Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

Pusulabet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

galabet

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pusulabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

marsbahis giriş

jojobet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

kingroyal

meritbet

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

goldenbahis giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

aresbet, aresbet giriş

bycasino 2026

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

holiganbet

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

matbet

grandpashabet

pusulabet

marsbahis giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

sekabet

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

kralbet

kralbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

Featured Kitaifa

WANANCHI WAKUBALI YAISHE, BANGI KUBAKI HISTORIA TARIME

Written by Alex Sonna
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa wiki tatu katika wilaya ya Tarime na Serengeti, mkoani Mara kwa lengo la kukabiliana na tatizo la uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya, hususan bangi.
 
Operesheni hiyo imefanyika katika vijiji vya  Matongo, Nyarwana, na Weigita vilivyopo bonde la Masinki, pia vijiji vya  Nkerege, Kembwe, Nyakunguru na Iseresere pamoja na eneo la bonde la mto Mara. 
 
Akizungumza mara baada ya operesheni hiyo  tarehe 8 Oktoba, 2024 Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo amesema, jumla ya ekari 3,007.5 za mashamba ya  bangi  zimeteketezwa katika operesheni hiyo. Aidha, kilogramu 7,832.5  za bangi kavu, na kilogramu 452 za mbegu za bangi  zilikamatwa, ambapo watuhumiwa 17 walikamatwa na tayari wamefikishwa mahakamani.
 
Kamishna Lyimo amesema operesheni hii ni sehemu ya jitihada za serikali kulinda jamii dhidi ya madhara ya dawa za kulevya na amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kutoka kwa wananchi katika kutoa taarifa kuhusu shughuli zinazohusiana na dawa hizo.
 
 
Mamlaka imebaini kuwa, kilimo cha bangi mkoani Mara kinafadhiliwa na raia wa nchi jirani ambao huwapa mitaji wakulima wa Tarime kisha bangi ikishakomaa huvunwa na kusafirishwa kwenda  kuuzwa. 

 

 

“Tunatoa miezi mitatu kwa wananchi wa mkoa wa Mara kuhakikisha wanaacha kabisa kujihusisha na kilimo cha bangi. Baada ya muda huo, tutafanya operesheni kubwa kwa namnna nyingine na kuhakikisha maeneo haya yanabadilishiwa matumizi na hayatumiki tena kwa kilimo cha  bangi. Pia wote wanaotetea uhalifu huu watachukuliwa hatua ili kuhakikisha wanachi wote wanatii sheria za nchi” 
 
Aidha, Mkuu wa wilaya ya Tarime Mhe. Meja Edward Gowele amekiri wilaya yake kukabiliwa na changamoto ya kilimo cha bangi hususan katika eneo la bonde la mto Mara na tayari serikali imeanza kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto hiyo.
 
 
“Tumeanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu madhara ya bangi na hasara wanayoweza kuipata kwa kujihusisha na kilimo cha bangi na walio wengi wametuahidi kuachana na kilimo cha bangi”
 
 
Kwa upande wake Mwita Mataro afisa wa maji kutoka bodi ya maji bonde la ziwa victoria dakio la Mara ambaye pia ni msimamizi wa rasilimali za maji katika mkoa wa Mara amesema lengo kubwa la bodi ni kuhakikisha rasilimali za maji zinatunzwa na kuendelezwa pasipo kuruhusu uharibifu wa aina yoyote.
 
“Tumejionea hali halisi ya bonde na tumeshuhudia zao la bangi likiwa limelimwa katika bonde la mto Mara. Sheria za rasilimali za maji haziruhusu kilimo haramu cha zao la bangi. Hata mazao mengine halali yanapaswa kulimwa umbali wa mita 60 kutoka mtoni. Hao wanaolima bangi ni sehemu ya watu wanaoharibu vyanzo vya maji kwa sababu mwisho wa siku huu udongo wote mvua zitakaponyesha tope lote linatiririkka kwenda kwenye mto’’ amesema Mataro.
Ameongeza kuwa , Bodi hiyo imeandaa mpango kwa kidakio cha Kaskazini ambao unataja shughuli gani zinatakiwa kufanyika kwenye vyanzo vya maji ambazo ni rafiki, na wao kama bodi watasimamia kuhakikisha mipango hiyo inatekelezwa na hifadhi ya maji inalindwa.
 
Naye Lepapa Molel afisa kilimo kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mara amesema wakulima wengi wanalima bangi kwa kutegemea maji yanayotoka mto Mara “Nashauri wakulima wageuke na kuanza kulima mazao ya chakula yanayoweza kuwapa chakula na fedha  kuliko bangi”.                 
 
Wanakijiji wafyeka bangi yao wao wenyewe
 
Katika hali isiyotarajiwa wananchi wa kijiji cha Nkerege kata ya Kiore wilayani Tarime Mara waliamua kushirikiana na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya katika zoezi la kufyeka na kuteketeza mashamba ya bangi ili kuleta hali ya amani na utulivu kijijini hapo. Uamuzi huo ulitokana na hofu iliyojitokeza wakati wa operesheni ya kuondoa bangi, ambapo watu walikimbia makazi yao wakihofia kukamatwa  jambo lililoathiri shughuli zao za kijamii na kiuchumi.

 

Akizungummzia sakata hilo ,  diwani wa kata ya kiore Rhobi John alieleza kwamba wananchi wa Nkerege kwa kauli moja wameikataa bangi na kilimo hicho hakitalimwa tena kijijini hapo.
“Jana usiku wakina baba, wakina mama na vijana wote wameamua bangi haitaonekana tena, yaani sisi wenyewe tutakuwa walinzi sisi kwa sisi. Unapoona wenzako analima ni lazima kufuatilia na kutoa taarifa. Naishukuru cabinet ya wanasheria kutoka Mamlaka  kutoa elimu, akina mama na vijana waliikuwa hawajapata elimu na walidhani hili ni zao bora kwao”alisema 
 
Mzee Julius Zakaria Matiku, mwenyekiti wa mila katika ukoo wa Wasweta, alisema, “Tumekubaliana kuteketeza bangi ili kuondoa tatizo hili la kukimbiakimbia. Kijana atakayekamatwa akilima bangi, nitalipiza faini ya ng’ombe watano.” Aliongeza kuwa mzee wa mila ana jukumu la kuhakikisha kuwa sheria zinaheshimiwa katika kijiji.
 
Kadhalika, katibu wa mila Burima Marwa Nyawise alisema kama wazee, wameamua kuteteketeza bangi ili waweze kulima mazao mengine kama mahindi, ufuta na kuendelea kufuga mifugo yao katika pori hilo. ” Pori hili ni safi kwa kulima kitu chochote kama vile mahindi maharage ufuta vinakubali. Kwahiyo, hili zao la bangi limetutosha. Sasa watoto watulie nyumbani, wanawake wapikie watoto. Sisi malengo yetu ya kuja humu ni kuhakikisha tumeliteketeza hili zao la bangi” alisema. 
 
Mamlaka ya Kudhiitia Kupambana na Dawa za Kulevya inaendelea kufanya operesheni nchi nzima ili kuhakiksha dawa za kulevya za mashambani na viwandani zinatokomea na Tanzania inakuwa huru dhidi ya dawa za kulevya. Hivyo, ni jukumu la kila mmoja kupiga vita dawa za kulevya. Tusikubali kuwa sehemu ya kuangamiza taifa letu kwa kuendelea kulima na kufanya biashara ya dawa za kulevya

 

 

About the author

Alex Sonna