marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

Written by Alex Sonna

 

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu  kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

Na.Alex Sonna-KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameanza utekelezaji wa ahadi alizozitoa wakati wa uchaguzi mkuu 2025 kupitia Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitaja barabara, maji, afya na elimu kuwa miongoni mwa vipaumbele vyake vikuu katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe, Dkt. Jafo amesema tayari amewasiliana na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhusu barabara ya Kisarawe, hatua inayolenga kuhakikisha mkandarasi anaanza utekelezaji wa mradi huo kwa wakati.

Katika sekta ya maji, amesema amefanya kikao na ujumbe kutoka Korea kuhusu utekelezaji wa mradi wa maji utakaohusisha ujenzi wa vituo 105 vya kuchotea maji katika vijiji 17. Ameongeza kuwa ameomba kuzingatiwa kwa uwekaji wa matenki makubwa na kuangalia uwezekano wa kuvifikia vijiji vya Gwata na Dololo.

“Eneo hili linahitaji matenki makubwa kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu kufuatia uwepo wa Bandari ya Kwara. Mradi huu ni mkubwa, una thamani ya takribani sh. bilioni 27, si jambo dogo,” amesema Dkt. Jafo.

Kwa upande wa elimu, amesema ataendelea kutafuta pesa Serikali kuu pamoja na wadau wengine wa elimu ili kuboresha miundombinu pamoja na  ujenzi wa shule za sekondari pamoja na kuipandisha hadhi Shule ya Sekondari Jafo kuwa na kidato cha tano na sita na kuitenga kwa wavulana.

“Pia nimeomba kuongezwa kwa bweni Shule ya Sekondari Kisarawe, ujenzi wa sekondari mpya Mafizi, Maluwi, Kwala, Sungwi, Mwanzo Mgumu, Kiluvya B, Sanze na Bwama,” amesema.

Ameongeza kuwa amewasilisha pia maombi ya ujenzi wa shule mpya katika maeneo ya Kibesa, Mjimpya, Darfur na Vihingo, pamoja na kuongeza madarasa katika shule za Malumbo, Mfulu na Kibwemwenda. 

Dkt. Jafo amesema pia anaendelea kuifuatilia TARURA ili kuhakikisha barabara zinakuwa katika hali nzuri, na baadhi ya barabara korofi kujengwa kwa zege ili ziweze kupitika wakati wote wa mvua.

“Naiomba CCM tushirikiane ili katika miaka hii mitano tuweze kutimiza matarajio ya wananchi. Nitaanza ziara za kushukuru awamu kwa awamu na kuwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu,” amesema.

Awali, amempongeza Aidan Kitare kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na kuahidi kuwa Ofisi ya Mbunge itatoa ushirikiano wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu ya chama

Pia amewashukuru wana-CCM kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kuendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano, akieleza kuwa wilaya hiyo imeendelea kuwa tulivu kisiasa.

Aidha, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia kutolewa kwa fedha za serikali zilizochochea maendeleo ya Wilaya ya Kisarawe.

“Tumsaidie Rais wetu kwa kutimiza wajibu wetu. Kwa upande wangu, nitaongoza kuhakikisha malengo ya Rais kwa Kisarawe yanatimia,” amesema.

Kwa upande wake Mwewnyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe ndg.Khalfan Sika,amempongeza Mhe.Jafo kwa kazi kubwa aliyoifanya katika Jimbo la Kisarawe kwa kuleta maendeleo hivyo watampa ushirikiano wa kutosha ili aendelee kumsaidia Mhe.Rais Samia kutekeleza miradi ya wanakisarawe.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu  kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu  kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu  kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akimsikiliza Mwewnyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe ndg.Khalfan Sika,wakati wa kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe hao kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

 

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akimsikiliza Katibu  wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe Bi.Josephine Mwanga ,wakati wa kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe hao kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akimsikiliza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kisarawe, Aidan Kitare,katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe wakati wa ziara ya kutoa shukrani kwa  wajumbe hao kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani.

 

About the author

Alex Sonna