Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

BILIONI 27 ZATOLEWA KUBORESHA BARABARA ZA RUKWA- RC MKIRIKITI

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti ( aliyeshika kipaza sauti) akifungua kikao hicho leo mjini Sumbawanga. Wengine Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa Rainer Lukala. Kushoto wa kwanza ni Mbunge wa Kalambo Josephat Kandege akifuatiwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa Dkt. Boniface Kasululu.

Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Peter Lijuakali akifuatlia majadiliano leo kwenye kikao cha Bodi ya Barabara mkoa wa Rukwa kinachofanyika mjini Sumbawanga.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akizungumza leo kwenye kikao cha Bodi ya Barabara cha Mkoa wa Rukwa kilichofanyika leo mjini Sumbawanga.

Mbunge wa Nkasi Kaskazini Aida Khenani akizungumza kwenye kikao cha Barabara leo mjini Sumbawanga ambapo ameshauri Tanroad kutekeleza maazimio ya kikao kwa kujenga barabara kulingana na vipaumbele vilivyopitishwa na kikao.

Sehemu ya Wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Rukwa wakiendelea kufuatilia agenda za kikao hicho leo mjini Sumbawanga.

…………………………

Na. OMM Rukwa.

Zaidi ya shilingi Bilioni 27.5 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa barabara zilizo chini ya Wakala za TANROADS na TARURA katika mwaka wa fedha 2021/2022 ikiwa ni ongezeko la kibajeti mara mbili zaidi ya lile la awali kwa mwaka fedha uliopita.

Kutolewa kwa fedha hizo kunatajwa kuwa ni moja ya mafanikio makubwa ya serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan tangia aingie madaraka takribani mwaka mmoja hadi sasa.

Akizungumza katika ufunguzi wa kikao cha 40 Bodi ya Barabara mkoa hii leo (28.02.2022) mjini Sumbawanga, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti amesema fedha hizo tayari zinaendelea kutekeleza miradi ya barabara kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo.

“Nichukue fursa hii kuipongeza serikali yetu inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutupatia fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara zetu ambapo maendeleo makubwa yanaonekana kote “alisema Mkirikiti.

Mkuu huo wa Mkoa aliongeza kusema kqti ya fedha hizo shilingi Bilioni 15.2 ni kwa ajili ya barabara za Tanroads na Bilioni 12.3 ni kwa ajili ya barabara za Tarura.

Mkirikiti aliwataka wajumbe wa kikao hicho kufanya tathmini ya kina juu ya matumizi ya fedha hizo za barabara kwa kuwa zimetolewa na serikali kwa lengo la kuboresha barabara hususan za vijijini ili zichochee ukuaji wa uchumi .

“Fedha hizi ni zaidi ya mara tatu ya makusanyo ya halmashauri zetu zote nne. Makusanyo ya ndani ya halmashauri zetu ni Bilioni takribani 9 katika mwaka 2021/22” alisema Mkirikiti.

Aidha, Mbunge wa Kalambo Josephat Kandege aliomba serikali kufanya udhibiti na kulinda eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja mpya wa ndege Kisumba ili wananchi wasilivamie na kwa kilimo na makazi.

Akiwasilisha  taarifa ya utekelezaji kazi za barabara kuu za mkoa kwa mwaka 2021/22 na mpango na bajeti kwa mwaka 2022/2023 Meneja wa Tanroad Mkoa wa Rukwa Mhandisi Mgeni Mwanga alisema asilimia kubwa barabara za mkoa za lami na changarawe zote zilikuwa na hali nzuri.

Mhandisi  Mwanga  alisema Tanroad inasimamia mtandao wa barabara zenye urefu wa kilometa 1,250.2 ambapo barabara kuu zina urefu wa kilometa 415 kati ya hizo za lami ni (298.35 km) na changarawe (117.51 km) na  barabara za mkoa  zina jumla ya kilometa 834.98 kati hizo za lami ni (76.8 km) na za changarawe ni (758.1 km) .

Mhandisi Mwanga alisema katika mwaka 2022/2023 bajeti ya matengenezo kupitia Mfuko wa Barabara inayotarajia kupitishwa na Bunge ni shilingi Bilioni 13.81 ambapo jumla ya madaraja 32 katika barabara kuu na madaraja 62 katika barabara za mkoa yatajengwa na kukarabatiwa.

“Barabara nyingi zaidi zitajengwa na kufanyiwa matengenezo katika mwaka 2022/23 kuliko miaka iliyopitya na kuisaidia kuinua uchumi wa mkoa” alisisitiza Mhandisi Mwanga.

Naye Meneja wa Tarura Mkoa wa Rukwa Mhandisi  Seth Mwakyembe alisema wakala huo unahudumia mtandao wa barabara wenye urefu wa kilometa 2,304.6 kwenye halmashauri zote za Manispaa Sumbawanga (476.34 km), Sumbawanga DC (591.39 km), Nkasi DC (675.25 km) na Kalambo DC  (561.28 km).

“Tunapenda kuishukuru serikali kwa kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato vinavyoiwezesha Tarura kutekeleza majukumu yao vema ambapo tayari serikali imetoa Bilioni 12 zinaendelea kutumika katika mwaka 2021/2022” alisema Mhandisi Mwakyembe.

Akichangi katika kikao hicho Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Rukwa Daniel Ntera alitoa ushauri kwa TARURA na TANROAD kuacha kutoa kazi kwa wakandarasi wasio na uwezo li kazi za ujenzi barabara uende kwa kasi na ubora.

Ntera aliongeza kusema changamoto nyingine iliyopo mkoa wa Rukwa ni kwa wahandisi wa TARURA wa wilaya za Nkasi na Kalambo kutofuatiliana na kusimamia kikamilifu miradi ya barabara.

“Mkandarasi mmoja kupewa kazi nyingi kwa wakati mmoja wakati uwezo wake ni mdogo hakipaswi kiendelee kwani kinachelewesha utekelezaji wa miradi hivyo ni vema kazi zitolewe kwa wenye uwezo” alisema Ntera.

Mbunge wa Sumbawanga Mjini Aishi Hilaly alitoa ushauri kwa viongozi wenzake kuacha kuomba kazi za ujenzi wa barabara ndani ya mkoa wa Rukwa ili kuwezesha watendaji kuwa na usimamizi mzuri.

“Tuna viongozi wanaomba kazi ndani ya Rukwa hatua inayokwamisha watendaji kufanya usimamizi wa barabara.Nashauri sisi tukaombe nje ya Rukwa” alisema Aeshi.

About the author

Alex Sonna