Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

Featured Kitaifa

DKT. SAMIA ALETA NEEMA KWA WAFANYABIASHARA TANZANIA

Written by mzalendo

Na Gideon Gregory, Dodoma

Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na serikali yake kwa hatua kubwa ya kupunguza kero za kodi na ushuru kwa zaidi ya asilimia 85, hali ambayo imeleta nafuu katika biashara na kuongeza makusanyo ya mapato.

Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Mtendaji wa jumuiya hiyo, Alexander Mallya leo Septemba 17,2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari na kuongeza kuwa kwasasa wafanyabiashara wanafanya kazi katika mazingira bora zaidi, tofauti na zamani ambapo changamoto za kodi zilikuwa kikwazo kikubwa.

“Jumla ya kero 119 zilizowasilishwa na wafanyabiashara, 109 zimepatiwa ufumbuzi na kubaki kero 18 pekee, huku 36 zikiwa katika hatua za mwisho za kumaliziwa hii ni hatua kubwa ambayo Serikali yetu imetufanyia hivyo hatuna budi kutoa pongezi zetu kwa serikali, “amesema.

Kwa mujibu wa Mallya, hatua hiyo ni ushahidi wa dhamira ya Rais Samia katika kujenga mazingira rafiki ya biashara na kuondoa urasimu uliokuwa unadumaza sekta hiyo.

Aidha, Mallya amesema wafanyabiashara wanatamani kushiriki kikamilifu kwenye sekta za kimkakati kama kilimo, madini na viwanda ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Mbali na hilo, amefafanua kuwa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa Dodoma ikiwemo reli ya kisasa ya SGR, Magufuli City, na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato imefungua fursa kubwa za biashara, ajira na usafirishaji wa bidhaa.

Kwa upande wa mapato, amesema Dodoma imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya kodi baada ya kufikia zaidi ya shilingi bilioni 204 dhidi ya lengo la awali la shilingi bilioni 88 pekee.

“Mafanikio haya yanaonyesha uaminifu wa wafanyabiashara kulipa kodi na mchango mkubwa wa serikali katika kurahisisha mifumo ya ukusanyaji kodi ikiwa ni hatua ya kuendelea kukuza pato la nchi, “amesema.

Mallya pia amesisitiza kuwa serikali haiwezi kumtoza kodi kubwa mfanyabiashara mdogo, badala yake kila mmoja analipa kulingana na ukubwa wa biashara yake.

Ameeleza kuwa ulipaji wa kodi kwa hiari ndio msingi wa kujenga shule, hospitali, barabara na huduma nyingine za kijamii zinazowanufaisha wananchi wote.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Dodoma, Gilbert Chuwa, amepongeza serikali kwa kuondoa urasimu uliokuwa unaleta uadui kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Naye mfanyabiashara Sylivano James Chami amesema tofauti na zamani ambapo baadhi ya wafanyabiashara walilazimika kufunga maduka kutokana na madeni na changamoto za kodi, sasa mazingira yamekuwa salama na rafiki, hivyo akawataka wenzao kulipa kodi kwa hiari na kuunga mkono jitihada za serikali ya Rais Samia.

About the author

mzalendo