marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Kitaifa

NGOs 4909 ZATAKIWA KUJIELEZA KWA NINI ZISIFUTIWE USAJILI

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Happiness Seneda mara baada ya kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju akizungumza katika kikao na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Mkoani Iringa akiwa ziarani mkoani humo.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Grace Mbwilo, akifafanua jambo katika kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.

Washiriki wa kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa wakifuatilia maelezo ya Naibu Katibu Mkuu (hayupo pichani) katika kikao hicho.

 Baadhi ya wadau wa NGOs wakichangia mawazo katika kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.

Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Saida Mgeni akieleza hali ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika mkoa huo wakati wa kikao cha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju na NGOs za Mkoa wa Iringa.
……………………………………………..
 
Na WMJJWM, Iringa
 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yapatayo 4909 nchini kuwasilisha maelezo ya kwanini yasifutiwe usajili kwa kukiuka sheria na taratibu zinazo yaongoza.
 
Mpanju ametoa agizo hilo alipokutana na NGOs za Mkoa wa Iringa katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo yenye lengo la kufuatilia utekelezaji wa majukumu ya Wizara.
 
Mpanju amesema kuwa, Mashirika hayo yameshindwa kutekeleza matakwa ya kisheria inayowataka kuwasilisha taarifa zao kwa ajili ya uhakiki, lakini tangu zoezi la uhakiki lianze mwaka jana mashirika hayo yameshindwa kufanya hivyo.
 
“Hadi zoezi linakamilika mwezi Machi mwaka huu ni Mashirika 4864 kati ya 12884 yamehakikiwa na mashirika 7533 ndiyo yapo hai baada ya zoezi la uhakiki, sasa niwaombe NaCONGO hakikisheni yale mashirika ambayo hayakuhakiki kwa kipindi cha mwaka mmoja yaeleze sababu kwa nini yasifutiwe ndani ya mwezi mmoja, hapa Iringa ni mashirika 79 kati ya 170″q amesema Mpanju.
 
Naibu Katibu Mkuu , amesema inatambua mchango mkubwa unaofanywa na Mashirika hayo  katika kutekeleza shughuli na huduma mbalimbali kama elimu, afya maji pamoja na huduma mtambuka ikiwemo kusaidia kupambana na ukatili na kuchangia amani na utulivu nchini.
 
Mpanju amesisitiza kuwa Serikali inafanya uhakiki ili kuhakikisha uratibu wa mashirika unakuwa na ufanisi na pia ni matakwa ya sheria ya nchi na kuongeza kuwa hakuna budi kuratibu shughuli zinazofanywa na NGO kwani kazi wanazofanya ni kubwa.
 
Wakati huo huo, Mpanju amewaagiza Wasajili wasaidizi wa NGOs kuwapitisha wadau kwenye miongozo mbalimbali ya NGOs ambayo inaeleza namna Serikali na Sekta mbalimbali zinavyoshirikiana ili kufanya kazi kwa ufanisi.
 
“Nyie wasajili wasaidizi ndiyo wasimamizi wa sekta hii kwa niaba ya Wizara hivyo mnapokuwa na majukwaa kama haya wapitisheni, hakikisheni mwongozo unasambazwa kwani ndiyo unatoa utaratibu mzuri wa namna ya kushirikiana bila migongano” amesisitiza Mpanju.
 
Kwa upande wao wadau wa NGOs akiwemo Bi Lediana Mng’ong’o kutoka shirika la TAHEA ameshauri mashirika ambayo yalikuwa  yamesajiliwa zamani kabla ya usajili wao kuhamishiwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, yafutiwe na yajisajili upya kutokana na changamoto ya kulipa malimbikizo ya nyuma.
 
Naye Mweka Hazina wa Baraza na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCONGO),  John Kiteme  amesema baraza hilo linafanya kazi kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha NGOs zinafanya kazi kwa kuzingania sheria na kanuni, ikiwemo mchakato wa kusajili na kufuta mashirika.
 
Awali akitoa taarifa ya mashirika hayo Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Iringa Saida Mgeni amebainisha kuwa, mashirika yaliyosajiliwa mkoani humo ni 170 lakini yaliyo hai ni 91 na mashirika 79 yanasuasua kutokana na kutotekeleza malengo yao kwa mujibu wa usajili wao na kutokidhi matakwa ya sheria ikiwemo kutolipa ada na kutowasilisha taariza zao za utekelezaji.
 
“Katika mkoa wa Iringa karibia nusu ya mashirika yana changamoto mbalimbali japokuwa kumekuwa na mafanikio ikiwemo ushirikiano mzuri na wadau wa maendeleo katika kupinga ukatili, kuwasaidia wananchi kiuchumi na kijamii” ameongeza Saida.

About the author

Alex Sonna