slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

betgit

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

marsbahis

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

elexbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet giriş

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

holiganbet

jojobet

grandpashabet

1win

ibizabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

gameofbet

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

jojobet

jojobet

jojobet

betpark

pusulabet

Featured Kitaifa

UCHIMBAJI HOLELA WA MADINI WILAYANI MISUNGWI KUDHIBITIWA –RC  MWANZA ATOA MWELEKEO MPYA

Written by Alex Sonna

MKUU wa  Mkoa wa Mwanza Bw.Said Mtanda ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 16,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa  Mkoa wa Mwanza Bw.Said Mtanda ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 16,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

MKUU wa  Mkoa wa Mwanza Bw.Said Mtanda ,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 16,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025.

Alex Sonna_ Dodoma

SERIKALI  Mkoani Mwanza imesema inaendelea kuweka mikakati kabambe ya kudhibiti na kusimamia ipasavyo ongezeko la shughuli za uchimbaji wa madini kiholela katika Wilaya ya Misungwi, hususan maeneo ya Busongo, Kasadi na Ishokela Hela.

Hayo yameelezwa leo Julai 16,2025 Jijini Dodoma na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw.Said Mtanda wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita kwenye Mkoa huo na kusisitiza kuwa lengo ni kuhakikisha rasilimali hizo zinawanufaisha wananchi kwa njia rasmi, salama na endelevu.

Akizungumzia hali ilivyo, Mkuu huyo wa Mkoa wa Mwanza amesema kuwa mkoa huo kwa sasa unaibuka kwa kasi katika sekta ya madini na hivyo unahitaji usimamizi madhubuti na wa karibu ili kuondoa mianya ya uchimbaji usio rasmi, usio na tija wala usalama kwa wachimbaji na mazingira.

Amesema, “Mkoa wa Mwanza umejaaliwa kuwa na utajiri mkubwa wa madini, na hiyo ndiyo sababu maeneo kama Busongo,Kasandi,Ishokela Hela na maeneo mengine yaliyopo wilayani Misungwi yamekuwa kivutio kikubwa kwa wachimbaji,

Tunatambua kuwa kuna uchimbaji holela na ndiyo maana tumechukua hatua madhubuti kuhakikisha wachimbaji wanafanya shughuli zao kwa kufuata sheria, huku wakiwa salama na wakinufaika kiuchumi,” amesema RC Mtanda.

Amebainisha kuwa tayari Ofisi yake kwa kushirikiana na Ofisi ya Afisa Madini wa Mkoa (RMO) imeanza kazi ya kwenda moja kwa moja kwenye maeneo husika, kuwatambua wachimbaji, kuwaunganisha kwenye vikundi rasmi, kuwapa elimu ya kitaalam kuhusu mbinu bora za uchimbaji, na kuwaandikisha ili waweze kusajiliwa kisheria.

“Tunataka kila mchimbaji awe sehemu ya mfumo rasmi, Kwa sasa tunafanya utambuzi katika maeneo yote yenye dalili za uchimbaji, na tumewapa wachimbaji elimu ya namna ya kuchimba kisasa, salama na kwa kuzingatia sheria,”ameeleza Mkuu huyo wa Mkoa wa Mwanza na kueleza;

Mchimbaji aliyesajiliwa anakuwa na nafasi ya kupata msaada wa kitaalam, mikopo na hata masoko ya uhakika,hii itawasaidia wao kuongeza kipato na kuwa na uhalali wa kufanya shughuli zao kwa Uhuru, ” ameeleza Mtanda

Kwa mujibu wa Mtanda, maeneo mengi yaliyokuwa na uchimbaji wa kiholela sasa yameanza kubadilika kutokana na juhudi hizo, huku serikali ikisisitiza kuwa pale yanapojitokeza makundi yanayojihusisha na uchimbaji haramu, hupelekwa timu maalum ya ufuatiliaji inayojulikana kama RUSH (Rapid Unit for Safety and Harmony) kushughulikia kwa haraka.

Mbali na juhudi hizo, Mtanda amesema Mkoa wa Mwanza unatarajia kwa matumaini makubwa kuanza kwa shughuli za mgodi mkubwa wa kimataifa wa Nyanzaga, ambao unaelezwa kuwa utakuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa mkoa, kutoa ajira kwa wananchi wa maeneo ya jirani, na kuinua biashara ndogondogo zinazozunguka mgodi huo.

“Kauli mbiu ya Madini inasema ‘Madini ni Utajiri’ na tunataka wananchi wetu waishi kwenye rasilimali zao kwa mafanikio, lengo letu ni kuhakikisha wachimbaji wadogo wanabadilika kuwa wajasiriamali wakubwa kupitia elimu, usimamizi bora na sera madhubuti za sekta ya madini,” amesisitiza.

Ameongeza kuwa kwa sasa, Serikali ya Mkoa inaendelea kusimamia kwa karibu shughuli zote zinazohusiana na madini katika Wilaya ya Misungwi na maeneo mengine ya Mkoa wa Mwanza, huku ikishirikiana na wizara husika kuhakikisha kila rasilimali inatumiwa kwa manufaa ya Taifa na wananchi walioko karibu na migodi.

RC  Mtanda, amesema kuwa serikali imejidhatiti kikamilifu katika kuhakikisha kuwa changamoto ya miundombinu ya barabara katika Wilaya ya Misungwi inapatiwa ufumbuzi wa kudumu hususani barabara ya Mwanangwa,Misasi,Busongo na barabara ya Buhingo kwenda Mbarika

“Tumejipanga kuhakikisha barabara zote muhimu kwa uchumi wa wananchi, hasa zile zinazotumika kusafirisha mazao na bidhaa za kibiashara, zinaboreshwa. Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutoa fedha kwa ajili ya miradi ya barabara,”amesema RC Mtanda 

Ameongeza kuwa tayari baadhi ya barabara zimeanza kufanyiwa ukarabati, huku nyingine zikiwa kwenye hatua ya upembuzi yakinifu kabla ya kuanza kwa ujenzi. Aidha, alisisitiza ushirikiano kati ya serikali na wananchi katika kutunza miundombinu hiyo mara baada ya kukamilika.

Serikali inaendelea kuhamasisha matumizi bora ya rasilimali na usimamizi wa miradi ili kuhakikisha barabara zinajengwa kwa viwango vinavyodumu kwa muda mrefu, na hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika wilaya na mkoa kwa ujumla.

 

About the author

Alex Sonna