Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WALIOHAMIA MSOMERA WAISHUKURU SERIKALI

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama madawati wakati alipokagua Shule Mpya ya Msingi ya Msomera iliyojengwa na Serikali wakati alipokagua ujenzi na uboreshaji wa miundombinu  ya huduma za jamii katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Muonekano wa baadhi ya nyumba zilizojengwa na Serikali katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga kwa ajili ya makazi ya wananchi wanaohamia katika kijiji hicho kutoka Ngorongoro.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wa huduma mbalimbali za jamii katika eneo hilo, Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi  baada ya kukagua ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi ya Msomera iliyojengwa na Serikali wakati alipokagua ujenzi na uboreshaji wa miundombinu  ya huduma za jamii katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

.………………………………

WAKAZI  wapya wa kijiji cha Msomera, Handeni Mkoani Tanga waliohamia kutoka Ngorongoro wameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya huduma za jamii katika eneo hilo.

Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi hao mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipotembelea eneo hilo jana Juni 23, 2022 kukagua makazi na miundombinu ya huduma za jamii inayojengwa katika eneo hilo.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mkazi mpya wa kijiji hicho Bw. Richard Tobiko Ole Mokoro alisema kuwa yaliyofanyika katika kijiji hicho ni upendeleo wa kutosha ambao hawakuutegemea.

“Kwa fidia tu ambayo tumeipata, hata kama mtu asingepewa hivi vitu tulivyopewa na Mhe. Rais wetu Samia Suluhu Hassan asingelalamika, tunamuomba atakapopata nafasi aje hapa Msomera ili tuweze kumshukuru wenyewe.”

Alisema kuwa huduma ya maji katika eneo hilo ni ya kutosha na kuna vituo vya kuchotea maji kila baada ya mita 400 vinafungwa. “Kwa sasa kuna maboza yanaleta maji tena ni maji mazuri ambayo hata wenyeji tuliowakuta wanayasifia mno hawakuwa nayo hapo awali.”

“Kule Ngorongoro tulikuwa tunanywesha ng’ombe inapita siku moja hunyweshi, lakini huku tumekuta maji ni mengi kila siku wanakunywa maji.”

“Tunamshukuru sana Rais Samia, sasa tumepata uhuru, tumepata hatma ya maisha yetu, kwa sasa mtu unaweza kufanya chochote ambacho unataka kufanya, tofauti na ilivyokuwa Ngorongoro.”

Aliongeza kuwa anaamini katika kipindi cha miezi mitatu, kijiji cha Msomera kitakuwa kikubwa hasa kutokana na huduma ambazo zinaendelea kupelekwa na Serikali. “Siipatii picha Msomera itakuwaje. Huduma ni nyingi sana zinazoletwa na Serikali.”

Kwa upande wake, Mheshimiwa Majaliwa alisema kuwa idadi ya wananchi wanaojiandikisha kuhamia katika eneo hilo imeendelea kuongezeka siku hadi siku. “Serikali yenu ni aminifu, wakati tunaanza kutekeleza hili watu hawakuwa wanaamini na ninyi mnajua upendo aliokuwa nao Mheshimiwa Rais  wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za kuja kuwahudumia.”

“Mlipokuja hapa mmeona wenyewe, mmepata nyumba pamoja na hati, shule ya msingi na Sekondari ipo hapa, miradi ya maji inajengwa, tunajenga barabara, tunajenga kituo cha afya, huduma hizi ni za wote.”

Aidha, Waziri Mkuu amewapongeza wajenzi wa nyumba katika kijiji cha Msomera kwa kutekeleza zoezi hilo kwa viwango na kasi kubwa. “Tuliweka malengo ya kujenga nyumba 103 na zote tayari zimekamilika na ujenzi wa nyumba nyingine zilizobaki ili kufikia idadi ya nyumba 500 unaendelea.”

Naye, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. David Silinde alisema kuwa katika eneo hilo Serikali imejenga shule mpya ya msingi na nyingine imekarabatiwa. “Tunajenga nyumba za walimu, mabweni, shule mpya ya sekondari imekamilika pia tunajenga kituo cha afya na fedha ipo.”

Awamu ya pili ya zoezi la kuhamisha wakazi wa eneo la Ngorongoro kwa hiari lilianza tarehe 20.06.2022 ambapo jumla ya kaya 27 yenye watu 127 na mifugo 488 watahamisha, kaya 1 kati hizo itahamia Karatu.

About the author

Alex Sonna