Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

TAKUKURU MKOA WA ARUSHA HUDUMA ZETU HAZIUZWI, WANANCHI EPUKENI MATAPELI. 

Written by Alex Sonna

Mkuu wa taasisi ya kupambana na kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Arusha James Ruge akiongea na waandishi wa habari

…………………………………………

NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA
Taasisi ya kupambana na kuzuia Rushwa mkoa wa Arusha(TAKUKURU) imewatahadharisha wananchi juu ya uwepo wa matapeli wanaotumia jina la taasisi hiyo ili kuweza kujipatia fedha.
Akitoa taarifa ya taasisi hiyo kwa kipindi cha miezi mitatu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Arusha James Ruge alisema kuwa ni vema wananchi wakajiridhisha na  wito wowote wa simu kwa kufika ofisi ya TAKUKURU iliyo karibu.
“Epukeni kutoa fedha kwani huduma zetu haziuzwi, unapopata wito wowote wa simu kuwa jaribu kujiridhisha kwa kufika katika ofisi zetu zilizo karibu,” Alisema Ruge.
Aidha alisema kuwa kwa muda wa miezi mitatu taasisi hiyo imefuatilia miradi 17  yenye thamani ya bilioni 7.8 na kubaini  kasoro mbalimbali ambapo baadhi wameshauri kurekebishwa na zingine uchungu umeanzishwa.
Alisema miradi hiyo ni pamoja na miradi saba ya barabara katika Jiji la la Arusha, wilaya ya Arumeru, Longido, Monduli na Ngorongoro ambapo miradi miwili ya Monduli ilibainika kuwa na kasoro, miradi miwili ya maji halmashauri ya Monduli na mmoja ulikutwa na kasoro na yote imetolewa ushauri wa kurekebisha kasoro husika.
Alifafanua kuwa miradi mingine waliyofuatilia ni miradi mitano ya ujenzi wa vyumba vya madarasa shule za sekondari Monduli, Karatu na Longido, ambazo taratibu za kumpata mkandarasi hazikufuatwa katika ujenzi wa darasa wilayani Monduli ambapo uchunguzi umeanzishwa.
“Mradi mwingine ni mradi afya wa ujenzi wa nyumba za watumishi katika halmashauri ya wilaya ya Monduli na ujenzi wa jengo la OPD katika wilaya ya Karatu ambapo katika nyumba ya watumishi tumebaini  kuwa na kasoro katika taratibu za kutafuta mkandarasi na tumeanzisha uchunguzi,” Alisema Ruge.
Alifafa nua katika miradi ya kilimo na mifugo katika ujenzi wa josho la mifugo wilaya ya Longido na Karatu wamepaini kasoro  Longido na wameanzisha uchunguzi.
Sambamba na hayo pia amesema kuwa wamefanya uchambuzi wa mfumo wa utendaji wa kazi wa wakala wa huduma za umeme na ufundi ( TEMESA)mkoani Arusha ambapo wamegundua uchelewaji wa huduma ya matengenezo ya magari ya utolewaji wa huduma hafifu kwa wateja na kuaazimia mapungufu husika yarekebishwe.
“Tumefanya uchambuzi wa mfumo wa usimamizi wa mapato yatokanayo na ushuru wa madini ya ujenzi katika wilaya ya Arumeru na Ngorongoro ambapo tumegindua kutokuwepo kwa leseni kwenye baadhi ya machimbo na kutofanyika kwa kaguzi za mazingira katika baadhi ya machimbo,”Alieleza.
Hata hivyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi wamepokea taarifa 114 kati yake 91 zikiwa zinahusu Rushwa na 23 zilihusu makosa mengine ambapo 
Majalada 63 uchunguzi unaendelea na 28 uchunguzi umekamilika.

About the author

Alex Sonna