marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

https://letsrelaxspa.today/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

jojobet giriş

grandpashabet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betplay

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

bets10

betasus giriş

kingroyal giriş

Kitaifa

PICU INAVYOOKOA MAISHA YA WATOTO MUHIMBILI NA KUTOA MAFUNZO KWA WATAALAM WENGINE NCHINI

Written by mzalendo

Uwepo wodi ya watoto wanaohitaji uangalizi maalum (PICU) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili umesaidia kuokoa maisha ya watoto ambao walikuwa wanapoteza maisha hapo awali kutokana na ukosefu wa huduma hiyo.

Daktari Bingwa wa Watoto, Dkt. Namala Mkopi ambaye pia ni Mkuu wa Wodi hiyo amesema huduma katika eneo hilo hutolewa kwa watoto wote ambao wako katika hali mahututi na wale ambao wametoka kufanyiwa upasuaji mkubwa na wanahitaji kuangaliwa kwa ukaribu zaidi.

Dkt. Mkopi ameongeza kuwa kuanzishwa kwa wodi ya PICU kumewezesha kufanyika kwa huduma za upasuaji za kibingwa na bobezi ambazo awali zilikuwa hazifanyiki kutokana na ukosefu wa wodi ya uangalizi maalumu na wakati mwingine zilikuwa zinafanyika kwa mashaka kwa sababu huduma za uangalizi wa karibu kwa watoto ulikuwa wa mashaka.

“Tangu tumeanzisha wodi hii mwaka 2019 tumeweza kuokoa maisha ya watoto ambao awali walikuwa wanafariki kwa kukosa huduma za uangalizi wa maalum kwani ilitulazimu kuwalaza watoto hao katika PICU ya watu wazima ila tangu tumeanzisha kitengo hiki tumeokoa maisha ya watoto wengi,” amefafanua Dkt. Mkopi.

Pamoja na hayo ameongeza kuwa PICU ina jukumu la kutoa elimu kwa wataalam wengine wanaohudumiwa watoto katika maeneo mengine hospitalini hapo kuhakikisha kuwa wanagundua mapema watoto ambao wanahitaji kupatiwa uangalizi wa karibu na kuwapelekeka katika kitengo hicho kwa wakati ili wapatiwe huduma stahiki na kuokoa maisha yao.

Kwa upande mwingine ameeleza kuwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ndio hospitali ya kwanza kuanzisha huduma hiyo nchini hivyo imekuwa na jukumu la kuhakikisha kuwa inawajengea uwezo wataalamu wa hospitali nyingine sehemu mbalimbali nchini ili kutoa huduma kama hizo katika maeneo yao na kusaidia kuokoa maisha ya watoto hao.

“Tuna jukumu kubwa kama hospitali ya taifa kuhakikisha kwamba sio tu Muhimbili inaokoa maisha ya watoto mahututi bali hata sehemu nyingine ambazo wanatoa huduma kwa watoto hivyo katika kufanikisha hili tunatoa elimu kwa hospitali zingine ambazo zinataka kuanzisha kitengo kama hiki,” amesema Dkt. Mkopi.

Dkt. Mkopi ametaja kuwa watoto wengi wanaolazwa PICU ni pamoja na wenye magonjwa ya kuambukiza, waliofanyiwa upasuaji mkubwa, wenye saratani na magonjwa mengine ambao hupata huduma kutoka kwa watalaam mseto wakiwemo madaktari bingwa wa watoto, madaktari bingwa wa watoto mahututi, madaktari wa kawaida, wataalamu wa utengamao, wataalamu wa lishe pamoja na wauguzi waliobobea.

About the author

mzalendo