marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

marsbahis

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

betist

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA YAITA WADAU KUTOA MAONI YA KUBORESHA MWONGOZO WA USIMAMIZI WA MALI ZA SERIKALI

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Baadhi ya wadau wa kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, wakifuatilia mjadala wa utoaji maoni, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Ismael Ogaga, akizungumza na wadau katika kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Ajali na Fidia, Wizara ya Fedha, Dkt. Wenceslaus Sobayi, akizungumza na wadau katika kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Msimamizi wa Mali za Serikali Mwandamizi Wizara ya Fedha Bw. Michael Luziga, akiwasilisha Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kwa wadau wa kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya hiyo kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Afisa Ugavi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Revocatus Tesha, akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, katika kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Ajali na Fidia, Dkt. Wenceslaus Sobayi, na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo ya Usimamizi wa Mali za Serikali Ismael Ogaga, wakiwa katika picha ya pamoja na wadau wa kikao kazi cha kukusanya maoni kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.



Matukio mbalimbali katika kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichowakutanisha Wasimamizi wa Mali wa Mikoa (M), Wadau kutoka Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na Watumishi wa Wizara ya Fedha, katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

Na. Saidina Msangi na Silya Kombe, WF, Dodoma.

Wizara ya Fedha imetoa rai kwa wadau kutoa maoni yatakayowezesha kuboresha Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025 utakaosaidia kusimamia mali zilizo kwenye Taasisi za Umma kwa tija na ufanisi zaidi ili kuimarisha na kuboresha huduma zinazotolewa na Serikali kupitia mali hizo.

Rai hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, wakati akifungua kikao kazi cha kukusanya maoni ya wadau kutoka taasisi 25 za Umma zinazowakilisha Mkoa wa Dodoma, Wasimamizi wa Mali wa Mikoa kutoka mikoa saba (7), Wasimamizi wa Mali za Serikali kutoka Ofisi ya Makao Makuu na Mkoa wa Dodoma, kuhusu Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, kilichofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro, Treasury Square, Jijini Dodoma.

Bw. Sendo alisema, Rasimu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2025, ambao wadau wanatarajiwa kutoa maoni ya kuuboresha inatokana na fursa mbalimbali zilizojitokeza katika usimamizi wa mali za umma katika kipindi cha utekelezaji wa Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma wa mwaka 2019.

‘‘Nawaasa kila mmoja wetu ahakikishe anashiriki kikamilifu kwa kutambua kuwa Mwongozo huu ni nyenzo muhimu itakayowezesha usimamizi bora wa Mali za Umma katika Taifa letu ikizingatiwa kuwa kwenye Rasimu hii ya Mwongozo wa Usimamizi wa Mali za Umma, masuala mbalimbali yanayohusu usimamizi wa mali yameelezwa ikiwemo majukumu na wajibu wa usimamizi wa Mali za Umma kwa Watendaji, Wakuu wa vitengo na Wakuu wa Idara mbalimbali katika Taasisi za Umma,’’alisema Bw. Sendo.

Aliongeza kuwa rasimu hiyo pia imejumuisha usimamizi wa mali chini ya ushirikiano wa umma na binafsi (PPP-Projects), Upatikanaji wa mali, matumizi ya mali, usimamizi wa mali za miradi, kushughulikia ajali na potevu za mali za Umma, Ufutaji na uondoshaji wa mali chakavu pamoja usajili wa vyombo vya moto.

Alisema kuwa mwongozo huo utakapokamilika na kusainiwa na Mlipaji Mkuu wa Serikali (PMG) utaanza kutumika pamoja na Kanuni za Usimamizi wa Mali za Umma za mwaka 2024 hivyo kuwataka kujadili kwa uwazi ili kujenga uelewa wa pamoja katika suala la usimamizi wa mali za umma na kuhakikisha utendaji bora ,uwajibikaji wa kifedha na utoaji wa huduma bora.

Bw. Sendo aliwasisitiza wadau hao kuhakikisha kuwa Mwongozo huo utakapokamilika unatumika kikamilifu ili kutumia fursa zilizopo na zitakazojitokeza baadaye katika usimamizi wa mali za umma.

Aidha, Bw. Sendo alieleza kuwa Wizara ya Fedha imepewa jukumu la usimamizi wa Mali za Umma kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Umma, Sura 348 pamoja na Kanuni zake za mwaka 2024 ambapo hutekeleza jukumu hilo kupitia Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali (GAMD) yenye ofisi zake za mikoa ambazo zinahudumia taasisi zote za Umma zilizopo katika mikoa 26 ya Tanzania Bara.

‘‘Kutokana na wingi wa rasilimali mali tulizonazo inatupa picha ya wingi wa gharama ambazo Serikali imekuwa ikizitumia katika upatikanaji na utunzaji wa mali hizo, hii inatupa kila sababu ya kuwa na mikakati madhubuti ya kuzisimamia mali hizo ili ziweze kutumika kwa matumizi yaliyokusudiwa na kuiwezesha Serikali kupata manufaa ya uwekezaji uliokusudiwa kwa kipindi kirefu’’, alifafanua Bw. Sendo.

Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha ikiwa na dhamana ya Usimamizi wa Mali za Umma nchini imefanya jitihada mbalimbali katika kuongeza ufanisi wa Usimamizi wa Mali za Umma nchini ikiwemo kusimika na kuwezesha matumizi ya mfumo wa Kielektroniki wa Usimamizi wa Mali za Serikali “Government Assets Management Information Systems – (GAMIS) ambao unatumika kutunza na kuchakata taarifa za mali za Taasisi zote za Umma nchini.

Mmoja wa washiriki wa kikao kazi hicho Msimamizi wa Mali za Serikali Mkoa wa Tabora, Bi. Karerema Kwareh, alieleza kuwa kikao hicho kitawawezesha wadau kujadiliana kwa kina kuhusu mwongozo huo na kujenga uelewa wa pamoja utakaowezesha kuwa na mwongozo sahihi katika usimamizi wa mali za umma.

Kikao kazi hicho cha siku moja kiliandaliwa na Wizara ya Fedha kupitia Idara ya Usimamizi wa Mali za Umma kimekutanisha wadau kutoka taasisi 25 za Umma zinazowakilisha Mkoa wa Dodoma, pamoja na Wasimamizi wa Mali wa Mikoa kutoka mikoa saba (7), sambamba na Wasimamizi wa Mali kutoka Ofisi ya Makao Makuu na Mkoa wa Dodoma.

About the author

Alex Sonna