Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AWASILI NCHINI MALAWI KUMWAKILISHA RAIS DKT SAMIA KATIKA UAPISHO WA RAIS MTEULE WA MALAWI

Written by Alex Sonna

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea heshima kutoka Jeshi la Malawi  alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chileka  nchini Malawi  ambako alimwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwenye uapisho wa Rais Mteule wa Malawi  Profesa Arthur Peter Mutharika kwenye uwanja wa Kamuzu Blantyre, Malawi Oktoba 4, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje ya Malawi, Balozi Dkt. Mwayiwawo Polepole alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chileka  nchini Malawi  ambako alimwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa  wa Rais Mteule wa Malawi Profesa Arthur Peter Mutharika kwenye uwanja wa Kamuzu Blantyre, Malawi Oktoba 4, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mheshimiwa Agnes Kayola  alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Chileka nchini Malawi  ambako alimwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais Mteule wa Malawi  Profesa Arthur Peter Mutharika kwenye uwanja wa Kamuzu Blantyre, Malawi Oktoba 4, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna