Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kusindika  Mafuta ya Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited kilichopo wilaya ya Wanging’ombe mkoani Lindi Machi 23, 2025. Kulia kwake ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana, kulia   ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exhaud Kigahe, wa tatu kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI na Mbunge wa Wanging’ombe, Dkt. Festo Dugange na kushoto ni Meneja Mkuu wa Kiwanda hicho, Nagib Kamal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

….

 

Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi

-Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi

WAZIRI MKUU,  Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi.

Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana ameunda timu mbalimbali kwa ajili ya kufanya mapitio ya kero za wafanyabiashara wafanye kazi zao kwa uhuru.

Mheshimiwa Majaliwa ametoa kauli hiyo leo (Jumapili 23 Machi 2025) alipokuwa akijibu hoja zilizotolewa na Mwakilishi wa wafanyabiashara wa Halmashauri ya Makambako aliposimama na kuzungumza na wananchi wa eneo hilo.

“Nataka niwatoe Mashaka Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya mapendekezo yenu wafanyabiashara yale kumi na tano, kufuatia mkutano na wafanyabiashara Kariakoo ameunda tume inayofanya mapitio ya mfumo wa kodi Tanzania na inaendelea kuzunguka nchi nzima kufanya kazi hiyo.” 

Aidha, amempongeza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato nchini sambamba na kuchukua hatua kwa watendaji wa Mamlaka hiyo ambao wanaenda kinyume na maadili yao ya kazi.

Pia amemtaka kamishna huyo kuendelea kuboresha programu za utoaji wa elimu kwa mlipa kodi, ili kuondoa changamoto zinazowakabili wafanya biashara kuhusu masuala ya kodi.

“Serikali hii inamtaka kila mtanzania ajue umuhimu wa kulipa kodi na tunajua kuwa sasa watanzania wengi wanajua umuhimu wa kulipa kodi.”

Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Majaliwa ametembelea kiwanda cha uchakataji zao la parachichi cha Avo Afrika, kilichopo Mkoani Njombe.

Akizungumza na wafanyakazi na baadhi ya wananchi wanaouza bidhaa zao katika kiwanda hicho, Mheshimiwa majaliwa ametoa wito kwa wakulima wa zao la parachichi kuendelea kulima zao hilo kwani sasa zao hilo lina soko la uhakika.

“Nataka niwaambie sasa hali imebadilika parachichi ni biashara tosha, kama unataka utajiri lima parachichi, ukilima leo una uhakika wa mahali pa kuuza kwa sababu sasa wawekezaji wa uhakika wapo.”

Pia, Amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka kwa kulifanya zao la parachichi kuwa ajenda ya uchumi mkoani humo pamoja na kuhakikisha zao hilo linapata soko la uhakika. 

Amesema Serikali imetoa maelekezo thabiti juu ya usimamizi wa mazao ya kilimo parachichi likiwemo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama parachichi alipotembelea Kiwanda cha Kuchakata  zao la  Parachichi  AvoAfrica Tanzania Limited kiichopo Makambako Mkoani Njombe, Machi 23, 2025. Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa kiwanda hicho, Nagib Kamal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa  Nagib Kamal  ambaye ni Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Kuchakata Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited kilichopo Makamabako Mkoa wa Njombe  kuhusu makasha yenye parachichi  yanayosubiri kusafirishwa nje ya nchi, Machi 23, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchakata Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Liited,  Nagib Kamal (kulia) kuhusu  uchakataji wa Parachichi, Machi 23, 2025. Wa pili kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana na kushoto ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exhaud Kigahe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Nagib Kamal, Meneja Mkuu wa Kiwanda cha Kusindika  Mafuta ya Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited killichopo  wilaya  ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, Machi 23, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kusindika  Mafuta ya Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited kilichopo wilaya ya Wanging’ombe mkoani Lindi Machi 23, 2025. Kulia kwake ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana, kulia   ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exhaud Kigahe, wa tatu kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI na Mbunge wa Wanging’ombe, Dkt. Festo Dugange na kushoto ni Meneja Mkuu wa Kiwanda hicho, Nagib Kamal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wafanyakazi wa Kiwanda cha Kusindika Mafuta ya  Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited  alipotembelea kiwanda hicho kilichopo wilyani Wanging’ombe mkoa wa Njombe Machi 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana viongozi wa Mkoa wa Njombe kwenye Kiwanda cha Kukamua Mafuta ya Parachichi cha AvoAfrica Tanzania Limited kilichopo wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe Machi 23, 2025. Kulia ni Meneja Mkuu wa kiwanda hicho, Nagib Kamal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna