Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet

jojobet

holiganbet

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

meritking

jojobet

jojobet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betpark

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

“MAFUNZO YA MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA YATUMIKE KUBORESHA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI”

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka ofisi za wakuu wa mikoa, wakati akifungua mafunzo hayo mjini Morogoro yanayotolewa katika na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka ofisi za wakuu wa mikoa, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo hayo mjini Morogoro yanayotolewa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

Mwenyekiti wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi anayeshughulikia Utawala na Raslimaliwatu Mkoa wa Singida Bw. Steven Pancras, akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta kufungua mafunzo hayo mjini Morogoro yanayotolewa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

Washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka ofisi za wakuu wa mikoa, wakimsikiliza Mwenyekiti wa mafunzo hayo ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi anayeshughulikia Utawala na Raslimaliwatu Mkoa wa Singida Bw. Steven Pancras kabla hajamkaribisha Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta kufungua mafunzo hayo yanayotolewa mjini Morogoro katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

 

Mkufunzi wa Mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Noah Mkasanga akiwasilisha mada kwa washiriki wa mafunzo hayo, yanayotolewa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro.

Kaimu Katibu Tawala Msaidizi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Elihuruma Nyella akiahidi kutekeleza maelekezo ya Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta, mara baada ya mkurugenzi huyo kufungua mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kwa watendaji wa ofisi za wakuu wa mikoa yanayotolewa katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bw. Ambwene Mwaifuge akiahidi kutekeleza maelekezo ya Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta, mara baada ya mkurugenzi huyo kufungua mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kwa watendaji wa ofisi za wakuu wa mikoa yanayotolewa katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro.

Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka ofisi za wakuu wa mikoa, mara baada ya kufungua mafunzo hayo mjini Morogoro yanayotolewa katika na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kutoka ofisi za wakuu wa mikoa, mara baada ya kufungua mafunzo hayo mjini Morogoro yanayotolewa katika na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA).

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI

Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi. Beatrice Kimoleta amewataka Makatibu Tawala Wasaidizi Sehemu ya Utawala na Rasilimaliwatu na Wakuu wa Vitengo vya Mwasiliano Serikalini kutoka Ofisi za wakuu wa mikoa nchini, kutumia ujuzi na maarifa watakayoyapata kwenye mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi na kuongeza ufanisi kiutendaji.

Bi. Kimoleta ametoa wito huo akiwa mkoani Morogoro, wakati akifungua mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja kwa Makatibu Tawala Wasaidizi Sehemu ya Utawala na Rasilimaliwatu na Wakuu wa Vitengo vya Mwasiliano Serikalini wa ofisi za wakuu wa mikoa, ambayo yanatolewa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-UTUMISHI. 

“Tunahitaji kuboresha namna ya kuwahudumia wananchi ili wasisite kufuata huduma na ndio maana tumewaiteni katika mafunzo haya ya kuandaa mkataba wa huduma kwa mteja kwa lengo la kuwajengea uwezo utakaowawezesha kutoa huduma bora kwa wananchi,” Bi. Kimoleta amefafanua.

Bi. Kimoleta amesisitiza kuwa, Serikali inaamini kwamba viongozi hao wakipatiwa mafunzo na kufanikiwa kutengeneza mikataba ya huduma kwa mteja watapata uelewa wa kutoa elimu kwa watumishi wengine ya namna ya kutekeleza mikataba hiyo, na hatimaye wananchi watanuifaika na uwepo wa mikataba hiyo kwa kupatiwa huduma bora.

Bi. Kimoleta ameongeza kuwa, maafisa wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini wa mikoa wanajukumu kubwa la kutoa elimu ya utekelezaji wa mikataba ya huduma kwa wateja, ili kuwawezesha watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao na kuwawezesha wananchi kutambua wajibu wao pindi wanafuata huduma katika ofisi za Wakuu wa Mikoa.

Aidha, Bi. Kimoleta amesema kwamba Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upande wake amewekeza sana Serikalini kwenye eneo la rasilimaliwatu, miundombinu na vitendea kazi, hivyo ni jukumu na watumishi wa umma nchini kumuunga mkono kwa vitendo Mhe. Rais kwa kuwahudumia wananchi kwa weledi, uadilifu na moyo wa uzalendo.

Kwa upande wake, Kaimu Katibu Tawala Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Elihuruma Nyella amesema wamepokea maelekezo ya mkurugenzi Beatrice Kimoleta, hivyo watahakikisha wananchi wanapata huduma bora kama zitakavyoanishwa kwenye mikataba ya huduma kwa mteja ya ofisi za wakuu wa mikoa nchini.

Naye, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bw. Ambwene Mwaifuge amesema kuwa, maafisa habari wanalo jukumu la kuitangaza mikataba ya huduma kwa wateja kupitia mikutano ya hadhara, mikutano ya dini na semina mbalimbali zitakazofanyika ndani ya mikoa ili mikataba hiyo itumike ipasavyo katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Mafunzo haya ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja yanafanyika kwa siku nne, ili kuwajengea uwezo Makatibu Tawala Wasaidizi Sehemu ya Utawala na Rasilimaliwatu na Wakuu wa Vitengo vya Mwasiliano Serikalini wa ofisi za wakuu wa mikoa wa kuandaa mikataba ya huduma kwa wateja itakayokuwa ni chachu ya kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna