Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

WANANCHI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUFIKISHA UMEME VITUO VYA AFYA VIJIJINI

Written by Alex Sonna

Wananchi katika Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora wamempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha umeme kwenye vituo vya afya vijijini.

Wamesema kuwa kufika kwa umeme kwenye vituo vya afya vijijini kumeboresha huduma za afya ambapo awali walilazimika kusafiri kwenda umbali mrefu au kusubiri siku nyingi kupata majibu ya vipimo vyao ambavyo vilipelekwa hospitali za mjini.

“Tulikuwa ukipata shida unatakiwa uende Lolangulu, Ndono au uende Usoke. Vifo vya akina mama vitapungua kwa sababu huduma tunaipata karibu. Ilikuwa mtoto akipata dharura ya haraka ulitakiwa upande gari uende mjini mpaka Kitete. Hauna nauli ya haraka inakuwa changamoto, tulikuwa tunapoteza watoto wetu. Tunakushkuru sana Mama Samia Suluhu,” amesema Mariam Haruna mkazi wa Kijiji cha Mabama Wilaya ya Uyui mkoani Tabora.

Mzee Omary Mohammed na Suleiman Mrisho pia wamemshkuru na kumpongeza Mhe. Rais, Dkt. Samia kwa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwamo miradi ya nishati ya umeme katika vijiji vyao na kuahidi kutumia uwepo wa umeme kujiletea maendeleo.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Hassani Mwakasuvi kilichopo Kijiji cha Mabama, Dkt. Renatus Mathias amesema uwepo wa umeme katika kituo hicho umewezesha kuboresha huduma za afya na kuweza kutoa majibu kwa haraka kwa wananchi.

“Kuna vifaa tulikuwa hatuwezi kuvitumia awali sababu vinatumia umeme hivyo wananchi walilazimika kwenda kufanya vipimo nje ya kituo chetu. Lakini kwa sasa vifaa vyote vinafanya kazi na tunafanya vipimo na majibu tunatoa hapahapa. Hatuna haja ya kusafirisha vipimo wilayani au mkoani kwa ajili ya kupata majibu na hivyo wagonjwa wanatibiwa kwa wakati,” amefafanua Dkt. Mathias.

Akizungumzia mradi huo wa kupeleka umeme kwenye vituo vya afya na pampu za maji unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka REA, Jaina Msuya amesema kuwa mradi huo wa kupeleka umeme kwenye vituo vya afya na pampu za maji umelenga kuboresha sekta ya afya vijijini.

“Katika kuendelea kuboresha maisha ya wananchi wake, Serikali ya Awamu ya Sita imejenga vituo vya afya katika ngazi ya kata na vituo hivyo vingi vimeshafikishiwa huduma ya nishati ya umeme. Na vinawezesha wananchi kupata huduma bora kabisa ya afya,” amefafanua Msuya.

About the author

Alex Sonna