Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI KUNUNIA TANI LAKI 2 ZA MBOLEA VIWANDA VYA NDANI.

Written by Alex Sonna

WAZIRI  wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe, akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 11,2025 jijini Dodoma kuelekea katika uzinduzi wa kiwanda  cha uzalishaji wa Mbolea cha ITRACOM Fertilizers Ltd  kilichopo  Nala, jijini Dodoma.

WAZIRI  wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe, akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 11,2025 jijini Dodoma kuelekea katika uzinduzi wa kiwanda  cha uzalishaji wa Mbolea cha ITRACOM Fertilizers Ltd  kilichopo  Nala, jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan,anatarajiwa kuzindua kiwanda cha uzalishaji wa Mbolea cha ITRACOM Fertilizers Ltd  kilichopo  Nala, jijini Dodoma pamoja na kuweka  jiwe la msingi, kupanda miti kama ishara ya kukuza  mazingira na kilimo endelevu, kukagua miundombinu ya kisasa ya  Kiwanda hicho.

Hayo yameelezwa leo Juni 11,2025 na Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea katika uzinduzi wa kiwanda hicho utakaofanyika Juni 28 mwaka huu ambapo Kauli mbiu ya hafla hiyo ni “Kilimo  ni Mbolea na Mbolea ni FOMI”. 

Amesema kuwa Kiwanda  hicho kimeweza kuajiri  watumishi wapatao 1805. Ajira  zisizokuwa za moja kwa moja zinazotokana na kiwanda  kuwepo zinakadiriwa kuwa zaidi ya 5,000. Kiwanda kinatazamia  kuajiri watu zaidi ya 3,000 na kuwa na ajira zisizokuwa za moja kwa  moja zaidi ya 15,000.  

‘Ujenzi wa Kiwanda hicho  ulianza mwaka 2021 ambapo kina uwezo wa  kutengeneza aina mbalimbali za mbolea kutegemeana na aina za  udongo na mazao. Kwa sasa kimeshasajili aina 14 za mbolea,  zinazotumika kwa mazao yote yanayolimwa Tanzania. Kiwanda pia  kinazalisha chokaa-kilimo kwa ajili udongo ulioathirika na tindikali. “amesema Mhe.Bashe

Aidha amesema kuwa Mbolea aina za Fomi Otesha, Fomi Kuzia na Fomi Nenepesha zilianza  kuingia sokoni Mwezi Desemba 2022 ambazo hutumika kuboresha  afya ya udongo na kuongeza mavuno kwenye mazao ya chakula na  biashara.  

Hata hivyo Waziri Bashe amesema kuwa  katika kuhakikisha wanalinda viwanda vya ndani Serikali imejipanga kununua mbolea tani laki 2 katika viwanda vya ndani na tani elfu 50 za chokaa kwaajili ya kuboresha shughuli za kilimo.
Amesema ununuzi huo wa Mbolea hautalenga  kuathiri mfumo wa ruzuku unaoendelea kwani wao watapeleka zaidi maeneo yale ambayo mbolea hazitumiki kwa wingi ili Watanzania wahamasike kuzitumia na kuona matokeo.
“Ili kulinda viwanda vyetu vya ndani Serikali mwaka huu imeamua itanunua mbolea kutoka viwanda vya ndani tani laki 2 na tani elfu 50 zitanunuliwa nu za chokaa kwaajili ya shughuli za kilimo”.
“Na pia Serikali itanunua hizi mbolea bila kuathiri mfumo wa ruzuku unaoendelea, ila zitakaponunuliwa tutazipeleka kwenye maeneo ambayo mbolea hazitumiki sana ili Watanzania waanze kutumia za viwanda vya ndani na kuona matoke yake”.amesema
Aidha amesema Nchi imekuwa ikiagiza karibu tani milioni 1.2 za mbolea kutoka nje lakini kwasasa kutokana na uwepo wa kiwanda hiki na uwekezaji wake mahitaji ya mbolea yatapatikana kutoka viwanda vya ndani.
Pia Waziri Bashe ametoa hamasa kwa wananchi wa Mkoa wa Dodoma  na Mikao ya Jirani kujitokeza kwa wingi ili kushiriki katika uzinduzi huo  wa kihistoria.  
Naye Mkurugenzi wa Kiwanda cha Itracom Fertilisers Limited Bwana Nduwimana Nazaire amesema kuwa wao kwa kushirikiana na Taasisi za Serikali kama vile TARI na TFRA mpaka sasa tayari kuna aina 14 ambazo kiwanda kinazalisha ambapo pia kiwanda kina uwezo wa kutengeneza mbolea kulingana na eneo,kulingana na zao na pia kulingana na hitaji la mkulima.
Na kuongeza kuwa kiwanda hicho  kinazalisha mbolea mchanganyiko  wa chumvi chumvi na malighafi za asili kama vile samadi na zinginezo.
Uzinduzi huu ni miaka mitatu na nusu toka uwekezaji huu kuanza kufanyika hapa Jijini Dodoma.

Uzinduzi huo pia utahudhuriwa na Waheshimiwa Marais wa nchi jirani  akiwemo Mhe. Meja Jenerali (Mst) Evariste Ndayishimiye, Rais wa  Jamhuri ya Burundi; na Viongozi Wakuu wa Serikali wakiwemo  Mawaziri wa Kilimo kutoka nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa  Afrika na Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongozwa na Waziri wa Kilimo  wa Tanzania, Mhe. Hussein Bashe (Mb); Makatibu Wakuu; Wakuu wa  Mikoa; Wakuu wa Wilaya na Wananchi wa Dodoma na mikoa ya jirani.

About the author

Alex Sonna