marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

jojobet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

casinomilyon

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

interbahis

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

bets10

bets10

bets10 giriş

bets10

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

savoybetting

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

deneme bonusu 2026

kralbet

Lisanslı Casino Siteleri

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

WAZAWA WACHUNGULIA FURSA ZA MADINI

Written by Alex Sonna

Na Mwandishi Wetu,Dar.

Kampuni nne za watoa huduma za bidhaa katika migodi ya madini nchini,zimeungana kwa ajili ya kufanya shughuli mbali mbali za utoaji huduma na bidhaa migodini
Kampuni zilizoungana zipo chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Makampuni Yanayotoa Huduma na Kusambaza Bidhaa Migodini (MSSPAT),zikiwa na umiliki wa watanzania kwa asilimia 100,huku matarajio yakiwa ni kuwa sauti moja ya kutetea maslahi yao na kuongeza ushiriki wa wazawa katika sekta hiyo.
Kampuni hizo nne zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano chini ya katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Rotana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza katika hafla ya kutia saini makubaliano hayo iliyofanyika katika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar esSalaam, Mwenyekiti wa umoja wa Watoa Huduma na Wasambazaji wa bidhaa Migodini, Respicus Kandawa, aalisema ushirikiano huo ni muhimu kutokana na kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji madini nchini, hali inayofungua fursa zaidi za ajira na biashara.
Alisema lengo kuu ni kuhakikisha Watanzania wananufaika ipasavyo na uwepo wa migodi, sambamba na utekelezaji wa sheria ya ‘local content’ inayosisitiza ushiriki wa wazawa katika utoaji wa huduma badala ya kutegemea wageni.
”Hakuna vigezo vya msingi kwa walinzi ila wamewekewa masharti magumu, ili wageni wanufaike wakati walinzi ambao wanafanya kazi ni wale walioletwa kuajiriwa na kufundishwa na wenyeji ’alisema
Aliongeza kuwa yapo makampuni ya wazawa yanyofanya kazi kwenye machimbo ila ni kwenye machimbo machache ambayo hayana masharti magumu kama yaliyowekwa maeneo mengine
“Ni muhimu sasa sisi kupewa hizo fursa ili nasi tunufaike na sekta ya madini’ alisema Mwenyekiti huyo.
Katibu wa MSSPAT, Benson Samson, akizungumza katika hiyo alisema aliwahi kufanyazi mgodini, lakini lakini alishamgazwa kuona hata bidhaa zinazopatikana hapa nchini, kama nyama, zikiagizwa kutoka nje.
Aliongeza kuwa mabadiliko ya sheria sasa yanatoa nafasi kwa wazawa kushiriki kikamilifu, hivyo kuna haja ya kuunganisha nguvu ili kuhakikisha utekelezaji wake unakuwa wa vitendo.
Alisema kuanzishwa kwa ushirikiano huo kunachochewa na utekelezaji wa sheria ya ‘local content’ iliyoanza kuimarishwa mwaka 2025.
Alitaja baadhi ya huduma hizo kuwa ni mazingira, bima, teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) pamoja na ulinzi.
Akizungumzia sekta ya ulinzi,Mwenyekiti wa Chama cha Ulinzi Binafsi Tanzania, Felix Kagisa, alisema licha ya kuwepo kwa walinzi zaidi ya 300,000 nchini, sekta hiyo bado inanufaisha zaidi kampuni za kigeni.
“Walinzi ni Watanzania, lakini faida inaishia kwa wageni. Sisi tunabaki kufanya kazi kupitia kampuni hizo,” amesema Kagisa.
Kaimu Mkurugenzi wa Chama cha Sekta Binafsi ya Ulinzi, Kara Remtullah, amesema watatoa kipaumbele kwa vijana wa maeneo ya migodi ili wanufaike moja kwa moja na shughuli hizo.
“Tunaiomba Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa sheria ili huduma hizi zitolewe na kampuni za wazawa, si kupitia mgongo wa kampuni za kigeni,” amesema.
Kwa upande wake, Elly Elikana kutoka Taasisi ya Mazingira ya Green Tech Hag amesema makubaliano hayo yatafungua fursa zaidi kwa wataalamu wa mazingira wazawa kushiriki katika shughuli za migodini.
Ametoa wito kwa taasisi nyingine kushirikiana na umoja huo, huku akiitaka Serikali kuendelea kuweka mazingira rafiki yatakayowawezesha wataalamu wa ndani kunufaika na sekta ya madini.
Vyama vinne vya kisekta vilivyoingia makubaliano hayo kupitia Umoja wa Makampuni ya Watoa Huduma na Wasambazaji wa Bidhaa Migodini (MSSPAT) ni, Umoja wa Makampuni ya Washauri wa Bima na Udhibiti Majanga Tanzania (TIBA), Umoja wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi Tanzania (TSIA),
Umoja wa Makampuni ya TEHAMA Tanzania (ICTCS) na Umoja wa Makampuni ya Washauri wa Mazingira Tanzania (GreenTech Hub).

About the author

Alex Sonna