Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

belugabahis

restbet

deneme bonusu veren siteler

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

deneme bonusu

jojobet

jojobet güncel

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

sahabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

casibom

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

artemisbet giriş

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

kavbet giriş

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

marsbahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

imajbet

mislibet giriş

imajbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

kavbet

imajbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bycasino

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet giriş

cratosroyalbet

tempobet

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

casibom giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

matbet

pusulabet giriş

sekabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

betist

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

kavbet

pokerklas

pokerklas giriş

esrar satın al

tipobet

tipobet

esrar satın al

tipobet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

sweet bonanza

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI QWARAY ATOA ONYO KWA WASIMAMIZI WANAOKWAMISHA HAKI ZA WATUMISHI

Written by Alex Sonna

NAIBU  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray,akizungumza wakati akifunga Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Rasilimaliwatu kutoka wizara, idara zinazojitegemea, wakala, taasisi na mashirika ya umma, sekretarieti za mikoa pamoja na mamlaka za serikali za mitaa kilichofanyika kwa siku tatu  jijini Dodoma,

Na Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA

NAIBU  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray, ametoa maagizo mazito kwa waajiri na wasimamizi wa watumishi wa umma nchini kuhakikisha wanazingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi ili kuondoa malalamiko yanayowakabili watumishi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Akifunga Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Rasilimaliwatu kutoka wizara, idara zinazojitegemea, wakala, taasisi na mashirika ya umma, sekretarieti za mikoa pamoja na mamlaka za serikali za mitaa kilichofanyika kwa siku tatu  jijini Dodoma, Mhe.Qwaray amesema Serikali haitavumilia uzembe wa wasimamizi unaosababisha watumishi kunyimwa haki zao za msingi.

Amesema katika ziara zake mbalimbali amebaini changamoto nyingi za kiutumishi zinazotokana na kutofuata sheria na taratibu, ikiwemo ucheleweshaji wa upandishaji vyeo, kutolipwa kwa wakati stahili mbalimbali kama nauli za likizo na gharama za uhamisho, hali inayozalisha malalamiko miongoni mwa watumishi wa umma.

“Ni wajibu wa wasimamizi wa Utawala na Rasilimaliwatu kuwa kiungo muhimu kati ya viongozi na watumishi kwa kutoa ushauri sahihi unaozingatia sheria. Haki za watumishi lazima zilindwe wakati wote,” amesema Qwaray.

Katika hatua nyingine, Naibu Waziri huyo ameeleza kusikitishwa na baadhi ya waajiri na wasimamizi wanaoshindwa kuzingatia taratibu za uendeshaji wa mashauri ya nidhamu, jambo linalosababisha watumishi walioshtakiwa kushinda rufaa zao kutokana na dosari za kiutaratibu.

Amesema hali hiyo inaigharimu Serikali fedha nyingi pamoja na kuathiri taswira ya taasisi za umma mbele ya wananchi.

“Hii ni fedheha kubwa. Tunahitaji mashauri ya nidhamu yaendeshwe kwa kuzingatia sheria ili maamuzi yanayotolewa yawe halali na yenye kuhimili ukaguzi wa mamlaka za rufaa,” amesisitiza.

Mhe.Qwaray ametoa maelekezo kwa waajiri wote kutekeleza kwa wakati maamuzi yanayotolewa na Tume ya Utumishi wa Umma, akibainisha kuwa kutotekeleza maamuzi hayo ni ukiukwaji wa sheria na taratibu za utumishi wa umma.

Kuhusu mfumo wa e-Utendaji, amesema Serikali imebaini baadhi ya wasimamizi walishindwa kufanya tathmini za utendaji kazi kwa watumishi waliokuwa chini yao kwa mwaka wa utendaji wa 2024/2025, jambo lililosababisha baadhi ya watumishi kukosa sifa za kupandishwa vyeo licha ya kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Kutokana na hali hiyo, amemuelekeza Katibu Mkuu (Utumishi) kwa kushirikiana na waajiri wote kuwabaini wasimamizi waliozembea na kuwachukulia hatua za kinidhamu, ikiwemo kuwaondoa kwenye nafasi za uongozi pale itakapothibitika walishindwa kutekeleza wajibu wao bila sababu za msingi.

Aidha, amesema watumishi walioathirika kutokana na uzembe wa wasimamizi wao wanapaswa kupewa unafuu wa masharti ili wasiathirike katika maendeleo yao ya kiutumishi.

Katika eneo la maadili,Mhe.Qwaray ameeleza kuwa Serikali imebaini kuongezeka kwa matumizi ya lugha zisizofaa kwa wananchi, tuhuma za rushwa na matumizi yasiyo salama ya teknolojia katika baadhi ya taasisi za umma.

Kutokana na hali hiyo, ameagiza watumishi wote wa umma kujengewa uwezo kuhusu usalama wa taarifa za Serikali pamoja na matumizi sahihi ya teknolojia za Akili Unde (Artificial Intelligence), huku akisisitiza matumizi ya barua pepe rasmi za Serikali katika mawasiliano yote ya kikazi.

“Tunapaswa kulinda siri za Serikali na kuhakikisha matumizi ya teknolojia yanafanyika kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma,” amesema.

Akizungumzia umuhimu wa rasilimaliwatu, Qwaray amesema ndiyo nguzo kuu ya maendeleo ya taifa na kwamba usimamizi wake bora utasaidia kuongeza tija katika matumizi ya rasilimali nyingine za Serikali.

Aidha amewataka washiriki wa kikao hicho kutekeleza kwa vitendo maazimio yote yaliyofikiwa pamoja na maelekezo yaliyotolewa, na kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wake Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kabla ya Julai 31, 2026.

Awali, Mhe.Qwaray amewapongeza washiriki wa kikao hicho kwa mijadala yao yenye tija na mchango walioutoa katika kujadili namna ya kuimarisha utawala na usimamizi wa rasilimaliwatu katika utumishi wa umma.

Amesema maarifa yaliyopatikana katika kikao hicho yanapaswa kutumika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi na kujenga utumishi wa umma wenye usikivu, uwajibikaji na matokeo chanya kuelekea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amewapongeza waajiri wa taasisi mbalimbali za umma kwa kuwapa ruhusa na kuwawezesha watumishi wanaosimamia utawala na rasilimaliwatu kushiriki kikao kazi maalumu kilicholenga kuboresha utendaji katika Utumishi wa Umma.

Amesema kwa miaka ya hivi karibuni, utawala na usimamizi wa rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma umeendelea kuimarika kwa kiwango kikubwa kutokana na maboresho mbalimbali yanayotekelezwa na Serikali, ikiwemo matumizi ya mifumo ya kidijitali katika kusimamia watumishi na kuongeza uwajibikaji.

Hata hivyo, amebainisha kuwa pamoja na mafanikio hayo, bado kuna changamoto zinazohitaji kufanyiwa kazi ili kuhakikisha watumishi wanapata haki zao kwa wakati na taasisi za umma zinaendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.

“Tumepiga hatua kubwa katika usimamizi wa rasilimaliwatu, lakini bado zipo changamoto zinazohitaji ushirikiano wa pamoja kati ya waajiri, wasimamizi na watumishi wenyewe ili kuzitatua,” amesema Mhe. Mkomi.

Mkomi amesema kikao hicho kimetoa mapendekezo na maelekezo yatakayosaidia kuondoa vikwazo vinavyokwamisha maendeleo ya watumishi na kuimarisha usimamizi wa rasilimaliwatu katika sekta ya umma.

About the author

Alex Sonna