Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

marsbahis

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

marsbahis

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

jojobet

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

jojobet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

betcio

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

UBIA WA BARRICK NA TWIGA WACHOCHEA UTENGENEZAJI ENDELEVU WA THAMANI KATIKA UCHUMI WA TANZANIA

Written by Alex Sonna
Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog 

 

 Kampuni ya Dhahabu ya Barrick imeingiza zaidi ya dola bilioni 4.24 katika uchumi wa Tanzania tangu kuanzishwa kwa ubia wa Twiga kati yake na Serikali ya Tanzania mwaka 2019, na kuchangia dola milioni 888 katika mwaka 2024 pekee.

Katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo, Januari 23, 2025, Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow, amesema kuwa ubia wa Twiga unaohusisha migodi ya dhahabu ya North Mara na Bulyanhulu umeendelea kuwa kiongozi katika tasnia ya uchimbaji madini nchini Tanzania, ukichangia kwa maelfu ya ajira, kusaidia biashara za ndani na kufadhili miradi muhimu ya kijamii.

“Tulitumia dola milioni 573 kwa wasambazaji na watoa huduma wa ndani mwaka jana, sawa na asilimia 83 ya matumizi yetu yote. Aidha, 75% ya malipo yetu yote kwa watoa huduma na wasambazaji yalikwenda kwa makampuni ya wazawa, yakivuka lengo letu la 61%,” amesema Bristow.

Ameongeza kuwa kutokana na sera ya Barrick ya kuendeleza ajira na maendeleo ya ndani, 96% ya wafanyakazi wa Barrick nchini Tanzania, wapatao 6,185, ni Watanzania, huku 53% wakitoka katika jamii zinazozunguka migodi.

Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kulia ni Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido

“Mnamo mwaka huo huo, Barrick iliwekeza zaidi ya dola milioni 5 katika miradi ya maji safi ya kunywa, huduma za afya, na elimu, na kufanya jumla ya uwekezaji katika miradi ya kijamii kufikia dola milioni 15.8 tangu Barrick ichukue jukumu la uendeshaji wa migodi ya Tanzania mwaka 2019,” amesema.

Migodi ya Bulyanhulu na North Mara ilifanya vizuri katika utekelezaji wa uzalishaji wa mwaka 2024, ikidumisha hadhi yao kama rasilimali za kimkakati zenye uwezo wa kuwa “Daraja la Kwanza.”

 Pamoja na hayo, amesema migodi hiyo miwili iliendelea kuzingatia usalama wa hali ya juu, ikitimiza mwaka mzima bila matukio yoyote ya majeraha makubwa yaliyoweza kupunguza muda wa kazi.

Kwa upande wa mgodi wa Buzwagi, mgodi huo ulifanya maendeleo makubwa katika utekelezaji wa ufungwaji wake, huku ukizingatia usimamizi wa mazingira, hasa kuhusu maji na utunzaji wa uoto wa mimea.

Amefafanua kuwa, Ukanda Maalum wa Kiuchumi ulioanzishwa katika eneo hilo umefikia hatua za juu za maendeleo, huku ukiwavutia wawekezaji. Kampuni moja tayari imesajiliwa katika Ukanda wa Uchakataji wa Bidhaa za Kuuzwa Nje ya Nchi.

Waandishi wa habari na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo

Kuhusu Chuo cha Barrick Buzwagi kilichofunguliwa mwaka 2024 amesema kimefanya maendeleo makubwa katika kukuza vipaji vya Barrick.

 “Kikiwa kimejikita katika utoaji mafunzo kwa mafomeni, wasimamizi na warakibu, chuo hicho tayari kimetoa mafunzo kwa watu wapatao 1,700 na kinatarajiwa kuvuka lengo lake la kutoa mafunzo kwa zaidi ya watu 2,800 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025”,ameeleza.

Aidha ,Uchimbaji rejeshi katika migodi ya North Mara na Bulyanhulu umefanikisha kurejesha mali ghafi zinazochakatwa ili kupata dhahabu. 

Viongozi wa Barrick wakiwa kwenye mkutano huo

“Barrick inaendelea pia kuimarisha juhudi zake za utafutaji madini katika Wilaya ya Nzega, eneo linalotarajiwa kuwa na hifadhi kubwa ya madini.  Hii itachangia zaidi ya kilomita za mraba 2,000 za maeneo mapya yatakayosaidia katika ukuaji wa hifadhi ya madini kwa ajili ya migodi ya North Mara na Bulyanhulu”,amesema Bristow.

Upanuzi huu ni sehemu muhimu ya mkakati wa muda mrefu wa Barrick wa kutambua na kuendeleza maeneo yenye uwezo wa kuzalisha migodi mingine yenye hadhi ya “Daraja la Kwanza” katika ukanda huu.

“Twiga ilipata sifa nyingi katika mwaka uliopita, ikiwa ni pamoja na kutambuliwa kwa usalama wake, mwajiri bora, utendaji wa kimazingira, na ushirikishwaji wa jamii. Mnamo mwaka 2024, mgodi wa North Mara ulitambuliwa kama mchangiaji mkubwa zaidi wa uchumi katika tasnia ya uchimbaji madini nchini Tanzania”,ameeleza Bristow.

Migodi yote miwili ilipokea tuzo kadhaa kutokana na dhamira yake ya kuzingatia afya na usalama mahali pa kazi, uwajibikaji wa kampuni kwa jamii, na uzingatiaji wa utaratibu wa kutumia malighafi na rasilimali za ndani.

“Kazi ya Barrick nchini Tanzania ni kielelezo cha uchimbaji madini endelevu unaoweka uwiano baina ya uwajibikaji wa kiuchumi, kimazingira, na kijamii,” amesema Bristow. 

“Kutambuliwa kwetu tulikokufikia ni ushahidi tosha wa dhamira yetu katika kuhakikisha ubora na thamani tunayoiletea Tanzania”,ameongeza.

 Dkt. Steven Kiruswa 

Katika mkutano huo, Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesema Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya madini na kufanya usimamizi madhubuti ili kuhakikisha rasilimali hiyo inanufaisha pande zote.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, ameipongeza Barrick kwa uwekezaji wake mkoani humo, ambao unaendelea kuchangia pato la Serikali sambamba na kuboresha maisha ya wananchi kupitia miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii, huku akifafanua kuwa mgodi wa Buzwagi umefungwa kwa ufanisi mkubwa.

Kwa upande mwingine, Mbunge wa Jimbo la Msalala, Mhe. Iddi Kassim, ameeleza kuwa wananchi wa Msalala wanaendelea kushirikiana na Barrick katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya elimu, afya, na miundombinu ya barabara.

Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ,Januari 23,2025 – Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
 
Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari 

Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari 

Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akiteta jambo na Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari 
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari 
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari

Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini, Mhe. Shaban Kirumbe Ng’enda akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
Mbunge wa Jimbo la Msalala Mhe. Iddi Kassim akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
 
Viongozi wa Barrick wakiwa kwenye mkutano huo
Waandishi wa habari na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

About the author

Alex Sonna