slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

truvabet

truvabet

Featured Kitaifa

MPANGO UMEWEZEKANA – TANESCO YABORESHA HUDUMA KWA WATEJA!

Written by Alex Sonna

 

Afisa Mahusiano na Huduma kwa Wateja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Bi Emma Nyaki (kushoto), akielezea kuhusu matumizi ya nishati mbadala na safi kwa ajili ya kupikia chakula.

 

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025. 

 

 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 imeanza kwa shamrashamra nchini huku Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) likipokea pongezi nyingi kwa hatua kubwa ilizozichukua kuboresha huduma kwa wateja mkoani Shinyanga.
 
Maadhimisho hayo yanafanyika chini ya kaulimbiu “Mpango Umewezekana”, yakilenga kuimarisha mawasiliano, uwajibikaji na kasi ya kushughulikia changamoto za wateja kwa wakati.
 
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa maadhimisho hayo leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, amesema kuwa TANESCO imepiga hatua kubwa katika utoaji wa huduma, hasa kupitia maboresho ya dawati la huduma kwa wateja (Customer Care Desk), hatua iliyopunguza kwa kiasi kikubwa malalamiko kutoka kwa wananchi.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro.
 
“Kinachotakiwa ni customer care; huduma bora kwa wateja hujenga imani na uvumilivu. TANESCO imefanikiwa sana katika eneo hilo kwa sasa, mnafanya vizuri sana,” amesema Mtatiro.
 
“Ofisi ya Mkuu wa Wilaya inapata mrejesho chanya kuhusu huduma zenu, tofauti na awali ambapo malalamiko mengi yalihusu dawati la huduma kwa wateja. Hongereni sana,” ameongeza.
 
Ameitaka TANESCO kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu namna ya kuwatambua wafanyakazi halali wa shirika hilo ili kudhibiti tatizo la vishoka wanaojitambulisha kwa udanganyifu kama watumishi wa TANESCO.
 
Aidha, Mtatiro amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ajenda ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, akisema hatua hiyo ni muhimu kwa kulinda mazingira na afya za wananchi.
 
Kwa upande wake, Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, amewapongeza wafanyakazi wa TANESCO kwa kujituma na kutoa huduma zenye ubora, huku akihimiza kuongeza kasi zaidi katika kuwahudumia wateja kwa ufanisi na kwa lugha nzuri.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga
 
“Tunataka kuhakikisha lengo letu la kuwahudumia wateja wapya 47,192 kutoka 14,990 kwa mwaka huu mkoani Shinyanga linafanikiwa,” amesema Mhandisi Luoga.
 
“Kitaifa tunalenga kuwafikia wateja wapya milioni 1.7 kutoka 500,000 hapo awali, sambamba na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za serikali kulinda mazingira”,ameeleza.
 
Kwa upande wake, Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Seraphine Lyimo amesema kuwa shirika hilo limejipanga kuendelea kuboresha huduma kwa wateja kwa vitendo kupitia vikao vya kusikiliza maoni ya wananchi, kutoa elimu kuhusu matumizi salama ya umeme, na kuimarisha maadili ya watumishi wake.
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Seraphine Lyimo.
 
“Tumejipanga kuhakikisha huduma kwa wateja zinaendelea kuimarika zaidi. Tutakuwa tukikutana na wateja mara kwa mara kusikiliza kero na mapendekezo yao ili kuboresha utendaji wetu,” amesema Meneja huyo.
 
Amesema Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja yatatumika kama jukwaa muhimu kwa TANESCO kukutana ana kwa ana na wateja, kujifunza kutoka kwao na kuimarisha uhusiano kati ya shirika na jamii.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo kwenye tovuti rasmi ya TANESCO (www.tanesco.co.tz), shirika hilo limekuwa likitekeleza mpango maalum wa Customer Service Improvement Strategy unaolenga kuongeza kasi ya kushughulikia maombi ya wateja, kuimarisha miundombinu ya mawasiliano, na kuongeza vituo vya huduma katika mikoa yote nchini.
 
Mbali na hilo, TANESCO inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kuongeza upatikanaji wa nishati, ikiwemo Mradi wa Gridi Imara, ujenzi wa vituo vya kuzalisha umeme wa jua (Solar Power Plants) katika mikoa ya Shinyanga na Dodoma, pamoja na kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi majumbani.
 
Kupitia maboresho haya, TANESCO inaonesha dhamira yake ya dhati ya kutoa huduma bora, za haraka na zenye kuzingatia mahitaji ya wananchi, sambamba na kuunga mkono ajenda ya taifa ya nishati safi na maendeleo endelevu.
 
TAZAMA PICHA HAPA CHINI
 
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 iliyoandaliwa na TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Oktoba 6, 2025.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 ya TANESCO Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 ya TANESCO Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 ya TANESCO Mkoa wa Shinyanga.
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Seraphine Lyimo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 TANESCO Mkoa wa Shinyanga.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga (kulia), akielezea kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati mbadala na safi ya kupikia, wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 TANESCO Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Mahusiano na Huduma kwa Wateja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Bi Emma Nyaki (kushoto), akielezea kuhusu matumizi ya nishati mbadala na safi kwa ajili ya kupikia chakula.
Afisa Mahusiano na Huduma kwa Wateja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Bi Emma Nyaki (kushoto), akielezea kuhusu matumizi ya nishati mbadala na safi kwa ajili ya kupikia chakula.
Majiko yanayotumia nishati ya umeme

About the author

Alex Sonna