marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

pusulabet giriş

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

betsat

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

slot siteleri

herabet

Featured Kitaifa

SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR UNAOSIMAMIWA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja ambaye pia ni Mwenyekiti wa kikao cha Kamati tendaji ya Usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) (waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati hiyo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati hiyo Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

(NA MPIGAPICHA WETU)

Na Mwandishi Wetu,MBEYA

 

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) ulioanza mwaka 2021-2025 katika Mikoa mitano na Halmashauri za Wilaya saba nchini.

Aidha kutokana na mwitikio chanya wa wananchi katika kutekeleza mradi huo, Serikali imekusudia kuongeza maeneo ya utekelezaji, katika Mikoa na Halmashauri nyingine nchini.

Mhandisi Luhemeja amesema hayo jana Jumamosi Machi 15, 2025 Jijini Mbeya wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati tendaji ya kitaifa ya usimamizi wa mradi huo kilichojadili shughuli mbalimbali za utekelezaji wa mradi huo hadi kufikia sasa.

Luhemeja amesema tathimini iliyofanywa na Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais, imeonesha wananchi wamefurahishwa na utekelezaji wa shughuli za mradi na hivyo Serikali imepanga kuhakikisha kuwa inaongeza wigo wa maeneo ya utekelezaji wake ili kuleta manufaa katika masuala ya uhifadhi wa mazingira nchni.

“Mwezi Oktoba mwaka huu tutafanya tathimini ya mradi na ili kuona uwezekano kupata maeneo mengi zaidi ya utekelezaji ili kutunza mazingira na pia kuwanufaisha jamii mbalimbali ambazo zimeweza kubuni miradi ya kijamii inayowaingia kipato kutokana na shughuli mbadala zinazoenda sambamba na uhifadhi endelevu wa mazingira” amesema Lihemeja.

Ameongeza kuwa mradi wa SLR ni mojawapo ya miradi ya mfano ambayo Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imekusudia kuianzisha katika maeneo mbalimbali nchini, ili kuisaidia jamii kuongeza hamasa ya uhifadhi wa mazingira na hivyo kuweza kutumia vyema fursa ya mabadiliko ya tabianchi kwa ajili ya kuibua miradi ya kijamii.

Amefafanua kuwa Ofisi ya Makamu wa Rais itaendelea kujenga uwezo kwa jamii zinazotekeleza mradi huo ziweze kuhamasisha katika masuala ya uhifadhi wa  mazingira na kutumia fursa zilizopo kuweza kujiongeza kipato kupitia shughuli za uzalishaji mali.

“Tumeona Mkoa wa Katavi na Wilaya ya Mpimbwe wananchi wamehamasika kupanda miti na kuingia katika biashara ya kaboni na hivyo kujiongeza kipato…..Tumejipanga kuhakikisha fursa hizi pia zinaweza kuwanufaisha wananchi wa maeneo mbalimbali nchini” amesema Mhandisi Luhemeja.

Akitolea mfano, amesema kupitia mradi wa SLR wananchi wameweza kutumia mbinu za kisasa za uzalishaji mali ikiwemo kilimo rafiki kwa mazingira ambacho kimewazesha kuvuna kiasi kikubwa cha mazao kwa kutumia mbinu za kisasa ikiwemo mbegu bora na teknolojia ya umwagiliaji.

Aidha Luhemeja amezihimza jamii zilizonufaika na mradi huo kutumia vyema rasilimali zilizopo ili kuwa endelevu sambamba na kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha jamii kutunza na kuhifadhi mazingira kwani.

Kwa upande wake Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR), Dkt. Damas Mapunda amesema kwa mwaka 2025, mradi huo umetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 9.9 kwa ajili utekelezaji wa shughuli mbalimbali za mradi.

“Mradi huo umepata hamasa kutoka kwa Viongozi wa ngazi mbalimbali pamoja na wananchi, hatua inayowezesha Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kuweza kufikia malengo iliyojiwekea ya urejeshwaji wa uoto wa asili katika maeneo mbalimbali nchini” amesema Dkt. Mapunda

Ameongeza kuwa hadi kufikia sasa mradi huo umefikia asilimia 67 ya utekelezaji wake na kuongeza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kukamilisha mradi huo unakamilika kwa wakati na viwango vilivyokusudiwa.

Mradi wa SLR unafadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) kupitia Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) na kusimamiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2021 na unatarajia kukamilika mwaka 2025 na ambapo jumla ya Mikoa 05, Halmashauri 07, Kata 18 na vijiji 54 zinatarajia kunufaika. Halmashauri hizo ni Iringa Vijijini, Mbeya, Wanging’ombe, Mbarali, Sumbawanga Vijijini, Tanganyika na Mpimbwe.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Usimamizi wa Mradi ya Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) akizungumza na wajumbe wa kikao hicho kilichofanyika Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya, Dkt. Samora Mshang’a akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya usimamizi wa mradi wa urejeshwaji wa mazingira na hifadhi endelevu ya bayoanuai Tanzania kilichofanyika Machi 15, 2025 Jijini Mbeya. Katikati ni Mwenyekiti wa Kikao hicho ambaye pia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja.

Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania), Dkt. Damas Mapunda akifuatilia mjadala wakati wa kikao cha kikao cha Kamati Tendaji ya Usimamizi wa Mradi huo kilichofanyika Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Tendaji ya Usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) wakifuatilia mjadala wakati wa kikao cha kikao cha Kamati Tendaji ya Usimamizi wa Mradi huo kilichofanyika lMachi 15, 2025 Jijini Mbeya.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati tendaji ya usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) akizungumza na wajumbe mbalimbali muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao hicho Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

Mkurugenzi wa Huduma za Ugavi na Ununuzi Ofisi ya Makamu wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati tendaji ya Usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania), Bi. Juliana Mkalimoto akijitambulisha kwa wajumbe wa kikao hicho muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati hiyo Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais ambaye pia ni mjumbe wa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati tendaji ya Usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania), Bi. Kemilembe Mutasa akifuatilia majadiliano ya kikao cha kamati hiyo kilichofanyika Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja ambaye pia ni Mwenyekiti wa kikao cha Kamati tendaji ya Usimamizi wa Mradi wa Urejeshwaji wa Mazingira na Hifadhi Endelevu ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) (waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati hiyo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati hiyo Machi 15, 2025 Jijini Mbeya.

(NA MPIGAPICHA WETU)

About the author

Alex Sonna