Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet, aresbet giriş

betcio, betcio giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

tipobet

jojobet

ilbet

ilbet giriş

pulibet

cratosroyalbet

tarafbet

kavbet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

holiganbet

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

holiganbet giriş

jojobet giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

holiganbet

casinomilyon

marsbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

amgbahis

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

meritbet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

vaycasino giriş

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

betgit

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA UMMA FUNDISHENI VIJANA MAADILI MEMA KUOKOA KIZAZI KIJACHO-WAZIRI GWAJIMA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima ametoa rai kwa viongozi wa umma nchini kuzingatia maadili kwa kuwafundisha vijana maadili mema ili kuokoa kizazi kijacho.

Amesema, “lazima sisi viongozi tuwe mstari wa mbele kuwafundisha maadili mema vijana wetu ili kuwaepusha kudumbukia kwenye vitendo vinavyokinzana na maadili yetu ukiwemo ushoga na mapenzi ya jinsia moja.”

Dkt. Gwajima ametoa rai hiyo jijini Arusha Mei 4, 2023 alipokutana na baadhi ya viongozi wa mkoa huo walioudhuria mafunzo ya siku moja kuhusu Maadili ya Viongozi wa Umma. Mafunzo hayo yameandaliwa na Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Alisema, “tujiulize tunafanya nini kujenga kizazi bora katika taifa letu, lazima tuzingatie maadili yetu. Agenda ya maadili sio ya utumishi wa umma au nyinyi viongozi peke yenu, ni agenda ya wananchi wote.”

Mafunzo hayo yalifunguliwa na Bw. David Lyamongi, Katibu Tawala Msaidizi Utawala mkoa wa Arusha  kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo. 

Akifungua mafunzo hayo, Bw. Lyamongi ametoa wito kwa wakuu wote wa taasisi mkoani humo kuzingatia maadili ya utumishi wa umma wanapotimiza majukumu yao ili kujenga imani ya Serikali kwa wananchi na kuwasaidia wananchi kunufaika na rasilimali za nchi. 

Alisema, “wakuu wote wa taasisi katika mkoa wetu lazima wawe na maadili yanayoeleweka ili wananchi wanufaike na mipango ya Serikali.”

Kwa mujibu wa Bw. Lyamongi, uadilifu wa viongozi wa umma unatakiwa kuwanufaisha wananchi kwa kupata huduma bora katika maeneo yao.

“Maadili ya kiongozi wa umma yanatakiwa kujidhihilisha mahali popote, kiongozi wa umma anapokuwa ofisini, mtaani au ndani ya familia yake, lazima awe mfano kwa jamii iliyomzunguka.

Katika hatua nyingine, Bw. Lyamongi ameagiza watendaji wakuu katika taasisi mbalimbali za mkoa wa Arusha kutoa miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya utumishi kwa watumishi walioko chini yao ili iwasaidia kujua mabadiliko ya kiutumishi.

“Ni vizuri mkatoa miongozo inayotolewa na Serikali kuhusu mabadiliko mbalimbali yakiwemo maslahi ya watumishi ili kuwasaidia watumishi kujua mabadiliko husika katika utumishi wa umma,” amesema.

Kwa upande wake Bi. Anna Mbasha, Katibu Msaidizi, Kanda ya Kaskazini ametoa wito kwa watoa maamuzi kuzingatia maadili katika kufanya maamuzi ikiwemo kupima madhara ya uamuzi wanaoufanya kwa umma.

Aidha, Bi Mbasha amekemea tabia ya baadhi ya viongozi kutumia vibaya madaraka yao kwa kuendekeza tamaa na kuwanyanyasa watumishi walioko chini yao.

Amesema kuwa ni lazima kiongozi wa umma aepuke kuweka shinikizo dhidi ya mtumishi aliyeko chini yake anaposhughulikia mambo ya kiutumishi.

“Kiongozi wa Umma anatakiwa kuepuka shinikizo lisilofaa kwa mtumishi aliyeko chini yeke anapochukua hatua za kinidhamu au kumpandisha daraja badala yake, atumieni njia sahihi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi,” amesema.

Naye Bw. Fabian Pokela, Katibu Msaidizi toka Makao Makuu, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dodoma ameeleza kuwa miradi ya Taifa ya kimkakati kutosimamiwa vizuri kunatokana na baadhi ya viongozi wanaohusika na miradi hiyo kukosa uadilifu.

Bw. Pokela amesema hayo wakati akiwasilisha mada kuhusu Mgongano wa Maslahi.

“Tatizo hili lina madhara makubwa kwa jamii ikiwemo miradi ya kimkakati kutokamilika ipasavyo na kwa wakati,” amesema.

Bi. Emmanuela Kaganda, Mkuu wa wilaya ya Arumeru akiongea kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo amesema kuwa mafunzo hayo ni muhimu sana kwasababu wengi wetu tuna mamlaka makubwa katika maeneo yetu ya kazi na wapo viongozi waliopata ajali za kikazi sio kwasababu hawana uwezo wa kazi, bali ni kutokana na kuyakosa mafunzo hayao.

“Baada ya mafunzo haya, kila mtu aende na kusimama kwenye nafasi yake na atende haki,” alisema.

About the author

Alex Sonna