marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

Featured Kitaifa

MSD YAIMARISHA USAMBAZAJI WA DAWA NCHINI

Written by Alex Sonna

  

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Maendeleo ya Sekta ya Afya nchini leo Agosti 15,2025 katika Ofisi za Kanda za Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa,akisisitiza jambo kwa  Waandishi wa Habari kuhusu Maendeleo ya Sekta ya Afya nchini leo Agosti 15,2025 katika Ofisi za Kanda za Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dodoma.

Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa (hayupo pichani) wakati akizungumzia kuhusu Maendeleo ya Sekta ya Afya nchini leo Agosti 15,2025 katika Ofisi za Kanda za Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dodoma.

Ofisi za Kanda za Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI  imeendelea kuimarisha upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi nchini , hatua ambayo imeongeza uwezo wa hospitali na vituo vya kutolea huduma za afya kutoa huduma bora kwa wananchi.

Hayo yamesemwa  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa,wakati akizungumza na  Waandishi wa Habari kuhusu Maendeleo ya Sekta ya Afya nchini leo Agosti 15,2025 katika Ofisi za Kanda za Bohari ya Dawa (MSD) jijini Dodoma.
Msigwa, amesema kuwa mafanikio hayo ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya kupitia Bohari ya Dawa (MSD).
“MSD imekuwa mhimili muhimu katika utekelezaji wa mpango wa Serikali wa kusogeza huduma bora za afya kwa wananchi kwa kuhakikisha usambazaji wa dawa na vifaa tiba unafanyika kwa wakati na kwa ufanisi,” amesema Msigwa.

Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, idadi ya vituo vinavyohudumiwa na MSD imeongezeka kutoka 7,095 mwaka 2021/22 hadi kufikia 8,776 mwaka 2024/25,idadi hiyo sawa na ongezeko la vituo 1,681.

Msigwa ameeleza kuwa vituo hivyo vinahudumiwa kupitia kanda 10 za MSD zilizopo katika mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam, Mtwara, Mwanza, Tabora, Kilimanjaro, Tanga, Kagera, Mbeya na Iringa.

 Serikali imeongeza thamani ya bidhaa za afya zinazozalishwa na viwanda vya ndani. Kwa mwaka wa fedha 2021/22, bidhaa za afya za thamani ya shilingi billioni 15.9 zilinunuliwa kutoka kwa wazalishaji wa ndani. Thamani hii imeendelea kuongezeka na kufikia shilingi billioni 98.72 kwa mwaka wa fedha 2024/25.
“Kupitia hatua hii, Serikali imepunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje ya nchi, kulinda ajira za Watanzania, na kudhibiti matumizi ya fedha za kigeni,” ameongeza Msigwa.
Katika kuboresha huduma za kibingwa na ubingwa bobezi, MSD imenunua na kusambaza vifaa tiba vya kisasa vyenye thamani ya Shilingi bilioni 429.2 katika vituo vya afya nchini. Baadhi ya vifaa hivyo ni pamoja na mashine za usingizi, mashine za CT-Scan, MRI 3T, Ultrasound, pamoja na digital X-Ray.
Hatua hizo ni sehemu ya dhamira ya Serikali kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za afya, bila kujali mahali alipo.
Aidha Msigwa, amesema kuwa serikali  imetoa kiasi cha sh bilioni 642.1 kwa Bohari ya Dawa (MSD) kwa ajili ya ununuzi wa bidhaa za afya za vituo vya kutolea huduma za afya katika maeneo mbalimbali hapa nchini. 

Pia, kwa mwaka wa fedha 2024/2025, serikali imetoa Sh. bilioni 196.3, kati ya bajeti ya Sh. bilioni 200, iliyokuwa imewekwa, sawa na asilimia 98, fedha hizi zimetumika kununua dawa na vifaa tiba.

 Msigwa amesema, serikali imevunja rekodi kwa kutoa kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya dawa na vifaa tiba, tangu kuanzishwa kwa MSD  mwaka 1994.

“Tumeandika rekodi ya kutoa fedha nyingi za vifaa tiba na dawa kuliko wakati mwingine wowote. Tangu kuanzishwa kwa MSD, hatujawahi kufikisha asilimia 98 ya bajeti iliyowekwa,”amesema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bw. Mavere Tukai,amesema katika juhudi za kuimarisha usalama wa wagonjwa na kudhibiti uingiaji wa dawa bandia sokoni, MSD imetangaza mpango wa kuanzisha mfumo maalum wa kidijitali utakaowezesha ufuatiliaji wa dawa kuanzia kiwandani hadi inatapomfikia mgonjwa.
Amesema kuwa  mfumo huo unalenga kuhakikisha kuwa kila dawa inayosambazwa kupitia mnyororo rasmi wa MSD inakuwa salama na bora kwa matumizi ya binadamu.
“Tunaenda kuanzisha mfumo wa kufuatilia ubora wa dawa kutoka zinapotengenezwa hadi zinapomfikia mgonjwa. Hii ni hatua muhimu ya kuzuia uwezekano wa dawa bandia kuingia kwenye mnyororo wa usambazaji,” amesema 

Ameongeza kuwa mfumo huo utakuwa chachu ya mageuzi makubwa katika udhibiti wa bidhaa za afya nchini kwa kuwa utaongeza uwazi, uwajibikaji na usalama kwa watumiaji wa dawa.

“Lengo letu ni kuhakikisha dawa zote zinazotolewa kupitia MSD ni bora, salama na zenye viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa,” amesisitiza 

About the author

Alex Sonna