Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

casino siteleri

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

sekabet güncel giriş

grandpashabet

grandpashabet

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

casibom

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

MAHUNDI ATAKA WAZAZI KUIMARISHA MALEZI CHANYA YA WATOTO

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi,akizungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Makundi Maalum, Sebastian Kitiku,akizungumza wakati wa Mkutano wa  vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

Washiriki wa kikao wakimsikiliza Naibu  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi (hayupo pichani) wakati akizungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

Washiriki wa kikao wakimsikiliza Naibu  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi (hayupo pichani) wakati akizungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

Washiriki wa kikao wakimsikiliza Naibu  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi (hayupo pichani) wakati akizungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzungumza na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo  leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi  Maryprisca Mahundi, amewataka wazazi na walezi kote nchini kuimarisha malezi chanya na kuwalinda watoto dhidi ya changamoto za kijamii hususan ukatili wa mitandaoni, huku akisisitiza umuhimu wa kutumia fursa za uwezeshaji kiuchumi zinazotolewa na Serikali.

Mhandisi Mahundi ametoa  wito huo leo Novemba 27,2025  katika Kata ya Ihumwa jijini Dodoma, alipokutana na vikundi vya malezi na wananchi kwa lengo la kuhamasisha malezi bora na kuwajengea uwezo kiuchumi wanachama wa vikundi hivyo.

Mahundi amesema familia ndiyo msingi wa jamii yoyote na kwamba ni wajibu wa kila mzazi na mlezi kutafakari kama wanatimiza wajibu wao ipasavyo katika malezi, ulinzi na makuzi ya watoto.

“Ukweli ni kwamba wazazi na walezi wengi hatutimizi wajibu wetu kikamilifu, hususan katika malezi na makuzi ya watoto. Mtoto anayetarajiwa kuwa msaada wa familia na taifa anapaswa kulelewa tangu akiwa tumboni hadi kufikia umri wa miaka 18,” amesema Mhe.Mahundi

Aidha amesisitiza wajibu wa wazazi ni kutoa mahitaji ya msingi, kulinda mtoto dhidi ya ukatili, na kujenga mawasiliano ya mara kwa mara ili kuimarisha ukaribu (bond) utakaomwezesha mtoto kueleza changamoto anazopitia.

Hata hivyo  Mahundi ameonya kuwa ukosefu wa mawasiliano umewaacha watoto wengi wakiathirika na ukatili, ikiwemo unyanyasaji wa kingono, hali ambayo wazazi huibaini wakiwa wamechelewa.

Akizungumzia athari za teknolojia, amesema kuwa ukuaji mkubwa wa TEHAMA umeleta manufaa lakini pia umefungua mianya ya mmomonyoko wa maadili kwa watoto na vijana.

Kwa mujibu wa utafiti alionukuu, watoto 67 kati ya 100 wenye umri wa miaka 12–17 hutumia vifaa janja, huku watoto 4 kati ya 100 tayari wakikutana na ukatili wa mtandaoni, ikiwemo kurubuniwa kingono, kutishwa au kushawishiwa kutuma picha/video zisizofaa.

“Watoto wetu wako kwenye mazingira hatarishi mtandaoni. Wanahitaji uangalizi wa karibu na mwongozo wa maadili kutoka kwa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla,” amesisitiza.

Katika upande wa kiuchumi,  Mahundi amesema Serikali inaendelea kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kupitia usajili na mikopo nafuu inayotolewa na Benki ya NMB chini ya uratibu wa Maafisa Maendeleo ya Jamii, TEHAMA na biashara.

Tangu Februari 2024 hadi 26 Novemba 2025, jumla ya wafanyabiashara wadogo 115,035 wamesajiliwa, ambapo 44,336 tayari wamelipia vitambulisho vyao.

Kupitia vitambulisho hivyo, NMB imetoa mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 9.8 kwa wanufaika 4,810 (2,619 wanawake na 2,191 wanaume).

Ametoa wito kwa viongozi wa vikundi kuongeza kasi ya usajili ili wanachama wengi zaidi wanufaike na mikopo hiyo nafuu.

Ametaja pia fursa nyingine za uwezeshaji kiuchumi kupitia mifuko 75 ya uwezeshaji—63 zikiwa za Serikali na 12 sekta binafsi—ikiwemo mikopo ya 10% ya Halmashauri, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (uliofikisha Sh bilioni 1 kwa wanawake 150 hadi Novemba 2025), pamoja na zabuni za asilimia 30 chini ya Sheria ya Ununuzi wa Umma (2023) zinazotengwa kwa makundi maalum.

Vilevile ametaja  mikopo maalum kama Mwanamke Hodari ya Azania Bank, Impeju ya CRDB isiyo na riba, na mkopo wa Jasiri wa NMB wenye riba ya asilimia 14 kwa wanawake wamiliki wa biashara na asilimia 9 kwa miradi ya kilimo.

 Mahundi pia alizungumzia programu ya iSOKO inayotekelezwa na Wizara kwa kushirikiana na TWCC, akisema imekuwa daraja muhimu kwa wanawake kupata taarifa za masoko ndani na nje ya nchi kwa njia ya kidijitali.

Amewahimiza wanakikundi kuendelea kujikita katika kukuza uchumi wa kaya na kuifanya ajenda ya malezi kuwa ya kudumu katika vikao vyao vyote.

“Isiwe Mama analalamika baba hana muda na familia, au baba analalamika mama hana muda. Kutoa fedha pekee haitoshi; mawasiliano ni muhimu zaidi. Serikali itaendelea kuwa nanyi bega kwa bega katika kuwaelimisha na kuwawezesha,” amesema 

Aidha ameahidi kuwa Wizara itaendelea kutoa mafunzo na uhamasishaji endapo yatahitajika.

About the author

Alex Sonna