marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Grandpashabet Güncel Adres

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

Featured Kitaifa

MFUMO WA USHUGHULIKIAJI WA RUFAA NA MALALAMIKO UTAONGEZA UFANISI KATIKA UTOAJI HAKI KWENYE UTUMISHI WA UMMA-MHE.SANGU

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Tume ya Utumishi wa Umma na Washiriki kutoka Serikali Kuu zikiwemo (Wizara, Sekretarieti za Mikoa, Idara zinazojitegemea na Wakala za Serikali), Taasisi za Umma na Mamlaka za Serikali za Mitaa baada ya kufungua mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Na. Veronica Mwafisi_Morogoro

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu amesema mafunzo yanayotolewa kwa Washiriki kutoka Serikali Kuu zikiwemo (Wizara, Sekretarieti za Mikoa, Idara zinazojitegemea na Wakala za Serikali), Taasisi za Umma na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko yataongeza ufanisi katika utoaji haki kwenye Utumishi wa Umma.

Mhe. Sangu amesema hayo leo wakati akifungua mafunzo ya Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika Mkoani Morogoro.

Mhe. Sangu amesema kuwa, kutokana na Serikali kusisitiza matumizi ya mifumo kwenye utendaji wa shughuli zake, Tume ya Utumishi wa Umma, imejenga Mfumo wa kushughulikia Rufaa na Malalamiko kwa Watumishi wa Umma, Mamlaka za Rufaa, Mamlaka za Nidhamu na Waajiri kwa lengo la kutoa huduma bora ili kuendana na Serikali ya kidijitali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Sangu ameongeza kuwa mfumo huo utasaidia kupatikana kwa taarifa za hali ya Utumishi wa Umma kwa wakati na katika ubora unaotakiwa kulingana na uzito wa taarifa hizo.

Naibu Waziri Sangu amewasihi washiriki wa mafunzo hayo kutumia vyema Mfumo huo na kuhakikisha wanatuma taarifa sahihi Tume ya Utumishi wa Umma kwa lengo la kuchakatwa na kuwasilisha taarifa hizo kwa Mamlaka husika ili kuirahisishia Serikali kupanga masuala mbalimbali yanayohusu Utumishi wa Umma.

Aidha, Naibu Waziri Sangu amewataka Waajiri, Mamlaka za Ajira na Mamlaka za Nidhamu kuwasilisha vielelezo vya rufaa na malalamiko Tume ya Utumishi wa Umma kwa wakati kama Sheria inavyoelekeza pale zinapotakiwa kufanya hivyo.

Kwa Upande wake, Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe. Hamisa Kalombola (Jaji Mst), amesema kuwa Tume iliamua kujenga mifumo ya kielektroniki na kuendelea kutoa elimu ya kutumia mifumo hiyo kwa wadau wao ili kuondokana na baadhi ya changamoto ambazo zilikuwa zinakwamisha utendaji kazi wa namna ya kuitumia wakati wa uendeshaji wa mashauri na nidhamu hasa kwenye ushughulikiaji wa rufaa na malalamiko.

Awali, Kaimu Katibu, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso alisema, mafunzo hayo yanafanyika ili kutekeleza Sheria ya Utumishi wa Umma ya kutoa miongozo na elimu ya masuala mbalimbali ya kiutumishi kwa lengo la kuboresha usimamizi wa Watumishi wa Umma.

Tume ya Utumishi wa Umma ni chombo rekebu chini ya Ofisi ya Rais kilichoundwa kwa mujibu wa Kifungu cha 9(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 [Marejeo ya Mwaka 2019].

Aidha, majukumu ya Tume yameainishwa katika Kifungu cha 10(1) cha Sheria hiyo ambapo baadhi ya majukumu yake ni pamoja na kutoa Miongozo, Uwezeshaji, Utafiti, kufuatilia Uzingatiaji katika Usimamizi wa Utumishi wa Umma na ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma.


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro.

Sehemu ya Watendaji wa Tume ya Utumishi wa Umma wakifuatilia mafunzo waliyoyaratibu kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe. Hamisa Kalombola (Jaji Mst) akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (hayupo pichani) kufungua rasmi mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma wakifuatilia mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (wapili kutoka kulia) akiagana na Kaimu Katibu, Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. John Mbisso (kulia) wakati akiondoka baada ya kufungua mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro. Aliyejitanda kilemba ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe. Hamisa Kalombola (Jaji Mst). Nyuma yake ni Naibu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bi. Celina Maongezi.

Mkurugenzi wa Idara ya Miongozo, Uwezeshaji na Utafiti, Bw. Peleleja Masesa akitoa utambulisho wa washiriki waliohudhuria mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu (katikati) akifuatilia jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe. Hamisa Kalombola (Jaji Mst).

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Tume ya Utumishi wa Umma na Washiriki kutoka Serikali Kuu zikiwemo (Wizara, Sekretarieti za Mikoa, Idara zinazojitegemea na Wakala za Serikali), Taasisi za Umma na Mamlaka za Serikali za Mitaa baada ya kufungua mafunzo kuhusu Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma yanayofanyika mkoani Morogoro.

Afisa Utumishi, Bodi ya Pamba Tanzania ambaye ni mshiriki wa Mafunzo ya Mfumo wa ushughulikiaji wa Rufaa na Malalamiko katika Utumishi wa Umma Bi. Changwa Mkwazu akitoa neno la shukrani kwa niaba ya washiriki wote kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu (hayupo pichani) baada ya Waziri huyo kufungua mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro.

About the author

Alex Sonna