Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

starzbet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

jojobet

holiganbet

jojobet

maxwin

meritking

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

norabahis

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet giriş

mavibet

royalbet giriş

mavibet giriş

norabahis giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

norabahis giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

norabahis

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

maxwin giriş

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betzula

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

casibom

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pusulabet

betsat

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

matbet

Jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

royalbet

artemisbet

artemisbet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

betwild

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI UMMY AITAKA TOS KUHAMASISHA MADAKTARI KUSOMEA PROGRAMU ZA SARATANI KUPUNGUZA UPUNGUFU ULIOPO.

Written by Alex Sonna
MKURUGENZI wa taasisi ya Saratani Ocean road  Dkt Julius Mwaisilage  wakati akisoma hotuba ya waziri wa Afya Ummy Mwalimu katika ufunguzi kongamano la kwanza la kimataifa la Saratani linaloendelea mkoani Arusha.
 Rais wachama cha madaktari bingwa wa maradhi ya Saratani(TOS) Dkt Jerry Ndumbaro  akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufunguliwa kwa kongamano la kwanza la kimataifa la Saratani linaloendelea mkoani Arusha.
BAADHI ya wataalamu na wadau wa  ugonjwa wa Saratani wakiwemo madaktari wakifuatilia kongamano la kwanza la kimataifa la Saratani lililofanyika mkoani Arusha.
…………………………………..
NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amekitaka chama cha madaktari bingwa wa maradhi ya Saratani(TOS) kuhamasisha madaktari waliomaliza masomo na wanaofanya kazi kujiunga katika kusomea programu ya Saratani(oncology) ili kuweza kuondokana upungufu wa madaktari bingwa wa Saratani ambao mpaka sasa wapo 38 nchi nzima.
Rai hiyo imetolewa na mkurugenzi wa taasisi ya Saratani Ocean road  Dkt Julius Mwaisilage  wakati akisoma hotuba ya waziri wa Afya Ummy Mwalimu katika ufunguzi kongamano la kwanza la kimataifa la Saratani lilijumisha wataalamu na wadau ambapo alisema kuwa kutokana na upungufu mkubwa wa madaktari bingwa wa Saratani daktari mmoja kwa mwaka anahudumia wagonjwa 1200. 
Dkt Mwaisilage alisema kama chama wana malengo yao lakini kikubwa wahamasishe wataalamu waweze kusomea kwani serikali inatoa ufadhili kila mwaka kwa kupeleka fedha chuo kikuu cha Afya na sayansi shirikishi Muhimbili(MUHAS) hivyo wawahamasishe ili kupunguza upungufu huo.
Aidha alisema kuwa kulingana na takwimu wanazoziona katika hosipitali kwa mwaka wanawaona wagonjwa 14600 sawa na asilimia 33 ambapo idadi hiyo ni ndogo kwani Tanzania ina zaidi ya wagonjwa elfu 42 wa Saratani.
Sambamba na hayo alisema kuwa serikali imejipanga katika kuhakikisha wanaboresha miundombinu ya kutibu ugonjwa wa saratani ikiwemo tiba ya upasuaji na uchunguzi wa ugonjwa huo katika hospitali zote za kanda na taifa nchini.
“Lengo ni kuhakikisha wagonjwa wote wanachunguzwa na wanapatiwa tiba ya upasuaji lakini kwa upande wa mionzi  serikali inaendelea na kuboresha katika sehemu nyingine kwani kwa sasa zinapatika katika hospitali ya Bugando na Taasisi ya saratani ya Ocean road,”Alisema.
Alisema tiba ya mionzi inaendelea kuboreshwa nchini ikiwa sasa wanaendelea katika hospitali ya KCMC pamoja na Benjamin Mkapa ikifuatiwa na Mbeya lengo ni kuhakikisha huduma za utambuzi wa saratani zinawafikia wananchi katika kanda zote.
Kwa upande wake Rais wa TOS Dkt Jerry Ndumbaro alisema lengo la kongamano hilo la kimataifa ni kubadilishana uzoefu wa kisayansi katika kuboresha huduma kwani  ugonjwa wa saratani umekuwa ukiongezeka kwa wingi na kufanya idadi ya wagonjwa kuwa kubwa ambapo katika takwimu za mwaka jana wagonjwa zaidi ya elfu 42 wanapatikana kwa mwaka ambapo lengo la kongamano hilo ni kubadilishana utaalam kwa wataalam wa ndani na nje ya Tanzania ili kuboresha huduma katika eneo la saratani.
“Mpango wetu ni kuwafikia watumishi wa afya nchi nzima  walioko katika ngazi ya mkoa na wilaya  katika kuwawezesha wataalamu kugundua  ugonjwa huo mapema ili wagonjwa waweze kutibiwa,”alisema Dk.Ndumbaro.
Alisema kupitia chama hicho wanampango mkakati wa kufanya  huduma za upimaji na ugunduzi wa mapema  wa saratani katika jamii ambapo watapita kila mkoa kuhakikisha huduma hiyo inawafikiwa wananchi wa ngazi zote.
Alieleza kuwa chama kinahakikisha wanawawezesha wataalam na watoa huduma za afya ngazi za mikoa na wilaya kupata utaalam wa kuweza kugundua magonjwa hayo mapema na kutoa matibabu kwa wagonjwa ambapo mpango walionao ni kufanya huduma za upimaji na ugunduzi wa mapema wa saratani katika jamii.
Aliongeza kwa kueleza kuwa tafiti zinaonyesha kuwa mitindo ya maisha ikiwemo kutokufanya mazoezi,uzito uliopitiliza,ulaji mbaya wa vyakula,ni miongoni mwa dalili hatarishi za uwepo wa magonjwa wa saratani ambapo ameitaka jamii kuhakikisha inabadili mitindo ya maisha yao ili kuweza kujikinga na saratani.

About the author

Alex Sonna