marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

casinoroyal

betist

betist

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA UMMA FUNDISHENI VIJANA MAADILI MEMA KUOKOA KIZAZI KIJACHO-WAZIRI GWAJIMA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima ametoa rai kwa viongozi wa umma nchini kuzingatia maadili kwa kuwafundisha vijana maadili mema ili kuokoa kizazi kijacho.

Amesema, “lazima sisi viongozi tuwe mstari wa mbele kuwafundisha maadili mema vijana wetu ili kuwaepusha kudumbukia kwenye vitendo vinavyokinzana na maadili yetu ukiwemo ushoga na mapenzi ya jinsia moja.”

Dkt. Gwajima ametoa rai hiyo jijini Arusha Mei 4, 2023 alipokutana na baadhi ya viongozi wa mkoa huo walioudhuria mafunzo ya siku moja kuhusu Maadili ya Viongozi wa Umma. Mafunzo hayo yameandaliwa na Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Alisema, “tujiulize tunafanya nini kujenga kizazi bora katika taifa letu, lazima tuzingatie maadili yetu. Agenda ya maadili sio ya utumishi wa umma au nyinyi viongozi peke yenu, ni agenda ya wananchi wote.”

Mafunzo hayo yalifunguliwa na Bw. David Lyamongi, Katibu Tawala Msaidizi Utawala mkoa wa Arusha  kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo. 

Akifungua mafunzo hayo, Bw. Lyamongi ametoa wito kwa wakuu wote wa taasisi mkoani humo kuzingatia maadili ya utumishi wa umma wanapotimiza majukumu yao ili kujenga imani ya Serikali kwa wananchi na kuwasaidia wananchi kunufaika na rasilimali za nchi. 

Alisema, “wakuu wote wa taasisi katika mkoa wetu lazima wawe na maadili yanayoeleweka ili wananchi wanufaike na mipango ya Serikali.”

Kwa mujibu wa Bw. Lyamongi, uadilifu wa viongozi wa umma unatakiwa kuwanufaisha wananchi kwa kupata huduma bora katika maeneo yao.

“Maadili ya kiongozi wa umma yanatakiwa kujidhihilisha mahali popote, kiongozi wa umma anapokuwa ofisini, mtaani au ndani ya familia yake, lazima awe mfano kwa jamii iliyomzunguka.

Katika hatua nyingine, Bw. Lyamongi ameagiza watendaji wakuu katika taasisi mbalimbali za mkoa wa Arusha kutoa miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya utumishi kwa watumishi walioko chini yao ili iwasaidia kujua mabadiliko ya kiutumishi.

“Ni vizuri mkatoa miongozo inayotolewa na Serikali kuhusu mabadiliko mbalimbali yakiwemo maslahi ya watumishi ili kuwasaidia watumishi kujua mabadiliko husika katika utumishi wa umma,” amesema.

Kwa upande wake Bi. Anna Mbasha, Katibu Msaidizi, Kanda ya Kaskazini ametoa wito kwa watoa maamuzi kuzingatia maadili katika kufanya maamuzi ikiwemo kupima madhara ya uamuzi wanaoufanya kwa umma.

Aidha, Bi Mbasha amekemea tabia ya baadhi ya viongozi kutumia vibaya madaraka yao kwa kuendekeza tamaa na kuwanyanyasa watumishi walioko chini yao.

Amesema kuwa ni lazima kiongozi wa umma aepuke kuweka shinikizo dhidi ya mtumishi aliyeko chini yake anaposhughulikia mambo ya kiutumishi.

“Kiongozi wa Umma anatakiwa kuepuka shinikizo lisilofaa kwa mtumishi aliyeko chini yeke anapochukua hatua za kinidhamu au kumpandisha daraja badala yake, atumieni njia sahihi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi,” amesema.

Naye Bw. Fabian Pokela, Katibu Msaidizi toka Makao Makuu, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dodoma ameeleza kuwa miradi ya Taifa ya kimkakati kutosimamiwa vizuri kunatokana na baadhi ya viongozi wanaohusika na miradi hiyo kukosa uadilifu.

Bw. Pokela amesema hayo wakati akiwasilisha mada kuhusu Mgongano wa Maslahi.

“Tatizo hili lina madhara makubwa kwa jamii ikiwemo miradi ya kimkakati kutokamilika ipasavyo na kwa wakati,” amesema.

Bi. Emmanuela Kaganda, Mkuu wa wilaya ya Arumeru akiongea kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo amesema kuwa mafunzo hayo ni muhimu sana kwasababu wengi wetu tuna mamlaka makubwa katika maeneo yetu ya kazi na wapo viongozi waliopata ajali za kikazi sio kwasababu hawana uwezo wa kazi, bali ni kutokana na kuyakosa mafunzo hayao.

“Baada ya mafunzo haya, kila mtu aende na kusimama kwenye nafasi yake na atende haki,” alisema.

About the author

Alex Sonna