Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

bets10 giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

esbet

nesinecasino

holiganbet

betpuan

betgit

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

gameofbet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

galabet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Betsin

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

holiganbet

betsat

bets10

jojobet

sonbahis

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

kavbet

casibom giriş

meritking

nilobet

Featured Kitaifa

DKT. MAHERA AWAITA WADAU KUUNGA MKONO ELIMU YA SAYANSI KWA WANAWAKE

Written by Alex Sonna

 

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera akiongea wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Lengo la mbio hizo ni kuhamasisha ushiriki wa wasichana na wanawake kusoma masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na ubunifu.

Na.Mwandishi Wetu

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu ,Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera ametoa wito kwa wadau mbalimbali kuchangia maendeleo ya elimu ya wanawake katika Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Ubunifu ili kuwapa fursa ya kukabiliana na changamoto zinazoikabili jamii na viwanda.

Dkt. Mahera ameyasema hayo Septemba 22, 2024 wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela (Nelson Mandela Marathon ) zilizoandaliwa na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela zenye kauli mbiu ya “Jitihada kwa Sayansi, Hatua kwa Mafaniko” lengo ikiwa ni kuhamasisha wasichana na wanawake kujiendeleza na masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na ubunifu kwa ngazi ya Uzamili na Uzamivu.

“Kauli mbiu ya mbio hizi inashabihiana na dhamira ya Serikali yetu kupitia taasisi ya Nelson Mandela ya kukuza taaluma za Sayansi, Uhandisi, Teknolojia, na Ubunifu, ili kuwezesha kuzalisha bidhaa za uvumbuzi kwa jamii na viwanda” amesema Dkt. Mahera

Aidha Dkt. Mahera ameipongeza Taasisi ya Nelson Mandela kwa kuandaa mbio hizo zilizowashirikisha watu mbalimbali wakiwemo wenye mahitaji maalum, huku akiwataka kuwa na muendelezo kwa miaka ijayo ili kwa pamoja kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Naye Makamu Mkuu wa taasisi hiyo, Prof. Maulilio Kipanyula ameeleza kuwa, mbio hizo zimeandaliwa kwa mara ya kwanza kwa lengo la kukuza ushiriki mkubwa wa wanafunzi wa kike katika elimu ya juu, hasa katika ngazi ya Shahada ya Uzamili na Uzamivu, katika fani za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Ubunifu.

” idadi ya wanafunzi wanawake katika taasisi yetu kwa ngazi ya uzamili na uzamivu ni asilimia 30 , tunatamani idadi iongezeke hata kufikia asilimia 50 ndivyo tukaona vyema kuwa na mbio hizi ili kuweka hamasa ” Anasema Prof. Kipanyula

Aidha Prof Kipanyula amewashukuru viongozi wa Serikali walioshiriki katika ufunguzi wa mbio hizo akiwemo Balozi waTanzania nchini Afrika Kusini, Mhe. James Bwana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu Makwinya kwa kushiriki mbio hizo zilizoshirikisha washiriki mia sita (600) kutoka sehemu mbalimbali nchini pamoja na nchi jirani.

Nelson Mandela Marathon 2024 ilishirikisha mbio za Km. 5, 10 na 21 huku kwa upande wa Km. 10 wanawake mshindi wa kwanza alikuwa Sara Ramadhani, kwa upande wa wanaume mshindi alikuwa Faraja Lazaro ambao waliibuka na kitita cha sh. 700,000, huku washindi wa pili walipata sh.500,000 na wa tatu sh. 300,000.

Mbio za Km. 21 (nusu marathon), upande wa wanawake, ushindi wa kwanza ulienda kwa Nataria Elisanti huku kwa upande wa wanaume, Michael Gerald wakiibuka kitita cha sh. 1,000,000/= huku mshindi wa pili akiibuka n ash. 750,000 na wa tatu sh. 500,000/= .

Kwa upande wa kundi la watu wenye mahitaji maalum kwa km 21 mshindi wa kwanza alikuwa Shukuru Alfani akifuatiwa na mshindi wa pili Nasri Juma.

Wadhamini waliofanikisha mbio hizo ni pamoja Public Service Social Security Funds (PSSSF), Cocacola Bonite Bottlers Limited, Kilimanjaro Drinking Water, National Insurance Corporation (NIC), Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH), Ibra Line Filling Station, Beyond Experience Limited, Land Africa, Serengeti Safario Marathon, Tanzania sports Medicine Association, Tanzania Red Cross Society, Scout Tanzania, Pamoja Fitness Bonanza, Chama cha Riadha Tanzania na Chama cha Riadha Mkoa wa Arusha.

Washiriki wa msimu wa kwanza wa Nelson Mandela Marathon zilizofanyika Septemba 22, 2024 wakifanya mazoezi ya utaangulizi kabla ya kuanza mbio zilizohusisha Km 5, 10 na 21 zenye kauli mbiu Jitihada kwa Sayansi, Hatua kwa Mafaniko.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera (kushoto) akivalishwa medali mara baada ya kumaliza mbio za km 10 wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Tengeru jijini Arusha.

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson  Mandela Prof.Maulilio Kipanyula (kulia) akivalishwa medali mara baada ya kumaliza mbio za km 5 wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Tengeru jijini Arusha.

Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi naTeknolojia ya Nelson Mandela anayeshughulikia Mipango, Fedha na Utawala (kushoto) Pof. Suzana Augustino akivalishwa medali mara baada ya kumaliza mbio za km 10 wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Tengeru jijini Arusha.

Washindi wa kwanza hadi wa tatu wa mbio za km 10 na km 21 wakipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu ,Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera wakati wa ufunguzi wa Mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Tengeru jijini Arusha.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera akiongea wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Lengo la mbio hizo ni kuhamasisha ushiriki wa wasichana na wanawake kusoma masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na ubunifu.

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof Maulilio Kipanyula akiongea wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Lengo la mbio hizo ni kuhamasisha ushiriki wa wasichana na wanawake kusoma masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na ubunifu.

Balozi waTanzania nchini Afrika Kusini Balozi James Bwana akiongea wakati wa ufunguzi wa mbio za Nelson Mandela Septemba 22,2024 katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, kushoto ni mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dkt.Wilson Charles Mahera na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl Zainabu Makwinya.

Washiriki wa mbio za km 10 wakifurahia kumaliza mbio hizo wakati wa Nelson Mandela Marathon zilizoandaliwa na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela zenye kauli mbiu Jitihada kwa Sayansi, Hatua kwa Mafaniko kwa lengo la kuhamasisha ushiriki wa wasichana na wanawake kusoma masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na ubunifu .

About the author

Alex Sonna