Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

DKT.NDUMBARO AONGOZA JOPO LA WATAALAMU KUTOA ELIMU NA MSAADA WA KISHERIA KATA YA KIBIRIZI, KIGOMA

Written by Alex Sonna

 

Na Mwandishi Wetu, KIGOMA

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro ameongoza jopo la wataalamu wa msaada wa kisheria kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) kutoa huduma na elimu ya uraia kwa wananchi wa Kata ya Kibirizi iliyopo Manispaa ya Kigoma, mkoani Kigoma.

Dk.Ndumbaro ambaye yupo mkoani humo jana walipiga kambi kwenye Kata hiyo na kusikiliza na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu changamoto za masuala ya kisheria.

Katika kampeni hiyo ambayo imeanza juzi mkoani humo na inalenga kuvifikia vijiji 240 mkoani humo, Waziri Ndumbaro alisema Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza wananchi wapewe elimu hiyo sambamba na elimu ya sheria na Katiba, Haki za binadamu na msaada wa kisheria ili wajue sheria na kupata haki zao.

“Tanzania ni nchi nzuri yenye kuvutia wema na wabaya, yenye neema kedekede sisi tumejaa neema, ina amani na utulivu na mfumo mzuri wa maisha, kuna nchi hazina haya tuliyo nayo sisi, uzuri huu unawavutia wengi wengine wanakuja kwa kufuata taratibu rasmi za uhamiaji, wapo wanaokuja kwa njia za panya hawa ndio wanaotuponza,”alisema.

Alisema wananchi wa eneo hilo wanapaswa kuwa makini kwa kuwa tatizo la mipakani kuna kuingiliana kwa makabila na nchi jirani.

“Tusiwapokee watu kwasababu tuna share nao makabila, juzi tulikuwa na kesi moja kuna raia wa Burundi walikaa huku wakapewa uraia, mmoja aliyepewa uraia ameenda Burundi anaongoza chama cha siasa, huku tunamjua kama mtanzania lakini nchi Jirani anaongoza chama cha siasa hiyo ni sawa? Hapa ndipo mgogoro unapokuja,”alisema.

Alisema katika kampeni hiyo Kigoma watatoa elimu ya uraia kwa kuwa masuala ya uraia ni magumu hasa maeneo ya mipakani.

“Lazima tufahamu sheria, suala si kuzaliwa tu endapo ulizaliwa na mmoja wa wazazi sio mtanzania unapaswa ufanye nini kwa mujibu wa sheria, unakwenda uhamiaji unasema Baba yangu alikuwa Mrundi na mama yangu Mtanzania nimefikisha umri wa miaka 18 nachagua sasa kuwa Mtanzania naomba mnihalalishe,”alisema.

Alifafanua kuwa gharama za huduma za kisheria ni kubwa ndio sababu iliyomsukuma Rais Samia kubuni kampeni hiyo ili kuwasogezea wananchi huduma za kisheria popote walipo.

“Wataalamu hawa wapo kwenye Kata 80 na Vijiji 240 wanaendelea kusikiliza na kutatua kero za kisheria za wananchi wa Kigoma, huyu ni Rais mwenye uchungu na wananchi wake wanyonge, Mama huyu tuna kila sababu ya kusimama naye hasa mwaka huu 2025,”alisema.

Alieleza kuwa kampeni hiyo kwa awamu ya kwanza mwisho wake ni mwakani 2026 na ili kufanikisha ni muhimu wananchi kumchagua Rais Samia kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu ili aendelee kuwasogezea huduma za kisheria.

Awali, Mbunge wa Kigoma Mjini, Kilumbe Ng’enda alisema ni maono ya Rais Samia wananchi wapate nafasi ya kusikilizwa na wapewe msaada wa kisheria kwenye changamoto zao.

“Wananchi hawa wana kadhia nyingi zinazotokana na mambo ya sheria kuhusu hukumu zinazotolewa na Mahakama, nakala za hukumu, namna ya kusikiliza mashtaka, upelelezi, kukaa muda mrefu rumande, umiliki wa viwanja,”alisema.

Alisema pamoja na matatizo mengine ya kisheria yaliyopo Kigoma Mjini kuna suala la utata wa uraia wa watu.

“Kuna watu mababu zao wamezaliwa Kigoma na wamefia Kigoma, msaada wa kisheria namba moja tunaohitaji ni kutatua utata wa uraia wa watu, watu wameomba namba za NIDA hawajapata, watu wamepeleka hadi wazazi wao lakini bado wameonesha na makaburi ya wazazi wao lakini bado wanapata misukosuko,”alisema.

Alisema kuna tatizo la watu kuhusisha kabila na Taifa na kwamba msaada huo wa kisheria utatoa tabasamu kwa wananchi ambao wamekosa watu wa kuwatetea kwenye changamoto zao za kisheria.

About the author

Alex Sonna