Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

REA YASAMBAZA MAJIKO NA MITUNGI YA GESI KILO 15 KWA JESHI LA MAGEREZA MKOANI SHINYANGA

Written by Alex Sonna


Wakala wa Nishati Vijijini (REA) tarehe 24 Septemba, 2025 imesambaza kwa Watumishi wa Jeshi la Magereza 221 mkoa wa Shinyanga majiko ya gesi ya sahani (2) na mitungi ya kilo 15 kwa ajili ya Maafisa na Watumishi wa Jeshi hilo huku wito ukitolewa wa kuwataka wawe mabalozi wa nishati safi kwa mkoa huo.

Katika hafla hiyo ya ugawaji wa majiko na mitungi ya gesi, Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB); Mhandisi, Ahmed Chinemba ametoa wito kwa Watumishi wa Jeshi hilo huku akieleza mkataba wa kusambaza teknolojia mbalimbali za nishati safi kati ya Wakala na Jeshi hilo, ulisainiwa mwezi Septemba, mwaka 2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 35 kwa Magereza 129 Tanzania Bara.

Chinemba amesema Maafisa wa Magereza wanatakiwa kuwa mabalozi katika utumiaji wa teknolojia za nishati safi kama majiko ya gesi na kuongeza kuwa Wananchi wengi wa maeneo ya vijijini wanakata miti hovyo kwa ajili ya matumizi ya kuni na mkaa.

“Ninawapongeza Jeshi la Magereza kwani wamekuwa vinara wa matumizi ya nishati safi kwenye Magereza yote ukilinganisha na Taasisi nyengine sawa sawa na agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu kuzitaka Taasisi zinazohudumia Watu zaidi ya 100 kutumia nishati safi kama gesi; gesi vunde, mkaa na kuni mbadala”. Alisema Mhandisi, Chinemba.

Chinemba amesema katika utekelezaji wa Mradi huo, REA imechangia shilingi bilioni 26 na Jeshi la Magereza limetoa shilingi bilioni 8 ambapo ushirikiano huo umelenga katika maeneo kadhaa ikiwemo ujenzi wa miundombinu 126 ya bayogesi na majiko banifu 377; Ujenzi wa miundombinu 64 ya LPG na majiko banifu 256; Usambazaji wa mitungi ya gesi 15,126 ya kilo 15 pamoja na majiko ya gesi ya sahani mbili kwa watumishi wote wa Magereza; Usambazaji wa mkaa unaotokana na makaa ya mawe (Rafiki briquettes) tani 850 na majiko banifu 344 kwa kambi 129 za Magereza na maeneo mengineyo.

Naye, Mkuu wa Magereza mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Nobert Ntacho ameishukuru Serikali kupitia REA na kukiri kupokea mitungi ya gesi na majiko ya sahani mbili na kusema familia za Watumishi wa Jeshi hilo, wanakwenda kunufaika ambapo tayari wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya nishati safi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Gereza wilaya ya Shinyanga; Kamishina Msaidizi, Martin Kunambi amesema Gereza linahudumia mahabusi 263 na kuongeza kuwa walishajenga miundombinu ya kupikia tangu Rais Samia Suluhu Hassan atoe maelekezo ya kuzitaka Taasisi zenye kuhudumia Watu zaidi ya 100 kuacha matumizi ya nishati zisizo safi na salama kama kuni na mkaa na kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi na salama

“Tunaipongeza na kuishukuru Serikali, leo tumepokea majiko na mitungi ya gesi ipatayo 221 sawa na idadi ya askari na Watumishi waliopo hapa mkoa wa Shinyanga” amesema Bwana Kunambi.




About the author

Alex Sonna