Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

meritking

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

grandpashabet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

VIGOGO SITA WAFIKISHWA MBELE BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI DODOMA

Written by mzalendo
Na Gideon Gregory, Dodoma. 
Leo Machi 27,2025 Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma imewafikisha mbele ya baraza hilo watumishi Sita wa umma kwa kosa la ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma ambapo wameshindwa kuwasilisha tamko la rasilimali na madeni kwa Kamishna wa Maadili.
Waliofikishwa mbele ya Baraza hilo ni madiwani wawili wa halmashauri ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Mwandei Mohamed (Mtimbwani) na Mussa Buhero (Mayomboni) pamoja na Msajili wa Hati Msaidizi Mkoa wa Tanga, Mwajuma Kihiyo.
Vigogo hao wamefikishwa mbele ya Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Rose Teemba na kusomewa mashitaka yao ambapo wote wamekiri kutowasilisha tamko hilo.
Katika mashtaka hayo, upande wa Sektarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, umeongozwa na Wakili Mkuu wa Serikali, Emma Geleni ambaye amesaidiana na Hassan Mayunga, Lidya Mwakibete na Hilary Hassan. 
Katika baraza hilo, walalamikiwa kwa nyakati tofauti wamedaiwa kutowasilisha matamko ya raslimali na madeni kama kinavyoelekeza kifungu cha 9(1B) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na hivyo kukiuka kifungu cha 16(A) cha sheria hiyo.
Walalamikiwa wote kwa nyakati tofauti walitiwa hatiani kwa shtaka hilo baada ya kukiri kutowasilisha tamko hilo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao ya uongozi kwa umma.
Akisoma mashtaka mbele ya Diwani Mwandei, Wakili Emma alileza kuwa mlalamikiwa huyo aliingia katika uongozi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, ambapo mwaka huo aliwasilisha tamko la raslimali na madeni lakini mwaka 2021 hakuwasilisha.
Alipoulizwa na Mwenyekiti wa Baraza hilo, Jaji Mstaafu Teemba, diwani huyo alikiri na baraza lilimtia hatiani kwa kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma adhabu iliyomwendea pia Diwani Buhero baada ya kuonekana makosa yao yakishabihiana.
Kuhusu Hakimu Mziray, Wakili Mayunga amesema hakimu huyo amekuwa kiongozi tangu mwaka 2010 lakini ameshindwa kutimiza matakwa ya sheria ya kuwasisha tamko la raslimali na madeni kwa miaka mitatu mfululizo ambayo ni mwaka 2022 hadi 2023.
Alipoulizwa na Mwenyekiti wa Baraza hilo, Jaji Mstaafu Teemba alikiri kutowasilisha tamko hilo na hivyo baraza kumtia hatiani huku Msajili wa Hati Msaidizi wa Mkoa wa Tanga Mwajuma ametiwa hatiani kwa kutokuwasilisha tamko la raslimali na madeni kwa miaka miwili 2022 na 2023 wakati alishika nafasi hiyo 2020.
Tofauti na washitakiwa wengine Mwajuma ambaye muda wote alikuwa amejiinamia katika ukumbi huo wa baraza,hali iliyoonyesha hofu ya kujutia kosa lake na kutopenda kuonyesha uso wake kwa watu waliokuwa ndani ya ukumbi.
Kwenye malalamiko yanayomuhusu Columba Baraza limemtia hatiani baada ya kukiri kutowasilisha tamko lake kama anavyopaswa kwa mujibu wa sheria kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo ambayo ni 2022 na 2023.
Hata hivyo Columba amesema kuwa kumbukumbu zinamuonyesha kuwa alijaza fomu za tamko hilo kwa mwaka 2022 lakini hana hati ya kuthibitisha na kwa upande wa mwaka 2023 alichelewa kujaza fomu hizo lakini alipoulizwa zaidi ya mara tatu alikiri kutojaza ndipo Jaji Mstaafu Teemba alihitimisha kuwa, “Umekiri mwenyewe hukujaza fomu kwa wakati uliotakiwa, baraza litaendelea na utaratibu unaotakiwa, unaweza kwenda.”
Kwa upande wa mlalamikiwa Mhina, Wakili Lidya amedai kuwa Mhina katika mwaka 2022 na 2023 hakuwasilisha tamko lake la raslimali na mali kama Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma inavyotaka.
Akijitetea Mhina amesema anakubaliana na maelezo hayo na kuwa kosa hilo limetokana na changamoto katika njia ya utumaji wa fomu hizo zilizojitokeza hapo awali lakini baada ya kuanza kutumika kwa utaratibu wa kujaza kwa njia ya mtandao kosa hilo halitajitokeza tena.
Baraza hilo limehairishwa mpaka kesho Machi 28,2025 saa 3 kamili asubuhi.

About the author

mzalendo