Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

Mariobet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

jojobet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

imajbet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

zirvebet

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

trendbet

marsbahis giriş

Marsbahis

jojobet

meritking

trust score weak 3

pusulabet

Canlı Casino Siteleri

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

jojobet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

galabet giriş

galabet

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

holiganbet

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

teosbet

betgit

gameofbet

radissonbet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

cratosroyalbet

Hacklink panel

betturkey

meritking

grandpashabet

Marsbahis

madridbet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

galabet

galabet giriş

sahabet giriş

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

klasbahis

jasminbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

Featured Kitaifa

MRADI WA MAFUTA GHAFI EACOP WAFIKIA ASILIMIA 45.5

Written by Alex Sonna
Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP), unaounganisha Hoima nchini Uganda na Chongoleani, Tanga, umefikia asilimia 45.5 katika hatua ya ujenzi ambapo shughuli za ujenzi zinaendelea katika maeneo mbalimbali kuanzia Mtukula Kagera mpaka Chongoleani Tanga.
Taarifa hii imetolewa leo, Oktoba 18, 2024, na Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu, wakati Wajumbe wa Tume ya Kitaifa ya Mipango
ikiwa imeambatana na  Bodi ya TPDC na Menejimenti ya TPDC ilipotembelea eneo la ujenzi wa Kiwanda cha kuweka mifumo ya kupasha na kutunza joto kwenye mabomba katika Kijiji cha Sojo, wilayani Nzega, mkoani Tabora.
Mrutu amesema kufuatia jitihada za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, utekelezaji wa mradi huu kwa ujumla umefikia asilimia 45.5 ambapo shughuli za ujenzi zinaendelea katika maeneo mbalimbali kuanzia Mtukula Kagera mpaka Chongoleani Tanga na kwamba mpaka kufikia Oktoba 2024 Serikali kupitia TPDC imechangia mtaji wa takribani Shilingi Bilioni 977.6 kwenda kwenye Kampuni ya Mradi EACOP.
“Kiwanda hiki kinaendelea na uzalishaji wa mabomba ambapo mpaka sasa jumla ya mabomba yenye urefu wa kilomita 70.7 yamewekwa mifumo ya kupasha na kutunza joto. Ujenzi wa bomba na miundombinu yake unaendelea”,amesema.
 
Mpaka sasa mradi umeleta mafanikio makubwa ikiwemo fursa za ajira 7,584, manunuzi ya huduma na bidhaa za ndani ya nchi zenye thamani ya takribani Shilingi Bilioni 833.7, mapato kwa Serikali takribani Shilingi Bilioni 40, uhaulishaji wa teknolojia toka kwa wakandarasi”,ameeleza Mrutu.
Asiadi Mrutu 
Amefafanua kuwa Ujenzi wa Kiwanda cha kuweka mifumo ya kupasha na kutunza joto kwenye mabomba uliopo Kijiji cha Sojo Wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora umefikia asilimia 96 na ulizinduliwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko mnamo Machi 26, 2024. Kwa ujumla, mradi mzima wa EACOP umefikia asilimia 45.5.
“Pamoja na kuwa mwanahisa, TPDC inamiliki ardhi ya mkuza wa bomba na maeneo ya ujenzi wa makambi ambapo mpaka sasa tumefanikiwa kulipa fidia jumla ya Shilingi Bilioni 35.1 kwa wananchi 9,858 kati ya 9,927 sawa na 99.3%. Vilevile mradi umefanikiwa kujenga nyumba 340 za makazi mbadala kwa wananchi 294 waliopoteza makazi kwenye maeneo ya mradi. Serikali inaendelea kushirikiana na Wanahisa wengine ili kuhakikisha fedha za mradi zinapatikana kwa wakati na utekelezaji unaendelea ili kufikia malengo. Ujenzi unatarajia kukamilika katikati mwa mwaka 2026”,ameongeza Mrutu.
Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kitaifa ya Mipango, Dk. Linda Ezekiel, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ufundi na Madeni, ameeleza furaha yake kuhusu uwekezaji huu mkubwa, ukionyesha fursa kwa Watanzania.
Ameongeza kuwa, ziara hiyo ililenga kuona utekelezaji wa mradi kwa karibu na wamefurahishwa na kasi ya ujenzi, wakitarajia mradi kukamilika mwaka 2026 na kuanza kusafirisha mafuta kutoka Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.
Dkt. Linda Ezekiel
Dk. Linda amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa jamii katika mradi huu na kusema, “Nimefurahia kuona Watanzania wengi wameajiriwa na mradi huu unasimamiwa na wazawa.”
Mjumbe wa Bodi ya TPDC, Balozi Mstaafu Dkt. Peter Kallaghe, ameonyesha kuridhika na kasi ya ujenzi wa kiwanda cha Sojo, akisisitiza umuhimu wa mradi wa EACOP unaosimamiwa na Watanzania.
Balozi Mstaafu Dkt. Peter Kallaghe.
Amesema Bodi ya TPDC pamoja na Menejimenti itaendelea kusimamia utekelezaji wa mradi ikiwemo kuhakikisha mradi unakua wenye manufaa kwa Wananchi na jamii zilizopo karibu na maeneo ya ujenzi.
Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Usimamizi wa Madeni, Bodi na Menejimenti ya TPDC imetembelea Kiwanda hicho ili kuhakikisha utekelezaji wa maelekezo ya Mhe. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko kuhakikisha Kiwanda kinaanza uzalishaji mabomba na kinakuwa chenye manufaa kwa Watanzania.
Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Kabaale (Uganda) hadi Bandari ya Tanga wenye urefu urefu wa kilomita 1,443 unatekelezwa na wawekezaji binafsi (Private Investors) kwa kushirikiana na Serikali za Tanzania na Uganda.
Wawekezaji katika Kampuni ya EACOP ni Kampuni ya TotalEnergies kutoka Ufaransa, CNOOC ya nchini China, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Kampuni ya Kitaifa ya Mafuta ya Uganda (UNOC).
Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo – Picha na Kadama Malunde
Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo
Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo
Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo

Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kitaifa ya Mipango, Dk. Linda Ezekiel, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ufundi na Madeni akizungumza wakati wa ziara hiyo

Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kitaifa ya Mipango, Dk. Linda Ezekiel, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ufundi na Madeni akizungumza wakati wa ziara hiyo
Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kitaifa ya Mipango, Dk. Linda Ezekiel, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ufundi na Madeni akizungumza wakati wa ziara hiyo
Mjumbe wa Bodi ya TPDC, Balozi Mstaafu Dkt. Peter Kallaghe akizungumza wakati wa ziara hiyo
Mjumbe wa Bodi ya TPDC, Balozi Mstaafu Dkt. Peter Kallaghe akizungumza wakati wa ziara hiyo

About the author

Alex Sonna