marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

matbet

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

parmabet giriş

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

Featured Kitaifa

REA YAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA KUSAMBAZA MAJIKO YA GESI WILAYANI CHATO

Written by Alex Sonna

 

*Majiko ya gesi 3,255 yaanza kununuliwa kwa bei ya ruzuku*

Wananchi wilayani Chato mkoa wa Geita wanaendelea na zoezi la kununua majiko ya gesi ya kilo 6 yapatayo 3,255; kutoka kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia msambazaji, kampuni ya MANJIS Logistic Ltd ambapo tarehe 7 Disemba, 2024 katika kijiji cha Msilale Katibu Tawala wa wilaya hiyo Bwana Thomas Dimme alishiriki kwenye zoezi la ugawaji wa majiko hayo na kusisitiza kuwa ipo haya Serikali kuongeza mgao wa majiko hayo kwa kuwa mwamko ni mkubwa.

Bwana Thomas Dimme amesema Viongozi wa wilaya wanaendelea na zoezi la kuwahamasisha Wananchi ili wajitokeze kwa wingi katika kata za wilaya hiyo ili wanufaike na fursa hiyo ya kununua majiko ya gesi kwa bei ya ruzuku ya shilingi 17,500 ambayo Serikali imewalipia kupitia REA badala ya shilingi 35,000, bei ya awali.

“Kwa upande wetu, tunaendelea kuwahamasisha Wananchi kuhusu matumizi ya nishati safi ili wajitokeze kwa wingi kununua majiko haya, yanayotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia REA kwa bei ya punguzo ya asilimia 50.” Ameeleza, Katibu Tawala wa wilaya, Bwana, Dimme.

Aidha, Dimme ameiomba Serikali kuongeza mgao zaidi katika wilaya ya Chato kwa kuwa uhitaji ni mkubwa pamoja na kuomba ruzuku kwenye gharama ya kujaza mitungi hiyo mara gesi itakapoisha.

“Sisi Wilaya yetu tupo wengi, tunazaa kwa wingi, niombe Mamlaka (Serikali) watuongezee mgao zaidi, jambo la pili tunaomba waweke utaratibu wa ruzuku ya kuweza kujaza hii mitungi.” Amesema Bwana Dimme.

Kwa upande wake, Mhandisi wa Miradi kutoka REA, Mhandisi, Francis Manyama amesema ili Mwananchi apate jiko hilo la gesi, anatakiwa kuja kwenye vituo vilivyotangazwa kwa ajili ya kugawa majiko hayo akiwa na Kitambulisho cha NIDA au namba ya NIDA pamoja na shilingi 17,500.

“Serikali kupitia REA inatekeza mikakati hii, Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2034, asilimia 80 ya Watanzania, wawe wanatumia nishati safi ya kupikia”. Amesema, Mhandisi, Manyama.

Itakumbukwa, tarehe 2 Disemba, mwaka huu, Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, aliupokea rasmi Mradi kusambaza majiko hayo ya gesi yapatayo 16,275 kwa mkoa mzima; majiko yenye thamani ya shilingi milioni 285 katika hafla iliyofanyika ofisi kwake na alitoa wito kwa Wananchi kuchangamkia fursa hiyo.

About the author

Alex Sonna