuta ya alizeti, pia tunaomba taasisi za fedha wabadilishe mifumo yao ya ukopeshaji kwa kuweka mikopo ya uwekezaji na sio mikopo ya biashara” amesema Bw. Iringo.   

Katika hatua nyengine ameipongeza serikali kwa jitaida mbalimbali wanazofanya katika kuhakikisha kunakuwa na mazingira marafiki ya uwekezaji.

About the author

Alex Sonna