marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

cashwin

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

betebet

Featured Kitaifa

KIKAO KAZI CHA MWAKA CHA WAKUU WA IDARA ZA UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALIWATU KUFANYIKA DODOMA

Written by Alex Sonna

 

  KAIMU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi,akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 12,2024 kuhusu kikao kazi cha  Mwaka cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu kinachotarajia kufanyika  Desemba 17-19, mwaka huu,jijini Dodoma.

 

SEHEMU ya Watumishi wakimsikiliza Kaimu KAIMU  Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Xavier Daudi,(hayupo pichani) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kikao kazi cha  Mwaka cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu kinachotarajia kufanyika  Desemba 17-19, mwaka huu,jijini Dodoma.

MKURUGENZI  wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Ibrahim Mahumi,akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kikao kazi cha  Mwaka cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu kinachotarajia kufanyika  Desemba 17-19, mwaka huu,jijini Dodoma.

MKURUGENZI  wa Utawala wa Utumishi wa Umma,Bi. Felister Shuli,akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kikao kazi cha  Mwaka cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu kinachotarajia kufanyika  Desemba 17-19, mwaka huu,jijini Dodoma.
Na.Alex Sonna-DODOMA
KAIMU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Xavier Daudi amesema Ofisi hiyo inatarajia kufanya kikao kazi cha Mwaka cha Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Wizara, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa, Idara zinazojitegemea, Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuanzia Desember 17 hadi 19 mwaka huu.
Kutokana na umuhimu wa kikao kazi hicho amewataka Waajiri wote nchini kuwaruhusu Wakuu hao wa Idara kushiriki kikamilifu katika kikao kazi hicho ili kujifunza mbinu mbalimbali za kutoa huduma bora kwa wananchi na kupunguza malalamiko.
Kauli hiyo ameitoa leo Disembar 12,2024 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye Ofisi za Wizara hiyo ambapo amewataka Wakuu wote wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu,
Kujisajili kwenye mfumo wa https://tsms.gov.go.tz ili kushiriki kikao hicho na kwamba mwisho wa kujisajili ni tarehe 13 Desemba, 2024.
“Nitoe rai kwa wahusika wote wa kikao hicho cha Desember 17 hadi 19 wafike katika Ukumbi wa Mikutano wa Jiji la Dodoma uliopo katika Mji wa Serikali Mtumba tarehe 16 Disemba, 2024 kuanzia saa 10:00 Jioni ili kuchukua vitambulisho na makabrasha kabla ya kuanza  kikao , “amesema
Ametaja malengo kikao kazi hicho kuwa ni kubadilishana uzoefu katika masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu na ukumbushana  masuala mbalimbali yanayohusu Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma ikiwemo matumizi ya mifumo ya kidijitali ya e-Watumishi, e-Uhamisho, e-Utendaji, e-Mrejesho, HR Assessment.
Lengo lingine ni kupeana maelekezo kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi umma kwa kuzingatia Shabaha na vipaumbele vya Taifa.
“Tunafanya hayo yote ili kuwahudumia wananchi kwa ufanisi hivyo tumeona ni vyema zaidi kutoa hiyo nafasi ili watumishi wa Umma waweze kujifunza zaidi matumizi ya mifumo mipya ya TEHAMA kwa lengo la kuwafikia wananchi kwa ukaribu,” amefafanua.
Sambamba na hayo Mkurugenzi huyu ameeleza  kuwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (OR-MUUUB) ina majukumu mbalimbali kwa mujibu wa Hati ya Mgawanyo wa Majukumu kwa Mawaziri kama ilivyotangazwa katika Gazeti la Serikali Toleo Na. 619A & 619B la tarehe 30/8/2023 na kwamba moja ya majukumu hayo ni kusimamia Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma na Utawala wa Utumishi wa Umma.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma, Felister Shuli, amesema Rasilimaliwatu ni nguzo ya Uendelezaji wa rasilimali nyingine, hivyo ni muhimu kujengewa uelewa.
Amesisitiza kuwa ufanisi wa Taasisi hutegemea uwezo na maarifa ya wafanyakazi wake na kuongeza  kuwa uwepo wa mifumo bora ya usimamizi wa rasilimaliwatu kutasaidia kuboresha utendaji kazi, kupunguza urasimu, na kuongeza ubora wa huduma kwa wananchi.
Naye Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu SACP Ibrahim Mahumi amesema
Serikali itaendelea kuweka mikakati ya kuboresha mafunzo na maendeleo ya wafanyakazi ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu na kueleza kuwa licha ya kuwepo kwa  baadhi ya changamoto kikao kazi hicho kitatoa nafasi ya kuzijadili  na kuzipatia ufumbuzi.
Pamoja na mambo mengine mengi,kikao kazi hicho kitaongozwa na Kaulimbiu isemayo “Kusimamia Sera na Sheria za Utumishi wa Umma kupitia Mifumo ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala ya Kidijitali iliyoboreshwa” na Mgeni Rasmi wakati wa Ufunguzi anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene

About the author

Alex Sonna