marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

porno izle

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

jojobet

betasus giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

Featured Kitaifa

JK AIPA PPAA CHANGAMOTO KUOKOA FEDHA ZA SERIKALI KATIKA MIRADI

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. 

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete ameipa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) changamoto ya kuangalia jinsi ununuzi wa umma unavyoweza kuokoa fedha za umma na kuhakikisha kuwa Serekali inapata thamani ya fedha katika miradi yake inayoitekeleza.

Mheshimiwa Kikwete ametoa changamoto hiyo wakati alipotembelea banda la PPAA katika maonesho ya Wiki ya Sheria yaliyoanza tarehe 25 Januari, 2025 katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.

“Wakati nilipokuwa Rais kuna halmashauri moja ilijenga jengo lake kwa kutumia shilingi milioni 15 kwa jitihada zao wenyewe, lakini wakaambiwa kwamba wasiendelee na utaratibu ule lazima zabuni itangazwe, baada ya zabuni kutangazwa wakanionesha nyumba iliyojengwa kwa milioni 45,” alisema Dkt. Kikwete.

Hivyo kuna umuhimu wa wadau wa sekta ya ununuzi wa umma kuhakikisha kuwa Sheria ya ununuzi wa umma inasaidia kupatika kwa thamani halisi ya fedha katika miradi mbalimbali.

Awali Afisa Mwandamizi wa PPAA, Bw. Stanley Jackson alimweleza Mhe. Dkt. Kikwete kuwa kwa kipindi cha takribani miaka minne, PPAA imeweza kushughulikia mashauri 162 yaliyotokana na michakato ya Ununuzi wa Umma ambapo katika mashauri hayo, PPAA ilizuia utoaji tuzo kwa zabuni 35 zenye thamani ya takribani bilioni 583.6 kwa wazabuni wasio na uwezo wa kifedha pamoja na wale waliokosa sifa za kitaalamu za kutekeleza zabuni husika.

“Hatua hiyo iliepusha utekelezaji usioridhisha wa miradi unaosababisha upotevu wa fedha za umma na kuchelewesha maendeleo stahiki kwa wananchi,” alisema Bw. Jackson.

Pamoja na mambo mengine, Bw. Jackson aliongeza kuwa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imekamilisha utengenezaji wa moduli ya kuwasilisha na kushughulikia rufaa na malalamiko kwa njia ya kielektroniki (Complaint and Appeal Management Module) katika Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST).

Bw. Jackson aliongeza kuwa, kukamilika kwa Moduli hiyo kutawawezesha wazabuni kuwasilisha kwa njia ya kielektroniki malalamiko na rufaa zitokanazo na michakato ya ununuzi wa umma kwa Taasisi Nunuzi na Mamlaka ya Rufani pasipo kulazimika kutembelea ofisi husika.

“Ili kuwawezesha wazabuni na watendaji wa taasisi nunuzi kutumia moduli hiyo, PPAA kwa kushirikiana na PPRA imeandaa mafunzo ya matumizi ya moduli ya kushughulikia malalamiko na rufaa kwa njia ya kielektroniki yatakayoambatana na tamko rasmi la kuanza kwa matumizi ya moduli hiyo.

…..Mafunzo haya yanawalenga wazabuni na watendaji wa taasisi nunuzi wa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kagera, Musoma, Geita na Simiyu. Mafunzo yatafanyika kuanzia tarehe 4 – 6 Februari, 2025 Jijini Mwanza katika Ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) uliopo Capripoint,” alisema Bw. Jackson

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) ni taasisi inayojitegemea chini ya Wizara ya Fedha iliyoundwa kwa mujibu wa Kifungu cha 112 cha Sheria ya Ununuzi wa Umma Namba 10 ya mwaka 2023. PPAA imepewa kisheria jukumu la kupokea na kusikiliza malalamiko na rufaa zinazotokana na michakato ya Ununuzi wa Umma na kufungiwa kwa wazabuni (blacklisting of tenderers) kushiriki katika michakato ya Ununuzi wa Umma na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA).

Maadhimisho ya wiki ya sheria yameongozwa na Kauli Mbiu: “Tanzania ya 2050: Nafasi ya Taasisi zinazosimamia Haki Madai katika kufikia Malengo Makuu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo”.

About the author

mzalendo