Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA UMMA FUNDISHENI VIJANA MAADILI MEMA KUOKOA KIZAZI KIJACHO-WAZIRI GWAJIMA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima ametoa rai kwa viongozi wa umma nchini kuzingatia maadili kwa kuwafundisha vijana maadili mema ili kuokoa kizazi kijacho.

Amesema, “lazima sisi viongozi tuwe mstari wa mbele kuwafundisha maadili mema vijana wetu ili kuwaepusha kudumbukia kwenye vitendo vinavyokinzana na maadili yetu ukiwemo ushoga na mapenzi ya jinsia moja.”

Dkt. Gwajima ametoa rai hiyo jijini Arusha Mei 4, 2023 alipokutana na baadhi ya viongozi wa mkoa huo walioudhuria mafunzo ya siku moja kuhusu Maadili ya Viongozi wa Umma. Mafunzo hayo yameandaliwa na Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Alisema, “tujiulize tunafanya nini kujenga kizazi bora katika taifa letu, lazima tuzingatie maadili yetu. Agenda ya maadili sio ya utumishi wa umma au nyinyi viongozi peke yenu, ni agenda ya wananchi wote.”

Mafunzo hayo yalifunguliwa na Bw. David Lyamongi, Katibu Tawala Msaidizi Utawala mkoa wa Arusha  kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo. 

Akifungua mafunzo hayo, Bw. Lyamongi ametoa wito kwa wakuu wote wa taasisi mkoani humo kuzingatia maadili ya utumishi wa umma wanapotimiza majukumu yao ili kujenga imani ya Serikali kwa wananchi na kuwasaidia wananchi kunufaika na rasilimali za nchi. 

Alisema, “wakuu wote wa taasisi katika mkoa wetu lazima wawe na maadili yanayoeleweka ili wananchi wanufaike na mipango ya Serikali.”

Kwa mujibu wa Bw. Lyamongi, uadilifu wa viongozi wa umma unatakiwa kuwanufaisha wananchi kwa kupata huduma bora katika maeneo yao.

“Maadili ya kiongozi wa umma yanatakiwa kujidhihilisha mahali popote, kiongozi wa umma anapokuwa ofisini, mtaani au ndani ya familia yake, lazima awe mfano kwa jamii iliyomzunguka.

Katika hatua nyingine, Bw. Lyamongi ameagiza watendaji wakuu katika taasisi mbalimbali za mkoa wa Arusha kutoa miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya utumishi kwa watumishi walioko chini yao ili iwasaidia kujua mabadiliko ya kiutumishi.

“Ni vizuri mkatoa miongozo inayotolewa na Serikali kuhusu mabadiliko mbalimbali yakiwemo maslahi ya watumishi ili kuwasaidia watumishi kujua mabadiliko husika katika utumishi wa umma,” amesema.

Kwa upande wake Bi. Anna Mbasha, Katibu Msaidizi, Kanda ya Kaskazini ametoa wito kwa watoa maamuzi kuzingatia maadili katika kufanya maamuzi ikiwemo kupima madhara ya uamuzi wanaoufanya kwa umma.

Aidha, Bi Mbasha amekemea tabia ya baadhi ya viongozi kutumia vibaya madaraka yao kwa kuendekeza tamaa na kuwanyanyasa watumishi walioko chini yao.

Amesema kuwa ni lazima kiongozi wa umma aepuke kuweka shinikizo dhidi ya mtumishi aliyeko chini yake anaposhughulikia mambo ya kiutumishi.

“Kiongozi wa Umma anatakiwa kuepuka shinikizo lisilofaa kwa mtumishi aliyeko chini yeke anapochukua hatua za kinidhamu au kumpandisha daraja badala yake, atumieni njia sahihi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi,” amesema.

Naye Bw. Fabian Pokela, Katibu Msaidizi toka Makao Makuu, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dodoma ameeleza kuwa miradi ya Taifa ya kimkakati kutosimamiwa vizuri kunatokana na baadhi ya viongozi wanaohusika na miradi hiyo kukosa uadilifu.

Bw. Pokela amesema hayo wakati akiwasilisha mada kuhusu Mgongano wa Maslahi.

“Tatizo hili lina madhara makubwa kwa jamii ikiwemo miradi ya kimkakati kutokamilika ipasavyo na kwa wakati,” amesema.

Bi. Emmanuela Kaganda, Mkuu wa wilaya ya Arumeru akiongea kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo amesema kuwa mafunzo hayo ni muhimu sana kwasababu wengi wetu tuna mamlaka makubwa katika maeneo yetu ya kazi na wapo viongozi waliopata ajali za kikazi sio kwasababu hawana uwezo wa kazi, bali ni kutokana na kuyakosa mafunzo hayao.

“Baada ya mafunzo haya, kila mtu aende na kusimama kwenye nafasi yake na atende haki,” alisema.

About the author

Alex Sonna