Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

VIPAUMBELE 10 VYA WIZARA YA VIWANDA,BIASHARA NA UWEKEZAJI MWAKA 2023-2024

Written by Alex Sonna

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023.

Naibu Waziri, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe,akijibu swali bungeni lililoulizwa wakati wa kikao cha bunge kinachoendelea jijini Dodoma  leo Mei 4,2023.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah,akimsikiliza Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023.

Sehemu ya Viongozi na Watumishi wa wizara hiyo wakimfuatalia Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji,(hayupo pichani) wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Viwanda Biashara na Uwekezaji imetaja vipaumbele vyake  10 katika mwaka wa fedha 2023-204 ikiwemo kuboresha mazingira ya biashara nchini.

Hayo yameelezwa leo,Mei 4,2023 Jijini Dodoma  na Waziri wa Wizara hiyo,Dk.Ashatu Kijaji wakati akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo bungeni kwa mwaka wa fedha 2023-2024.

Wizara hiyo imeomba kuidhinishiwa  zaidi ya Sh bilioni 119 ambapo zaidi ya  Sh bilioni 75 ni kwa matumizi ya kawaida na zaidi ya Sh bilioni 63 ni mishahara na zaidi ya  Sh bilioni 43  ni kwa ajili ya  matumizi ya maendeleo.

Dk Kijaji amevitaja vipaumbele vya wizara hiyo kuwa ni  kutekeleza miradi ya kielelezo ya Magadi Soda Engaruka, Makaa ya Mawe – Mchuchuma na Chuma – Liganga.

Pia, uwekezaji  katika maeneo maalum ya kiuchumi (SEZ) na kongani za viwanda ikiwa ni pamoja na Nala SEZ, Kwala SEZ, Mkulazi SEZ, eneo maalumu la uwekezaji Bagamoyo;

“Kuimarisha Uwezo wa Uzalishaji Viwandani na Utoaji Huduma.Kuboresha Mazingira ya Biashara.Kukuza Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.Kukuza Sekta Binafsi.Kuratibu majadiliano ya biashara baina ya nchi na nchi, Kikanda na Kimataifa na Kuimarisha Huduma za Biashara na Masoko,”amesema Dk Kijaji.

MALENGO

Dk Kijaji amesema katika mwaka wa 2023/2024 Wizara imepanga kukamilisha Sera, Mikakati na Miongozo ya kuendeleza sekta ya Viwanda,kuboresha na kuongeza ustawi na tija ya viwanda nchini.

Pia,kuwa na takwimu, tathmini na taarifa zitakazowezesha kuendeleza sekta ya Viwanda,kuwezesha uanzishwaji wa viwanda vipya na kongani za viwanda,kuendelea na utekelezaji wa miradi ya kimkakati na kielelezo.

Vilevile,kufanya majadiliano na mwekezaji ili kusaini Mkataba wa ubia pamoja na kulipa leseni za uchimbaji wa Makaa ya Mawe Katewaka,kufanya utafiti wa kina wa kijiolojia (Geological study) na kulipia leseni za uchimbaji katika Mradi wa Makaa ya Mawe Muhukuru.

“Kuendeleza kiwanda cha KMTC katika Mkoa wa Kilimanjaro,kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya msingi katika Kongani ya Viwanda – TAMCO,Kuendeleza Kiwanda cha TBPL na kuendelea kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa zinazozalishwa,”amesema Waziri huyo.

Ameyataja malengo mengine ni kukamilisha majadiliano na mwekezaji na kusaini mkataba wa ubia (JVA Agreement) na kulipia leseni za uchimbaji – Maganga Matitu.

“Kutafuta mwekezaji na Kufanya ukarabati wa majengo katika kiwanda cha Mang’ula,Kufanya maandalizi ya awali kwa mradi wa mafuta ya kula (preliminary preparation for establishment of edible oil) na kuendelea kufanya ukarabati wa majengo ya Nyanza Glass ili kuvutia wawekezaji wa viwanda,”amesema Dk Kijaji.

MAZINGIRA WEZESHI YA KUFANYA BIASHARA

Dk Kijaji amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na biashara nchini ili kuvutia mitaji kutoka ndani na nje ya nchi.

Amesema katika kutekeleza azma hiyo, Wizara imeendelea kufanya mapitio ya Sera mbalimbali zinazosimamia Uwekezaji, Viwanda na Biashara nchini.

Amesema Sera ya Taifa ya Uwekezaji ya Mwaka 1996, Sera ya Maendeleo ya Viwanda (1996- 2020) na Sera ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo (2003) ambapo amedai sera hizo ziko katika hatua ya ukusanyaji wa maoni ya wadau.

Aidha, Sera ya Taifa ya Biashara (2003) ipo katika ngazi ya maamuzi ya Serikali.

“Sera hizo zinafanyiwa mapitio ili ziendane na mazingira ya sasa ya uwekezaji na biashara ikiwa ni pamoja na kujumuisha vipaumbele vilivyoainishwa katika Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka (2021/2022 – 2025/2026) na mabadiliko mbalimbali yakiwemo ya kiuchumi na kiteknolojia,”amesema Waziri Kijaji.

MAENDELEO YA BIASHARA

Waziri Kijaji amesema Serikali imepanga katika maendeleo ya biashara ,kusimamia, kuratibu na kuboresha mazingira wezeshi ya kufanya biashara nchini,kuwaunganisha wazalishaji, wasindikaji na wafanyabiashara na masoko ya ndani na nje ya nchi.

Pia,kufanya tafiti mbalimbali kuhusu upatikanaji wa masoko ya mazao na bidhaa,kupitia Sera ya Masoko ya Mazao ya Kilimo ya mwaka 2008,kutayarisha viwango 640 vya kitaifa katika sekta/Nyanja mbalimbali.

“Kutoa leseni ya ubora kwa bidhaa 800 kutoka katika sekta Mbalimbali,kusajili majengo 12,000 ya maeneo ya uzalishaji, uuzaji na usambazaji wa bidhaa za chakula na vipodozi (food and cosmetic premises),”amesema Waziri huyo.

VIWANDA VIDOGOVIDOGO

Dk Kijaji amesema Wizara inaendelea kuhamasisha na kuelimisha wajasiriamali wadogo na wa kati kurasimisha biashara zao na kufanya shughuli zao katika maeneo rasmi ili kuwawezesha kutambulika na Serikali na taasisi mbalimbali zikiwemo taasisi za kifedha.

Amesema katika kurahisisha upatikanaji wa kanuni na taratibu mbalimbali za urasimishaji biashara na huduma mbalimbali, Wizara imeandaa rasimu ya Mwongozo wa urasimishaji biashara nchini.

“Jumla ya taasisi 78 zinazohusika na usajili, utoaji wa leseni na vibali mbalimbali vya kuanzisha na kuendesha biashara nchini zimehusishwa katika Mwongozo huo,”amesema Dk Kijaji

Aidha, kukamilika kwa Mwongozo huo kutasaidia kupunguza muda na gharama kwa wajasiriamali wadogo na wa kati pindi watakapohitaji kujua kanuni na taratibu mbalimbali za kurasimisha biashara.

SEKTA BINAFSI NA UMMA

Aidha amesema serikali inaendelea kuimarisha mifumo ya majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Dialogue – PPD) kupitia Mabaraza ya Biashara ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa kwa lengo la kutatua vikwazo na changamoto zinazokwamisha biashara na uwekezaji.

Amesema katika kipindi cha Julai, 2022 hadi Machi, 2023, jumla ya mikutano 10 imefanyika katika ngazi ya mikoa.

Amesema matokeo ya vikao hivyo ni kuendeleza juhudi za makusudi za kuchochea ushiriki wa Sekta Binafsi katika kufanya maboresho muhimu ya Sera, Sheria, Miongozo na Kanuni mbalimbali zinazosimamia Sekta Binafsi.

MIRADI YA KIMKAKATI NA AJIRA 101,353

Katika kipindi cha Julai, 2022 hadi Machi, 2023 miradi ya kimkakati na uwekezaji imezalisha ajira 101,353 za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

“Ikilinganishwa na ajira 72,395 zilizozalishwa kwa mwaka 2021 ikiwa ni ongezeko la asilimia 28.6. Kati ya hizo, ajira zilizozalishwa kwa wanawake ni 27,588 na wanaume 73,765,”amesema Waziri huyo.

Aidha, ajira 81,082 zilikuwa ni kwa vijana kati ya umri wa miaka 18 – 35 ambapo zaidi ya asilimia 78 wanafanya shughuli zenye ujuzi wa chini na asilimia 14 ni za ujuzi wa kati na asilimia 8 ujuzi wa juu.

Vile vile, miradi ilitoa fursa kwa watu wenye ulemavu 237 katika ajira za ujuzi wa kati na juu.

About the author

Alex Sonna