marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

marsbahis

matbet

sekabet

holiganbet

betsalvador

casinoroyal

casinoroyal

betist

betist

Sweet Bonanza

mavibet

Featured Kitaifa

JUMBE ACHANGIA MIFUKO 1OO YA SARUJI UJENZI WA UZIO KITUO CHA AFYA KAMBARAGE

Written by Alex Sonna

 

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto), na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko wakikabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage Mjini Shinyanga


Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe Wiswa, amechangia mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga. 

Mchango huu unalenga kuimarisha usalama wa wagonjwa na watoto wachanga waliozaliwa katika kituo hicho.

Mhandisi Jumbe amekabidhi mifuko hiyo ya saruji leo, Jumamosi, Februari 22, 2025, wakati wa ziara ya Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, ambapo wamekagua maendeleo katika Kituo cha Afya Kambarage na ujenzi wa barabara ya Kenyatta-Karena kwenye kata hiyo. 

Ziara hiyo pia imejumuisha mazungumzo na wanachama na viongozi wa CCM kutoka Kata ya Kambarage, Lubaga na Mjini.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya mifuko ya saruji, Mhandisi Jumbe amesema, “Nimeamua kutimiza ahadi yangu kutoa mifuko hii ya saruji ili kuimarisha ulinzi katika Kituo cha Afya Kambarage. Kamati ya Kituo hiki iliniletea ombi la kuchangia ujenzi wa uzio na mimi nimelijibu kwa vitendo. Kituo hiki kipo kwa ajili ya wagonjwa mbalimbali na wengi ni akina mama na watoto, na tunahitaji kuwalinda kwa kila hali.”

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto), na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko wakikabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage 

“Niipongeze kamati ya Kituo cha afya Kambarage kwa namna ambavyo wanajitahidi kutoa michango mbalimbali, Mwenyekiti wa Kamati aliniandikia barua tangu mwaka jana akaniambia wana ujenzi wa uzio wa kituo hiki, na mimi nikamuahidi nitamchangia kama alivyoeleza, zoezi letu tumekuwa tukiliahirisha mara kwa mara lakini mara ya mwisho nikamwambia kuwa kwa kuwa mimi ni mjumbe wa kamati ya utekelezaji Wazazi na ukizingatia kituo hiki cha afya kwa kiwango kikubwa kipo kwa ajili ya wazazi hasa akina mama ni muhimu tuungane ili kuhakikisha kunakuwa na usalama,” amesema Mhandisi Jumbe.

Mhandisi James Jumbe Wiswa

“Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amejitahidi sana kuboresha sekta ya afya, ametoa vifaa tiba, amejenga majengo ya kisasa, amenunua vifaa vingi vya kisasa vya gharama kubwa, ambapo tulikuwa tunatumia gharama kubwa sana kuvipata kwenye sekta binafsi. Mama Samia ni mama mwenye watoto, anajua kadhia ambazo akina mama wanapitia.  Sisi kama wadau wa maendeleo, na mimi pia ni mfanyabiashara, tunapaswa kujitolea kwa ajili ya jamii yetu,” ameongeza Mhandisi Jumbe.

Amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameonesha jitihada kubwa kuboresha sekta ya afya nchini, na yeye kama mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi, ameamua kuunga mkono juhudi hizo kwa kuchangia katika ujenzi wa uzio akisema “Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amejitahidi kuboresha sekta ya afya, ametoa vifaa vya kisasa na kujenga majengo bora.

“Kwa hiyo, nimeona ni vyema kumuunga mkono Rais Samia kwa juhudi zake kubwa. Kama wadau, ametufanyia mazingira rafiki ya kufanya shughuli zetu na tumeweza kulipa kodi bila kusumbuliwa. Hivyo, tunapaswa kutoa kile tunachopata kusaidia jamii yetu. Na nawaasa wafanyabiashara wa Shinyanga, tunao wengi, wajitolee kusaidia. Nafurahi wapo ambao wametoa mchango wao, uzio huu ni kidogo kama wote tungeshirikiana, ukishiriki kuchangia uzio huu maana yake unashiriki kulinda uhai wa mwanadamu ambao mwenyezi Mungu ametupatia. Hatupaswi kuweka mazingira hatarishi kwa akina mama wanaokuja kupata huduma, lazima tuwajibike na kuwalinda,” amesema Mhandisi Jumbe.

Mashine ya UltraSound katika Kituo cha Afya Kambarage
 
“Leo, tumekabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio, lakini pia Jumuiya ya Wazazi CCM Shinyanga Mjini tuna mradi wa tofali jirani na kituo hiki cha afya hivyo tumechangia matofali 2000 kwa mradi huu, na tutachangia mchanga wa kutosha. Tutaendelea kufanya matendo mbalimbali kuwaunga mkono, kumuunga mkono Rais Samia, na Mungu akipenda, tutawatia moyo watumishi wa afya kwa motisha mbalimbali. Mchango huu ni zawadi kwa Rais Samia kutoka kwa watu wa Shinyanga, kuonesha watu wa Shinyanga tunampenda.

 Na sisi wana Shinyanga tunamuunga mkono kwa vitendo, na vitendo vyenyewe ni kushiriki shughuli za maendeleo na kutatua changamoto ambazo zinakumba jamii yetu. Mchango huu pia ni ishara ya kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu CCM kumteua Rais Samia kugombea tena Urais akiwa na mgombea Mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi. Hii ni ishara ya kumpongeza kwa juhudi zake” ,ameeleza Mhandisi Jumbe.

Viongozi wa Kituo cha Afya Kambarage, Mwenyekiti wa Bodi Adolf Nzwanzungwanko na Mganga Mfawidhi Dkt. Ernest Magula, walimshukuru Mhandisi Jumbe kwa mchango wake na kusema kuwa uzio huo utasaidia kuimarisha usalama hasa wakati wa usiku, hivyo kurahisisha huduma za afya kwa wananchi.

Katika ziara hiyo, akiwa katika kata za Kambarage, Mjini na Lubaga Mhandisi Jumbe pamoja na wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Shinyanga Mjini wamewahamasisha wanachama wa CCM kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

 “Kazi yetu kama makada wa CCM ni kuyasemea mambo mazuri yaliyofanywa na Rais Samia. Tunataka Rais Samia apate ushindi mkubwa katika uchaguzi Mkuu mwaka huu, ni mama mwenye huruma na ameimarisha amani, umoja, na mshikamano”,amesema Jumbe.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, amesisitiza kuwa chama kinapaswa kuungwa mkono kwa sababu kimeendelea kuwaletea maendeleo wananchi wa Shinyanga.

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa (kushoto), na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko wakikabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage Mjini Shinyanga
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza wakati akikabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage Mjini Shinyanga
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza wakati akikabidhi mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage Mjini Shinyanga
Sehemu ya mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika kituo cha afya Kambarage Mjini Shinyanga iliyotolewa na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa
Wanachama na Viongozi wa CCM wakiwa na Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakifanya matembezi kuelekea katika Kituo cha Afya Kambarage
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakiwa katika chumba cha mashine ua UltraSound katika Kituo cha Afya Kambarage
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakiwa katika chumba cha mashine ya UltraSound katika Kituo cha Afya Kambarage
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakiwa katika Kituo cha Afya Kambarage
Muonekano ujenzi wa barabara ya Kenyatta-Karena katika kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga ukiendelea
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakikagua ujenzi wa barabara ya Kenyatta-Karena katika kata ya Kambarage
Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini wakikagua ujenzi wa barabara ya Kenyatta-Karena katika kata ya Kambarage
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko akizungumza na wanachama na viongozi wa CCM Kata ya Kambarage
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Doris Kibabi akizungumza na wanachama na viongozi wa CCM Kata ya Kambarage
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza na na wanachama na viongozi wa CCM Kata ya Kambarage
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko akizungumza na wanachama na viongozi wa CCM Kata ya Lubaga
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga, Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza na na wanachama na viongozi wa CCM Kata ya Lubaga

About the author

Alex Sonna