marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

teosbet

batumslot

mislibet

meritbet giriş

artemisbet

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

Featured Kitaifa

TFA YAPONGEZWA NA WIZARA YA KILIMO KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WAKULIMA.

Written by Alex Sonna


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) .uliofanyika Jijini Arusha.

Wanahisa wakifuatilia Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA).

Mkurugenzi Wa chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) Jastin Shirima akizungumza na Wanahisa

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akipewa maelekezo ya pembejeo zinazotolewa na TFA kwa wanachama wake

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli akiwasili Kweye mkutano Mkuu wa Wanahisa TFA.

Baadhi wa wadau wakilimo wakifuatilia Mkutano Mkuu wa Wanahisa TFA.

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mkulima Crop ambayo iko chini ya kampuni za Kilimo za Peter & Burg yenye makao makuu Nchini Ukraine Bakari Duchi Ame akieleza ushirikiano wao na TFA katika kuzalisha mbegu bora za alizeti

Mwanzilishi wa kampuni ya Coastal Biotech Ltd Steven Sillah akieleza alivyojipanga kushirikiana na TFA kuzalidha mbolea hai

Mwenyekiti wa TFA Waziri Barnabas akifafanua jambo kwa katibu Mkuu Wizara ya Kilimo.

Na Mwandishi Wetu , Arusha

 


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Mweli amekipongeza Chama cha Wakulima Tanganyika (TFA) kwa kutoa huduma bora za upimaji wa afya ya udongo na pembejeo kwa wakulima ambao ni wanachama kwa lengo la kuchochea uzalishaji bora wa mazao ya chakula na biashara ili kuongeza mapato ya wakulima na kuchangia ukuaji wa Uchumi wa Taifa.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa TFA,Katibu Mkuu ameipongeza bodi ya chama hicho kwa juhudi za kupima afya udongo kwa wakulima ili waweze kujua aina ya udongo walionao na kutumia pembejeo kulingana na aina ya udongo wa mashamba yao ili kupata mazao mengi na bora.

“Sisi kama Tanzania malengo yetu kwa miaka ijayo ni kuhakikisha kila mtu anapewa mbolea na kutumia viuatilifu na pembejeo zinazoendana na afya ya udongo ya eneo husika.Tayari tumeanza kupima afya ya udongo kwenye mikoa 8 na ndani ya miaka 2 tutakamilisha nchi nzima” Anaeleza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo .

Mkurugenzi wa TFA Jastin Shirima amesema kuwa TFA itendelea kutoa huduma bora kwa wanachama na kwasasa imejipanga kuwekeza katika viwanda vya kuzalisha mbegu bora za alizeti ili kuwawezesha wakulima kupata mbegu za uhakika na kuongeza kasi ya uzalishaji wa mafuta ya kula hivyo kupunguza uagizaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi.

Shirima amesema kuwa watashirikiana na wadau kutoka nchi za Ujerumani na Ukraine ili kuzalisha mbegu bora za alizeti na kupunguza uhaba wa mbegu za alizeti.

Kwa upande wao wake Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mkulima Crop ambayo iko chini ya kampuni za Kilimo za Peter & Burg Bakari Duchi Ame yenye makao yake Makuu nchini Ukraine amesema watashirikiana na TFA kuhakikisha wanazalisha mbegu bora za alizeti na uzalishaji utaanza mwakani 2025.

Mwanzilishi wa kampuni ya Coastal Biotech Ltd Steven Sillah amesema tayari wana mpango wa kushirikiana na TFA kuzalisha mbolea hai ili kuwasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao na kukua kiuchumi.

Mwenyekiti wa TFA Waziri Barnabas ameiomba serikali iendelee kudhibiti mbegu feki katika soko ili kuwalinda wakulima na kuongeza kuwa TFA itaendelea kutoa pembejeo bora kwa wakulima wake wakati wote.

Hata hivyo Wakulima ambao ni wana hisa akiwemo Simon Marunda wameiomba serikali itoe maeneo kwa TFA iliiweze kuzalisha mbegu bora badala ya kutegemea mbegu kutoka nje ya nchi zinazouzwa kwa bei kubwa ambayo wakulima wengi wanashindwa kuimudu.

About the author

Alex Sonna