marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

capitolbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

king-royal

Featured Kitaifa

TAASISI ZA FEDHA ZAKARIBISHWA KUTOA ELIMU MUSOMA

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bi. Ainess Anderson, akizungumza wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha kwa Watumishi wa Manispaa hiyo, yaliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, ikiwa imeambatana na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB, NBC.Benki Kuu, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

 

Na. Josephine Majura WF, Mara

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bi. Ainess Anderson, amezikaribisha Taasisi mbalimbali zinazojihusisha na masuala ya fedha kwenda kutoa elimu ya fedha ikiwemo uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo kwa wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma.

Alitoa wito huo wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa na Wizara ya Fedha, Taasisi za Serikali na Binafsi kwa Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ili waweze kujikwamua kiuchumi.

“Tunawakaribisha muda wowote kuja kutoa elimu hii muhimu kwa watumishi na wakazi wa Halmashauri yetu ili waweze kuwa na uelewa mpana wa masuala ya fedha”, alisema Bi. Ainess.

Aliongeza kuwa Taasisi za Fedha zinatakiwa kuchangamka kutafuta wateja maeneo yote nchini hivyo wasikae ofisini hadi wakisikia Wizara ya Fedha inaenda kutoa elimu ndipo nao watoke ofisini waambatane nao.

“Wametoa mada nzuri ikiwemo aina za mikopo inayotolewa, vigezo vya kutambua Taasisi rasmi za kukopa, uwekaji wa akiba, kwakweli mada za leo zimetujengea uelewa mpana wa masuala ya fedha, hivyo niwaombe na niwasisitize mrudi tena kwa wananchi wetu ili elimu hii nzuri kila mwananchi aipate iweze kumsaidia katika shughuli za kila siku za kiuchumi”, alisisitiza Bi. Ainess.

Naye mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ambae ni Mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bw. Juma Njwayo, ,alisema kuwa amepata elimu ya masuala ya fedha katika maeneo mbalimbali ikiwemo namna ya kuweka akiba, mikopo, Taasisi rasmi za kuchukulia mikopo na namna bora ya kujiandaa kabla ya kustaafu.

Kwa upande wake Afisa Msimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bi. Elizabeth Mzava, alisema kuwa katika mkoa wa Mara wamepata mwitikio mkubwa wa wananchi kujitokeza kwa wingi kupata elimu ya fedha.

“Tunaendelea kuwaomba wananchi tunapoendelea na zoezi la kutoa elimu ya fedha waendelee kujitokeza kwa wingi kupata elimu hiyo ili wawe na uelewa mpana wa masuala ya fedha”, alisema Bi. Elizabeth.

Katika zoezi la kutoa elimu kwa wananchi Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha imeambata na Wataalamu kutoka Taasisi nyingine za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB na NBC.

MWISHO.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bi. Ainess Anderson, akizungumza wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha kwa Watumishi wa Manispaa hiyo, yaliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, ikiwa imeambatana na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB, NBC.Benki Kuu, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

Afisa Msimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bi. Elizabeth Mzava, akielezea umuhimu wa kujiwekea akiba na kufanya uwekezaji kabla ya kustaafu kwa watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ambapo walijitokeza kupata elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, pamoja na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB, NBC.Benki Kuu, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti Taka Halmashauri ya Manispaa ya Musoma Bw. Mwizarubi Nyaindi, akiuliza swali kuhusu utaratibu wa kujiunga na Hazina Saccos wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, ikiwa imeambatana na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB, na NBC, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

Meneja Maendeleo ya Biashara wa Benki ya CRDB-Musoma, Bw. Denis Ndagara, akitoa elimu ya umuhimu wa kukopa katika Taasisi rasmi zinazotambuliwa na Serikali kwa watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma ambapo walijitokeza kupata elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, pamoja na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB na NBC.Benki, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

Baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, wakifuatilia mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, ikiwa imeambatana na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB na NBC, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

Baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, wakiangalia filamu iliyokuwa na mada mbalimbali ikiwemo masuala ya mikopo, akiba, uwekezaji, kujiandaa kustaafu wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa na Wataalamu wa Wizara ya Fedha, ikiwa imeambatana na wataalamu wengine kutoka Taasisi za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS na NSSF pamoja na Taasisi za Kibenki ikiwemo TCB, CRDB, NMB na NBC, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano WF, Mara)

About the author

Alex Sonna