marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

Featured Kitaifa

MRAJIS AAGIZA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA NA SACCOS KUWATUMIA WAKAGUZI WA NDANI

Written by Alex Sonna

 

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege akizungumza kwenye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC uliofanyika  leo Januari 14,2025 jijini Dodoma.

Na Mwandishi Wetu, Dodoma.

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege ameagiza Vyama Vikuu vya Ushirika na SACCOS kubwa nchini kuajiri na kuwatumia ipasavyo Wakaguzi wa ndani ili kuongeza ufanisi wa vyama hivyo.

Dkt. Ndiege ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 Jijini Dodoma wakati akizindua Kamati ya Ukaguzi ya TCDC ambapo amesema Wakaguzi ni watendaji muhimu wanaohitajika kusaidia kubaini changamoto za kwenye ushirika na kushauri namna ya kukabiliana nazo ili kuendelea kuwa na usimamizi imara wa Sekta ya Ushirika.

“Serikali imedhamiria kuimarisha ushirika kwa maslahi mapana ya nchi, Tume hii ni chombo muhimu na kinaangaliwa kwa jicho la pekee kwa maslahi makubwa ya nchi yetu, hivi sasa tuna takribani vyama vya ushirika 7,000 na vilivyosajiliwa kwenye Mfumo wa kielektroniki wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika ni 6,500 baadae tutatoa takwimu kama vipo ambavyo havifanyi kazi,”amesema.

Aidha, amesema serikali ya awamu ya sita imeipa uzito sekta ya ushirika na kwamba Tume hiyo ni chombo muhimu kwa serikali na mfumo pekee utakaowasaidia watanzania ni ushirika ili kuwa na nguvu ya pamoja ambapo takriban watu milioni nane wanajihusisha na vyama vya ushirika.

Dkt.Ndiege amesema ni lazima Tume ambayo ni msimamizi wa sekta ya ushirika kuwa imara na wajumbe wa kamati hiyo walioteuliwa wameingia kwa sifa na uwezo wao wa kufanya kazi ili kusaidia usimamizi wa Vyama vya Ushirika.

Awali, Mwenyekiti Mstaafu wa Kamati hiyo, CPA Evance Assenga amesema kamati yake ilishauri na kuhakikisha kunakuwa na matumizi sahihi ya rasilimali, uwazi na uwajibikaji wa Tume ili kuleta ufanisi kwenye sekta hiyo, huku akiishauri kamati mpya kutumia kwa umakini taarifa za Mkaguzi wa Ndani kwa kuwa zitawasaidia kwenye ukaguzi.

Naye, Mwenyekiti wa Mpya wa kamati hiyo, CPA Elihuruma Lema ameahidi kufanya kazi hiyo kwa ufanisi na weledi mkubwa ili kuongeza tija kwenye sekta ya ushirika nchini ambayo ina idadi kubwa ya watu wanaochangia uchumi wa nchi.

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege akizungumza kwenye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC leo Januari 14,2025 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Mpya wa kamati ya ukaguzi ya TCDC, CPA Elihuruma Lema akizungumza kwenye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC leo Januari 14,2025.

Mwenyekiti Mstaafu wa Kamati yaUkaguziyaTCDC, CPA Evance Assenga akizungumza kwenye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC leo Januari 14,2025.

Mkaguzi Mkuu wa ndani Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Mwanaidi Kalela akizungumza kweye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC leo Januari 14,2025 Dodoma.

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa TCDC, Dkt. Benson Ndiege, (kushoto) akikabidhi vitendea kazi kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC, CPA Elihuruma Lema, katika Uzinduzi wa Kamati hiyo.

Picha ya pamoja ya washiriki kwenye uzinduzi wa Kamati ya Ukaguzi ya TCDC leo Januari 14,2025.

About the author

Alex Sonna