Featured Kitaifa

MWILI WA HAYATI NDUGAI WAWASILI KANISA LA MTAKATIFU MACHAEL, DINARI YA KONGWA

Written by Alex Sonna

Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Ndugai ukiwasili katika Kanisa la Anglikana- Mtakatifu Machael, Dinari ya Kongwa Wilayani Kongwa mkoani Dodoma tayari kwa Ibada ya kumuaga leo 11 Agosti, 2025.

Ibada hii inaongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dkt. Maimbo Mndolwa.      

About the author

Alex Sonna