Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA YASISITIZA MAADILI, UBUNIFU NA UADILIFU KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua, akizungumza wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Kaimu Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha Bw. Shumbi Jackson, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha, Bw. Radhaman Kipambe, akitoa neno la shukrani baada ya kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Meza Kuu ikiongozwa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb) (katikati), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua(wa pili kushoto), Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Bw. Kenneth Nindie (wa kwanza kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa, Bw. Rugemalila Rutatina, wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa watumishi wa wizara mikoani, wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua (katikati), Katibu mpya wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Fedha, Bw. Radhaman Kipambe (kushoto) na Mwakilishi wa Katibu aliyemaliza muda wake Bw. Shumbi Jackson (kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa TUGHE Wizara ya Fedha wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha)

Na. Josephine Majura na Peter Haule, WF, Dodoma

Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha wametakiwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma, Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali ya Serikali ili kuimarisha utawala bora na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), wakati akifungua rasmi Mkutano wa 39 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ukumbi wa Kambarage (Treasury Square) jijini Dodoma.

Alisema kuwa kuna umuhimu kwa watumishi kuwa wabunifu, kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na ushirikiano ili kuongeza ufanisi wa huduma zinazotolewa na Wizara na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya mawasiliano na mrejesho kwa wadau mbalimbali ili kuongeza tija katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali.

Mhe. Luswetula, amewataka watumishi kuzingatia afya zao kwa kushiriki katika programu za upimaji wa afya zinazoratibiwa na Wizara, kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara pamoja na kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya kuhusu lishe bora ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukizwa.

Katika hatua nyingine, aliwahimiza wajumbe wa Baraza hilo kuwa mfano wa kuigwa katika utunzaji wa mali za umma na kuhakikisha maelekezo yote yanayotolewa na Serikali na viongozi mbalimbali yanatekelezwa kwa wakati na kwa ufanisi.

“Ninasisitiza kwamba tuendelee kufanya kazi kwa bidii, uaminifu, weledi na ushirikiano mkubwa. Kufanya kazi Wizara ya Fedha si kwa bahati mbaya, tumeaminiwa tutimize wajibu wetu. Tujiepushe na vitendo viovu, tuwe wazalendo kwa nchi yetu”, alisema Mhe. Luswetula.

Aidha, aliwataka wajumbe wa Baraza hilo kusikiliza kwa umakini mada mbalimbali zitakazowasilishwa katika mkutano huo na kuzitumia kama chachu ya kuibua mawazo yenye tija kwa maendeleo ya Wizara na Taifa kwa ujumla.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha anayeshughulikia huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua, alisema kuwa mkutano huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini SURA 366 ambapo lengo lake ni kuongeza ushirikishwaji wa watumishi katika masuala mbalimbali ya Wizara.

Alifafanua kuwa kikao hicho kimewajumuisha wajumbe 222 kutoka katika Chama cha Wafanyakazi, Menejimenti ya Wizara, Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya wizara na wawakilishi kutoka katika Idara na Vitengo.

Bw. Joshua ameeleza kuwa Mkutano huo ni jukwaa muhimu la kujadili masuala ya ustawi wa watumishi, kuimarisha uhusiano kazini na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Wizara.

Aidha, alibainisha kuwa katika kikao hicho wajumbe watapata nafasi ya kusikiliza na kuchangia mada mbalimbali zilizowasilishwa kwa kuzingatia ratiba iliyotolewa pamoja na kushiriki katika majadiliano ya masuala mbalimbali yanayolenga kuboresha utendaji kazi wa Wizara.

Wakati wa mkutano huo, ulifanyika uchaguzi wa kumteua Katibu wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha ambapo Bw. Ramadhani Kipambe alishinda uchaguzi huo.

About the author

Alex Sonna